Viongozi wa dini msitumie taasisi za kidini kumtetea mhalifu

Viongozi wa dini msitumie taasisi za kidini kumtetea mhalifu

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
 
Mkuu, yaani kwa akili yako unafikiri hao viongozi wa dini wanafanya kwa bahati mbaya?

Huo ni mpango mkakati wa kuachana na hiyo kesi.. Hujiulizi kwanini hawamuombei Sabaya msamaha?

Ichangamshe akili. Kesi hiyo imebambikwa na namna ya kuachana nayo ni kuzunguka huku na kule.

Unafikiri baadhi ya mikopo na misaada kutoka huko kwa mabeberu hawamuambii mama kwamba hamna kesi pale?
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
What if akishinda case huoni Itakua aibu kubwa zaidi!!!
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.


Mbowe hajawahi wala hata omba msamaha kwa kesi ya michongo huo ndiyo ukweli. Sasa ni kutapatapa kwa serikali lakini tatizo ni kwamba Watanzania wanamjua mbowe na kesi yenyewe na mashahidi wamefanya kazi mbaya sana. Hivyo hao watu wa dini wanafanya kumsaidia Mama sio Mbowe. Mbowe umashuhuri umepanda tena sana
 
Mbowe hajawahi wala hata omba msamaha kwa kesi ya michongo huo ndiyo ukweli. Sasa ni kutapatapa kwa serikali lakini tatizo ni kwamba Watanzania wanamjua mbowe na kesi yenyewe na mashahidi wamefanya kazi mbaya sana. Hivyo hao watu wa dini wanafanya kumsaidia Mama sio Mbowe. Mbowe umashuhuri umepanda tena sana
Point tupu
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Wahalifu wako ikulu na bungeni kwa kuingia sehemu husika kwa udanganyifu, wizi wa kura
 
Watanzania kweli wasahaulifu Mama alishaweka wazi kosa la Mbowe ni Kukosa Adabu ndiyo maana watu wenyeakili wanamwombea Mbowe msamaha kwa Mama hivyo Mama anachoombwa kusamehee ni hiyo Adabu aliyo kosewa hayo mengine yatajifuta
 
Kwanza ni kosa kumwita mtu mhalifu wakati hajathitishwa kisheria kuwa amefanya kosa. Pili huwezi kumsamehe mtu ambaye hajathibitishwa kuwa amefanya kosa mbele ya sheria. Kinachoweza kufanyika ni kufuta kesi na siyo kusamehe
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Shetani mkubwa, wewe nani wewe?
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa le kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Mkuu sheria za ugaidi za Tanzania unazijua hata kidogo?au umeamua kuandika tu kama hujui kitu nyamaza. Usifurahie mateso ya binadamu mwenzako.
 
Watanzania kweli wasahaulifu Mama alishaweka wazi kosa la Mbowe ni Kukosa Adabu ndiyo maana watu wenyeakili wanamwombea Mbowe msamaha kwa Mama hivyo Mama anachoombwa kusamehee ni hiyo Adabu aliyo kosewa hayo mengine yatajifuta
Akili yako ipo undermoderate hivyo mrengo ule unaweza kukutumia kama inavyotaka..
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Hapo kwa maana nyingine wanamuomba Rais aingilie mhimili mwingine.Mimi sipo.
 
Back
Top Bottom