Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
Ndege hazikuwa kipaumbele ndio na maana zimebuma kwa sababu zimenunuliwa kiholela na kwasababu nchi hii inadaiwa sana hizo ndege ndio zinakuwa target ndege project imefeli ndio maana mnajaribu kuwadanganya wananchi kwa nguvu kubwa sana wakati ukweli uko wazi.
..kuendesha shirika la ndege ni biashara ya HASARA na pasua kichwa.
..Kwa hiyo usitegemee kwamba shirika la ndege litatujengea uwezo wa kutoa huduma ya maji kwa wananchi.
..zaidi Tz tunasema tuko kwenye vita ya uchumi dhidi ya mabeberu, sasa kwanini tunawekeza matrilioni ya fedha zetu ktk viwanda vya mabeberu vya kutengeneza ndege?
..Kwanini hatuwekezi fedha zilizotokana na jasho la wakulima na wafanyakazi wa Tz ktk miradi ya kilimo, ufugaji, au uvuvi? Hiyo ni miradi ambayo ingeweza kuajiri watu wengi zaidi kuliko shirika la ndege, na inatumia malighafi na nguvu kazi ya waTz.
Niionavyo mimi hiyo ni ndege ndogo huenda ikawa Cesna lakini mleta mada hana hoja.Hii sio ndege Mkuu
Eti sio ndege hivi hawa waliwahi kupanda ndege kweliNiionavyo mimi hiyo ni ndege ndogo huenda ikawa Cesna lakini mleta mada hana hoja.
Naona tangu uzaliwe kupanda ndege ni kama kwenda mbinguniHii sio ndege Mkuu,wadanganye manungayembe,hii ni Coaster,tena Picha hii ni ya Zamani,angalia nyuma kabisa,angalia Kusho juuhakuna sio kama ndege,endelea kuwadanganya uliowapata!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Mtanzania anayetaka kupanda ndege ilhali kaogea tope
Huyo anaeenda Chato kwa Airbus tuwekeeni hesabu yaku tujumuisheNaona tangu uzaliwe kupanda ndege ni kama kwenda mbinguni
USSRView attachment 1289163
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo anaeenda Chato kwa Airbus tuwekeeni hesabu yaku tujumuisheNaona tangu uzaliwe kupanda ndege ni kama kwenda mbinguni
USSRView attachment 1289163
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na mke wangu nikurekebishe kidogo
Kawaulize mgonja.mlamba .chama na yona wachaga waliouwa mashirika wakishirikiana na mke wa mkapaKulikuwa hakuna ndege au mmeua mashirika yaliyokuwepo ili mfaidi!, fastjet umeshaisahau sio, precision,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani na wapi wanaoga matope ,chadema iliundwa kwa propaganda na inakufa hivyo maana kama dar maji ni24/7 same in arusha ,mwanza ,kigoma ,mtwara na n.kMimi na mke wangu nikurekebishe kidogo
Watanzania walio wengi tunaishi Vijijini sijui kama unalitambua hiloNani na wapi wanaoga matope ,chadema iliundwa kwa propaganda na inakufa hivyo maana kama dar maji ni24/7 same in arusha ,mwanza ,kigoma ,mtwara na n.k
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
"denge" haraka za nini kaka upareni hii DENGE ni pombe ya miwa au Mzee ndio mambo yako. Nasikia inatoa kitambi flani ameizingi [emoji12]Wewe fala mimi wala sio chadema naona tu hali halisi nimtetee mbowe ili iweje
CCM na alie leta uzi hamjuielewi na ndio ninatumia matatizo ya wananchi kuwa mtaji wa kisiasa tu wala hayatatui
Mnaenda kununua denge ambayo haina faida yoyote mpate sifa za kisiasa tu nakufanya propaganda zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakuwekea bando mkuu. mwambie anipigie nimshauri Jambo,Ndege hazikuwa kipaumbele ndio na maana zimebuma kwa sababu zimenunuliwa kiholela na kwasababu nchi hii inadaiwa sana hizo ndege ndio zinakuwa target ndege project imefeli ndio maana mnajaribu kuwadanganya wananchi kwa nguvu kubwa sana wakati ukweli uko wazi.
Ukishikwa tko utulie Kamanda hiyopicha inaongea yenyewe ,jitulize ujibu
State agent
Hili linahitaji mjadala wa Peke take, BWANA STATE AGENT hebu tulitafakari hili tusiliache likapita bure bure.Naona tangu uzaliwe kupanda ndege ni kama kwenda mbinguni
USSRView attachment 1289163
Sent using Jamii Forums mobile app