Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Ni ajabu huyo Kiongozi anatembea je mwenyewe kwenye majukumu ya Chama, mbona ni kama VIJIDRAMA hivi, kwanini hawajilindi wakati wanaona utekaji na mauaji hayashughulikiwi na mamlaka husika, waendelee kutekwa na kuuawa hadi watie akili kwa kujilinda wenyewe dhidi ya uhalifu huo.
 
Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.
Chadema kwenye issues za kiusalama, wanahitaji sana msaada, niliwahi kuuliza Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?
p
 
Ni ajabu huyo Kiongozi anatembea je mwenyewe kwenye majukumu ya Chama, mbona ni kama VIJIDRAMA hivi, kwanini hawajilindi wakati wanaona utekaji na mauaji hayashughulikiwi na mamlaka husika, waendelee kutekwa na kuuawa hadi watie akili kwa kujilinda wenyewe dhidi ya uhalifu huo.
Serikali inabidi wachukue hatua za haraka kuwapa ulinzi maana maadui zao ndani ya chama wanatumia mwanya huo kutekeleza yale yao!
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Kwani ndugu kiparangoto uliwahi kuwapa ulinzi?
 
Kwani ndugu kiparangoto uliwahi kuwapa ulinzi?
Ndio nilikuwa mlinzi wa mgombea ubunge wa Cuf 1995 nilikuwa mlinzi wa mgombea ubunge wa chadema 2010 ilikuwa unahakikisha usalama kila aendapo ni hoja tu hakuna mchongo wa kujiteka!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Wakati huamua, wakati ni msema kweli, wakati huleta matokeo ya kweli. Wakati uliamua, unaamua na utaamua. Mara zote wanaovunja nyumba, huvunja walio nje kiurahisi zaidi kuliko walio ndani.
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Swali muhimu sana.
CHADEMA wanachukulia masuala nyeti kwa uzembe na ubabaivu mkubwa sana!
Ilitakiwa muda huu kila kiongozi wao apewe ulinzi binafsi.
Tumefikia hatua the world need some proof of these serious allegations.
 
Subiri na wewe uje utekwe wakakukwangue hicho kipara ndio uje uulize tena .

Yaani mtu anatekwa anaumizwa na kutupwa wewe unasema ni drama?
 
Huyu Kipara Kizee anashangaza sana hivi mtu anaweza kujiteka kisha ajiumize kama hivyo ??

Yaani neno kujiteka katika hali ya kawaida linawezekanaje?

Hawa kina Kipara Kizee ndio think tank huko CCM.
IMG_20241020_171357.jpg
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Bahati nzuri mungu huwa anawapiga mwenyewe maana hapa duniani huwa hampigiki sababu mnalindwa

Yawezekana kuna vifo vingine hutokana na machozi ya wenzetu yasiyo na hatia ila huwa tunashindwa kuunganisha nukta kama ndiyo majibu au laah! Ingawa huwa mateso yanadumu kabla ya kifo ili uyashuhudie.
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
hilo tukio lina dalili ya fumanizi 🐒
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
Hata wakiwa nao wanachanganywa
 
Back
Top Bottom