Viongozi wa Dini hususan Kanisa Katoliki, Je, nikifoji cheti cha ndoa na mkajua nimefoji mtanipa adhabu gani?

Viongozi wa Dini hususan Kanisa Katoliki, Je, nikifoji cheti cha ndoa na mkajua nimefoji mtanipa adhabu gani?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kanisa Katoliki Tanzania naomba mnijibu.

Nikifoji cheti cha ndoa au Kipaimara au Komunio au Ubatizo japo nilikuwa Mtoto (kwa ubatizo) na mkajua kabisa nimefoji, Je, adhabu yangu ni ipi?

Je, nitakaribishwa Kukomunika ? Au na mathalani niwe na cheo labda Mbunge au Mkuu wa Mkoa. Je, dhambi yangu ya kufoji italindwa na mamlaka yangu?

Je, kanisa Katoliki linatoa adhabu kulingana na status ya Mtu?

Naomba kujibiwa na Kiongozi yoyote wa Kanisa Katoliki aliyemo humu.

Superbug.
 
Je, vuguvugu la mapadri kutaka kuoa halichangiwi na maovu ya viongozi wa kanisa wanayoyajua?
 
Naomba swali hili pia lijibiwe na waislamu je mtu akifoji muhuri wa mskiti au saini ya shehe mnafanyaje?
 
Una maswali magumu mpaka shetan lazma asiwe upande wako
Nataka tu kujua waumini wao wanaofoji nyaraka za kanisa au za msikiti kwa maana ya shehe wanawatrit vipi mkuu ni hilo tu.
Kuna jamaa yangu kafoji cheti cha ndoa namjua.
 
Akidi ya maisha itimie swali jingine...!
Unaweza kutimiza akidi hiyo ya maisha kwa kuoa kwa taratibu zozote nyingine. Sio lazima ndoa iwe ya kikatoliki.
Akidi ya maisha itimie swali jingine...!
Unaweza kufuata taratibu nyingine zozote ili kutimiza akidi hiyo ya maisha. Sio lazima uoe kikatoliki ili utimize akidi hiyo. Na kama unataka kuoa kikatoliki basi fuata taratibu za kikatoliki. Ni suala la hiyari. Na kama unajiona huwezi kufuata taratibu zao basi kuna ndoa nyingi sana. Zipo za kimila, za kiserikali, za kiislamu nk. Kughushi ni kosa kisheria. Unaweza usihukumiwe na kanisa ukahukumiwa na serikali..
 
Tutakupeleka vatkan kwa wale jamaa wanaonyandua marinda wakukomeshe!
 
Ukiforge cheti cha ndoa ni sawa na kuforge cheti cha shule au hata cha kuzaliwa. Ni dhambi kiimani lakini pia ni kosa la kisheria zaidi. Utapelekwa mahakamani ukaojiwe huko. Ukimaliza ya mahakamani unarudi kanisani kama kweli unajutia dhambi yako hiyo, kwa sisi waKatoliki nadhani itakubidi utekeleze masharti ya sakramenti ya kitubio. Na kama utajutia kwa dhati na kufanya malipizi tunaimani Mungu atasamehe kama anavyosamehe dhambi nyingine nyingi tunazotenda wanadamu.
 
Unaweza kutimiza akidi hiyo ya maisha kwa kuoa kwa taratibu zozote nyingine. Sio lazima ndoa iwe ya kikatoliki.

Unaweza kufuata taratibu nyingine zozote ili kutimiza akidi hiyo ya maisha. Sio lazima uoe kikatoliki ili utimize akidi hiyo. Na kama unataka kuoa kikatoliki basi fuata taratibu za kikatoliki. Ni suala la hiyari. Na kama unajiona huwezi kufuata taratibu zao basi kuna ndoa nyingi sana. Zipo za kimila, za kiserikali, za kiislamu nk. Kughushi ni kosa kisheria. Unaweza usihukumiwe na kanisa ukahukumiwa na serikali..
Uenda akidi ya maisha anayotaka kuitimiza iko linked na ukatoliki na wanataka ndoa ambayo ni zao la kanisa Katoliki.
 
Unaweza kutimiza akidi hiyo ya maisha kwa kuoa kwa taratibu zozote nyingine. Sio lazima ndoa iwe ya kikatoliki.

Unaweza kufuata taratibu nyingine zozote ili kutimiza akidi hiyo ya maisha. Sio lazima uoe kikatoliki ili utimize akidi hiyo. Na kama unataka kuoa kikatoliki basi fuata taratibu za kikatoliki. Ni suala la hiyari. Na kama unajiona huwezi kufuata taratibu zao basi kuna ndoa nyingi sana. Zipo za kimila, za kiserikali, za kiislamu nk. Kughushi ni kosa kisheria. Unaweza usihukumiwe na kanisa ukahukumiwa na serikali..
Yeye kauliza akifoji atapewa adhabu gani hilo ndiyo swali lake
 
Unaweza kutimiza akidi hiyo ya maisha kwa kuoa kwa taratibu zozote nyingine. Sio lazima ndoa iwe ya kikatoliki.

Unaweza kufuata taratibu nyingine zozote ili kutimiza akidi hiyo ya maisha. Sio lazima uoe kikatoliki ili utimize akidi hiyo. Na kama unataka kuoa kikatoliki basi fuata taratibu za kikatoliki. Ni suala la hiyari. Na kama unajiona huwezi kufuata taratibu zao basi kuna ndoa nyingi sana. Zipo za kimila, za kiserikali, za kiislamu nk. Kughushi ni kosa kisheria. Unaweza usihukumiwe na kanisa ukahukumiwa na serikali..
Serikali ikighushi inahukumiwa nanani?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom