Viongozi wa CHADEMA ni Walaghai

Yaani Afrika tuna changamoto sana ..majimbo ya watawala na watetezi yote hoi...na wao wanakimbia shida za wananchi..imekuwa kama mpira tu..
 
Chama chako cha majizi ya kura na mauza bandari kwa warabu yamewahi kukwambia mapato yao ikiwemo ruzuku au kwa kuwa akilizenu mmeshikiwa na bashite mwenye burro fake ndio maana hamjui chochote kama mandondocha.
Jengeni basi hata ofisi Makao Makuu watu gani nyie hamna hata nyumbani kwenu kila siku kupanga? Shame
 
Wewe unatakia nini maswala ya CDM nenda kwenye chama chako ambako siyo walaghai.
 
Kwani pesa za JOIN THE CHAIN walishasema wamekusanya kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…