Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
ukimaliza kuandika hivyo tunatakiwa kuamini kuwa zimebuma???
Nilikuwa natafuta point ya kuonesha zimebuma sijaiona....
umeandika fonts ndogo sana nitumie microscope?[emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa natafuta point ya kuonesha zimebuma sijaiona....
umeandika fonts ndogo sana nitumie microscope?[emoji12]
Ndege hazikuwa kipaumbele ndio na maana zimebuma kwa sababu zimenunuliwa kiholela na kwasababu nchi hii inadaiwa sana hizo ndege ndio zinakuwa target ndege project imefeli ndio maana mnajaribu kuwadanganya wananchi kwa nguvu kubwa sana wakati ukweli uko wazi.
Sent using Jamii Forums mobile app