Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama ,
hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha!
Hapa ndio unaona umecheza mindgame la hatari!
 
Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.
Mtu mzima kabisa pengine unafamilia na wajuu kabisa unaandika ujinga kama huu.
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama ,
hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha!
Kwa hiyo kwakuwa unajua hawana ulinzi mpo tayari kuvunja visogo vyao na me ngine unayoita drama?
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama ,
hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha!
Wananchi wenye hasira na kitendo cha kuchoma vitenge ni ngumu sana kuwathibiti
 
Kwa hiyo kwakuwa unajua hawana ulinzi mpo tayari kuvunja visogo vyao na me ngine unayoita drama?
Ujinga huu watu walishatoka mkiambiwa mtoke kuandamana mnajificha drama za kujiteka na kujikata na viwembe mnaziweza aibu sana!
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Jukumu la ulinzi wa raia wa nchi yoyote bila kujali tofauti za itikadi za kisiasa ni jukumu la serekali iliopo madarakani inayomiliki vyombo vya dola vyenye vifaru na silaha za kila aina,serekali inapojigeuza kuwa ndiye watekaji wenyewe CHADEMA. hata kama watamwajili Netanyahau kuwalinda viongozi wake bila silaha watatekwa tu.
 
Uwezo wa kufikiri wa hawa vilaza wa ccm unashangaza sana.
Uwezo wa kufikiri ilikuwa kuandamana tarhe 23 sept lakini ulikosa uwezo wa kufikiri ukamuachia mbowe na mwanawe wenye uwezo wa kufikiri unakuja hapa kuleta porojo!
 
Jukumu la ulinzi wa raia wa nchi yoyote bila kujali tofauti za itikadi za kisiasa ni jukumu la serekali iliopo madarakani inayomiliki vyombo vya dola vyenye vifaru na silaha za kila aina,serekali inapojigeuza kuwa ndiye watekaji wenyewe CHADEMA. hata kama watamwajili Netanyahau kuwalinda viongozi wake bila silaha watatekwa tu.
Watu wasingeweka ulinzi majumbani na wasaidizi wa kufuatana nao tuache kukariri maneno ya wanasiasa mbowe akiwaita kwenye maandamano ya kulani mnamsaliti na kuingia mitini!
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama ,
hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha!
Huwa nawashangaa wanapochoma mabango ya Samia, kwani mpaka wajirikodi haya MACHADEMA⁉️
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom