R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Nov 23, 2024 #1 Msichoke, kila hatua ikemeeni kama haitendi haki. sasa kampeni , wapinzani wanaonewa sana, serikali , polisi for that matter, imeonesha ushenzi mkubwa. Wakemeeni na kumtanguliza mungu wa Mbinguni awaadhibu weye dhambi ya madaraka
Msichoke, kila hatua ikemeeni kama haitendi haki. sasa kampeni , wapinzani wanaonewa sana, serikali , polisi for that matter, imeonesha ushenzi mkubwa. Wakemeeni na kumtanguliza mungu wa Mbinguni awaadhibu weye dhambi ya madaraka
V Vyamavingi JF-Expert Member Joined Oct 3, 2014 Posts 5,818 Reaction score 5,555 Nov 23, 2024 #2 Unaamini mkuu wa nchi hajui? Kama wewe unajua haiwezekani yeye asijue! Vv
F fazili JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 16,427 Reaction score 22,418 Nov 23, 2024 #3 Kabisa mambo yanayoendelea ni ubatili mkubwa.