Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

Viongozi wa CHADEMA huwa hawana ulinzi?

Basi jua kipara sii akili kama umewahi kudanganywa,vingine vinaweza kuwa chemchemu ya upumbavu.
q
Subiri na wewe uje utekwe wakakukwangue hicho kipara ndio uje uulize tena .

Yaani mtu anatekwa anaumizwa na kutupwa wewe unasema ni drama?
Nimeuliza Swali mahali, Je ametekwa katika mazingira gani?

Na kipara kipya ameongeza swali je Viongozi hawana Ulinzi?
Ndo hoja inayojadiliwa hapa.

Kutafuta huruma hakusaidii.
 
Pengine walinzi nao walitimu vumbi.

X wanasema kuna mahali Mheshimiwa aligawa kanga huko mkoa walikochoma daftari za kujiandikisha, hawa wengine wakaamua kuzifanya zile kanga kuni,

Nikasema hata iwe ni kweli ila hivi visasi vimekuwa too much.
 
Pengine walinzi nao walitimu vumbi.

X wanasema kuna mahali Mheshimiwa aligawa kanga huko mkoa walikochoma daftari za kujiandikisha, hawa wengine wakaamua kuzifanya zile kanga kuni,

Nikasema hata iwe ni kweli ila hivi visasi vimekuwa too much.
Hatari sana muhanga anasema picha ilianzia kituo cha basi!
 
Hiyo engo hawataki kufika wala kuifikiria!
muda muafaka utafika itabainika tu acha waendelee kusingizia mambo yao ya kishirikiana, ramli kutoana kafara na kuchukuana misukule wanadhani hiyo mbinu yao ya kutafuta uongozi ndani ya chama haijulikani 🐒
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
ccm chama cha watekaji
 
q
Nimeuliza Swali mahali, Je ametekwa katika mazingira gani?
Ngoja na mimi nikueleze swali jepesi kuhusu mazingira ya utekaji.

Mzee Kibao alitekwa ndani ya basi la abiria mchana kweupe.

Akashushwa ndani ya gari na kufungwa pingu [abiria wanashuhudia]

Kundi hilo lilifunga njia mbele na kuzuia basi kwa kutumia gari mbili za Toyota Landcruiser na hapo ni Kibo complex.

Namba za gari hazikuwa na usajili unaofahamika rasmi.

Mzee Kibao alipatikana ameuwawa na kutupwa Ununio.

Sativa alitekwa Dar , akapelekwa kituo cha polisi Osterbay , baadae Arusha na kutupwa mbuga ya Katavi.

Kwa maelezo yake hayo gari iliyomsafirisha ilikuwa na namba pia za usajili zisizo rasmi imesafiri zaidi ya kilometa 1000+ ikipita vizuizi vya polisi barabarani na likikimbia 120 km/h bado na hawasimamishwi?

Sasa kama mazingira ya kutekwa ,kuteswa, kusalimika au kuuliwa yanashahabiana na hivyo nilivyozungumza leo tukio la Sativa linaenda mwezi wa 4 sasa hajakamatwa mtu hata mmoja tukio la mzee Kibao linaenda kufikisha mwezi wa 2 hakuna aliyekamatwa hata 1 unataka kusema hao nao walistage kutekwa?
Viongozi wangapi wamewahi kuwa na walinzi na wakauliwa?

Laurent Deśire Kabila alipigwa risasi 2001 akiwa ofisini huyu alikuwa rais na amiri jeshi mkuu wa nchi .

Je hakuwa na walinzi?

Tusitafute justification unaweza kuwa na ulinzi ukashambuliwa hapa hoja kuu ni kwanini matukio ya polisi kuteka watu yanashamiri?
ameongeza swali je Viongozi hawana Ulinzi?
Ndo hoja inayojadiliwa hapa.

Kutafuta huruma hakusaidii.
 
Huwa nawashangaa wanapochoma mabango ya Samia, kwani mpaka wajirikodi haya MACHADEMA⁉️
Hata mm ningekua rais zarau ndogo ndogo kama hizi siezi Vumilia
Yaani chadema ni wachokozi afu wakipigwa wanakuja na vilio hapa.
 
Hawaitaji kua na ulinzi waaache matukio ya kijinga
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.
 
Ngoja na mimi nikueleze swali jepesi kuhusu mazingira ya utekaji.

Mzee Kibao alitekwa ndani ya basi la abiria mchana kweupe.

Akashushwa ndani ya gari na kufungwa pingu [abiria wanashuhudia]

Kundi hilo lilifunga njia mbele na kuzuia basi kwa kutumia gari mbili za Toyota Landcruiser na hapo ni Kibo complex.

Namba za gari hazikuwa na usajili unaofahamika rasmi.

Mzee Kibao alipatikana ameuwawa na kutupwa Ununio.

Sativa alitekwa Dar , akapelekwa kituo cha polisi Osterbay , baadae Arusha na kutupwa mbuga ya Katavi.

Kwa maelezo yake hayo gari iliyomsafirisha ilikuwa na namba pia za usajili zisizo rasmi imesafiri zaidi ya kilometa 1000+ ikipita vizuizi vya polisi barabarani na likikimbia 120 km/h bado na hawasimamishwi?

Sasa kama mazingira ya kutekwa ,kuteswa, kusalimika au kuuliwa yanashahabiana na hivyo nilivyozungumza leo tukio la Sativa linaenda mwezi wa 4 sasa hajakamatwa mtu hata mmoja tukio la mzee Kibao linaenda kufikisha mwezi wa 2 hakuna aliyekamatwa hata 1 unataka kusema hao nao walistage kutekwa?

Viongozi wangapi wamewahi kuwa na walinzi na wakauliwa?

Laurent Deśire Kabila alipigwa risasi 2001 akiwa ofisini huyu alikuwa rais na amiri jeshi mkuu wa nchi .

Je hakuwa na walinzi?

Tusitafute justification unaweza kuwa na ulinzi ukashambuliwa hapa hoja kuu ni kwanini matukio ya polisi kuteka watu yanashamiri?
Mkuu kwa hii Post yako Sijaona Ukijibu kama Huyu Dada Wa Chadema alikuwa na Walinzi na pia alitekwa mazingira gani.
 
Mkuu kwa hii Post yako Sijaona Ukijibu kama Huyu Dada Wa Chadema alikuwa na Walinzi na pia alitekwa mazingira gani.
Kama hujaona basi sina majibu zaidi.

Kila mmoja abaki kuamini anachoamini.
 
Ngoja na mimi nikueleze swali jepesi kuhusu mazingira ya utekaji.

Mzee Kibao alitekwa ndani ya basi la abiria mchana kweupe.

Akashushwa ndani ya gari na kufungwa pingu [abiria wanashuhudia]

Kundi hilo lilifunga njia mbele na kuzuia basi kwa kutumia gari mbili za Toyota Landcruiser na hapo ni Kibo complex.

Namba za gari hazikuwa na usajili unaofahamika rasmi.

Mzee Kibao alipatikana ameuwawa na kutupwa Ununio.

Sativa alitekwa Dar , akapelekwa kituo cha polisi Osterbay , baadae Arusha na kutupwa mbuga ya Katavi.

Kwa maelezo yake hayo gari iliyomsafirisha ilikuwa na namba pia za usajili zisizo rasmi imesafiri zaidi ya kilometa 1000+ ikipita vizuizi vya polisi barabarani na likikimbia 120 km/h bado na hawasimamishwi?

Sasa kama mazingira ya kutekwa ,kuteswa, kusalimika au kuuliwa yanashahabiana na hivyo nilivyozungumza leo tukio la Sativa linaenda mwezi wa 4 sasa hajakamatwa mtu hata mmoja tukio la mzee Kibao linaenda kufikisha mwezi wa 2 hakuna aliyekamatwa hata 1 unataka kusema hao nao walistage kutekwa?

Viongozi wangapi wamewahi kuwa na walinzi na wakauliwa?

Laurent Deśire Kabila alipigwa risasi 2001 akiwa ofisini huyu alikuwa rais na amiri jeshi mkuu wa nchi .

Je hakuwa na walinzi?

Tusitafute justification unaweza kuwa na ulinzi ukashambuliwa hapa hoja kuu ni kwanini matukio ya polisi kuteka watu yanashamiri?
Kabila alipigwa risasi na mmoja wa walinzi wake vipi kuhusu huyu aliyepakizwa kwenye boda boda huku kazimia hebu jiongeze kidogo!
 
Inachosha kusikia drama kila baada ya siku mbili mtu katekwa tena kiongozi akiwa kwenye kwenye kutekeleza majukumu ya chama.

Ina maana ni mchana kweupe,
Swali mtu huyo alikuwa hana ulinzi? wakati ni kiongozi wa kitaifa wa chama, hayo majukumu alikuwa anatekeleza chumbani kwake kwa maana ya peke yake au alikuwa na wenziwe mpaka watekaji wakamfikia.

Ushauri Chadema mikakati ya kujiteka mtajiumiza wenyewe na kujisababishia majeraha kujiteka kwenu hakuwezi sababisha raisi akajiuzulu kwa mambo ya kipuuzi. hebu ombeni ulinzi mkiwa kwenye majukumu au safari maana mnaleta utani kwenye mambo ya maana.

Tulijua fika mnaanza kutengeneza movie kwa kuchoma vitenge ili mje mseme mmetekwa kisa mlichoma vitenge ujinga na upuuzi wa kitoto.
La kujitakia halihitaji pole uwache mumeo ukatafute majeraha.

Kuna Bwana anaitwa Kombe ( rip ) na umaarufu, umahiri wake, alikula risasi toka kwa Police huku kanyanyua mikono ( kwa maelezo yao )

Tanzania ulinzi ni Sala!
 
Back
Top Bottom