Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

ukimaliza kuandika hivyo tunatakiwa kuamini kuwa zimebuma???

Nilikuwa natafuta point ya kuonesha zimebuma sijaiona....

umeandika fonts ndogo sana nitumie microscope?[emoji12]
Ndege hazikuwa kipaumbele ndio na maana zimebuma kwa sababu zimenunuliwa kiholela na kwasababu nchi hii inadaiwa sana hizo ndege ndio zinakuwa target ndege project imefeli ndio maana mnajaribu kuwadanganya wananchi kwa nguvu kubwa sana wakati ukweli uko wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ndege zinajiendesha kwa hasara kama ilivyo business yoyote inayoanza ... so sio hoja.

Tesla motors wanapata hasara pia ila wanajua wanapienda...

Kilimo ni siasa ila sio fact na sio ajira but ni shughuli ... wananchi wa get busy ...

Kilimo kwanza, nguvu kazi nk vyote havijamkomboa mtz. .

Ndege zitaingiza profit baada ya ku Break Even.. plus zinakuza utalii kwakuwa wengi walikuwa wanapitia kenya.

Usisahau kufufua shirika la ndege ni sera yetu ya chadema.
..kuendesha shirika la ndege ni biashara ya HASARA na pasua kichwa.

..Kwa hiyo usitegemee kwamba shirika la ndege litatujengea uwezo wa kutoa huduma ya maji kwa wananchi.

..zaidi Tz tunasema tuko kwenye vita ya uchumi dhidi ya mabeberu, sasa kwanini tunawekeza matrilioni ya fedha zetu ktk viwanda vya mabeberu vya kutengeneza ndege?

..Kwanini hatuwekezi fedha zilizotokana na jasho la wakulima na wafanyakazi wa Tz ktk miradi ya kilimo, ufugaji, au uvuvi? Hiyo ni miradi ambayo ingeweza kuajiri watu wengi zaidi kuliko shirika la ndege, na inatumia malighafi na nguvu kazi ya waTz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sio ndege Mkuu
Niionavyo mimi hiyo ni ndege ndogo huenda ikawa Cesna lakini mleta mada hana hoja.
Kama ingelikuwa ni Coaster hiyo configaration ya viti ingekuwa viwili kila upande na kimoja cha kukunja katikati.
 
Hii sio ndege Mkuu,wadanganye manungayembe,hii ni Coaster,tena Picha hii ni ya Zamani,angalia nyuma kabisa,angalia Kusho juuhakuna sio kama ndege,endelea kuwadanganya uliowapata!

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona tangu uzaliwe kupanda ndege ni kama kwenda mbinguni

USSR
IMG-20191211-WA0005.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kupanda first class buses achilia mbali ndege?
Ukute hata mleta mada hajawahi kupanda ndege, trust me!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Themagufulianz, Kulikuwa hakuna ndege au mmeua mashirika yaliyokuwepo ili mfaidi!, fastjet umeshaisahau sio, na precision, kwako huduma ya maji safi na salama kwa ajili ya wananchi wa vijijini haina maana sio?!, unaangalia investment ambayo hata hamjui profit mtaanza kuipata lini, nyie pimbi kweli!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe fala mimi wala sio chadema naona tu hali halisi nimtetee mbowe ili iweje

CCM na alie leta uzi hamjuielewi na ndio ninatumia matatizo ya wananchi kuwa mtaji wa kisiasa tu wala hayatatui

Mnaenda kununua denge ambayo haina faida yoyote mpate sifa za kisiasa tu nakufanya propaganda zenu



Sent using Jamii Forums mobile app
"denge" haraka za nini kaka upareni hii DENGE ni pombe ya miwa au Mzee ndio mambo yako. Nasikia inatoa kitambi flani ameizingi [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndege hazikuwa kipaumbele ndio na maana zimebuma kwa sababu zimenunuliwa kiholela na kwasababu nchi hii inadaiwa sana hizo ndege ndio zinakuwa target ndege project imefeli ndio maana mnajaribu kuwadanganya wananchi kwa nguvu kubwa sana wakati ukweli uko wazi.
Nani kakuwekea bando mkuu. mwambie anipigie nimshauri Jambo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta mada ana uwendawazimu fulani. Waliosema vile hawakumaanisha kuwa hawataki usafiri wa ndege. Siyo lazima usafiri wa ndege utolewe na serikali.

Nafikiri ikitokea siku serikali ikaamua kuanza kujenga restaurants kila kijiji, watu wakasema siyo kipaumbele, halafu serikali ikajenga na kisha kuzifunga restaurants zote za watu binafsi, siku waliosema ujenzi wa restaurants kwa serikali siyo kipaumbele, wakaonekana wanakula kwenye hizo restaurants, kuna wapumbavu watawapiga picha na kusema kuwa kwa nini wanakula chakula kwenye restaurants ambazo walisema siyo kipaumbele cha serikali?

Tuna watu wendawazimu wengi. Mtu kusema kitu fulani siyo kipaumbele cha serikali haimaanishi kuwa kitu hicho siyo muhimu kwa maisha yake.

Serikali hata isiponunua ndege, watu bado watapande ndege. Jambo baya lililofanyika ni kuiua Fastjet iliyokuwa inatoza nauli ndogo ili kuwalazimisha watu wote watumie ATCL.

Kuna huduma ambazo serikali isipozitoa, hakuna atakayezitoa japo huduma hizo ni muhimu sana kwa binadamu.
Ukishikwa tko utulie Kamanda hiyopicha inaongea yenyewe ,jitulize ujibu


State agent
 
Back
Top Bottom