Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

Geuzeni shingo angalieni pia yaliyofanikiwa kama Angola Airline

The accounts of 55 companies in Angola’s public business sector shows an aggregate loss of 66 billion kwanzas (US$173 million) in 2018, according to reports and accounts released on the Institute of State Assets and Holdings (IGAPE) website.
 
Tazama hii picha halafu hebu fikiria yule Mkuu wa Mkoa aliyejaribu kuingiza samani kinyemela akidai ni madawati
Cha ajabu akaachwa tu aendelee kutumikia ofisi ya umma


CCM haina lengo la kumkomboa mwananchi wanajali matumbo yao tu.
 
Fast jet ilikuwa inatoa huduma nzuri na ya uhakika (timely) kwa gharama nafuu. Kaulize bei ya ndege kwa ATCL, hata makamouni yasiyo na luzuku yana nauli pungufu kidogo na uhakika wa safari kwa wakati uliopangwa.
Sijui Serikali inakwama wapi licha ya kuwa ktk industry muda mrefu. Kwa nini hawajifunzi kutoka yaliyopita? Utadhani ndiyo wanaanza biashara? Hata anaye anza lazima afanye research, aandae business plan ...Taifa hili????!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha kipindi cha awamu ya Tano

Yuwekee picha za hayo maaamaki maana tuliekwenda mnadani makontena yalifunguliwa tukaona samani

Samaki zingekaa miezi mitano bila barafu pale bandarini


State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar KIA laki Tano Leo elfu tisini hivi wewe unaakili timamu kweli?


State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…