Viongozi wa dini msitumie taasisi za kidini kumtetea mhalifu

Viongozi wa dini msitumie taasisi za kidini kumtetea mhalifu

Viongozi wa dini wa Karne hii ni wa mchongo kwa wamekuwa akidanganya hiyo hiyo selikali huduma wanazotoa kwa kwa jamii ni kwa ajili ya usaidizi wa jamii kwenye afya na elimu ili wapate misamaha ya Kodi ikuenda kwenye huduma zao Sasa za afya na elimu bei lazima upigwe na kitu kizito kichwani wakati huku walipata misamaha ya Kodi tasisi za kidin zimekuwa za michongo na nawakumbusha tu kesi ishakuwa mahakani rais hawezi ingilia Hadi kesi itolewe maamuzi na mahakama na shauri kuisha kabisa mahakamani na Kila tasisi ya dini tunaidai Kodi ilipe tuna Mambo mengi ya kufanya hata mkitana tra wanataka Kodi yao tu ndo maana waliowapa tn namba mnafanya biashara
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Innocent until proven guilty, ni mshukiwa(suspect) mpaka mahakama itakapoamua.
Mhalifu ni yule ambaye ameshakutwa na hatia kama ilivyo kwa Jambazi Sabaya, ule utaratibu wa elimu ya wazima unahitajika sana ili kupunguza idadi ya mbumbumbu.
 
Mbowe hajawahi wala hata omba msamaha kwa kesi ya michongo huo ndiyo ukweli. Sasa ni kutapatapa kwa serikali lakini tatizo ni kwamba Watanzania wanamjua mbowe na kesi yenyewe na mashahidi wamefanya kazi mbaya sana. Hivyo hao watu wa dini wanafanya kumsaidia Mama sio Mbowe. Mbowe umashuhuri umepanda tena sana
Subiri aanze kujitetea
 
Hapo vipi!

Jana nimesikia maombi ya viongozi wa dini kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kiukweli kinachoonekana hapo nikwamba baadhi ya viongozi wa dini ni wanasiasa wenye mrengo fulani, lakini namuona kiongozi mmoja wa dini ambaye ndio, aliyepanga huo makakati kwa lengo la kumuombea msamaha ndugu yake kwa maslahi ya jamaa zao na chama chao na sio msamaha unaoheshimi maslahi ya taifa na usalama kwa ujumla.

Tafsiri wanaota kakutengeneza kupitia msamaha huu ni kwamba:

1. Kunawatu wakifanya kosa hawezi kufungwa ndani ya nchi hii kwasababu atetewa na wanaharakati fulani,vyombo vya habari na viongozi wa dini wenye mrengo wa upande ule.

Namuomba Rais awe makini na huo msamaha uliyochomekewa na kiongozi mmoja wa dini aliyejificha nyuma. Lengo lake ni kutumia taasisi ya dini vibaya kwa maslahi ya jamaa zake na kutetea viongozi wa chama fulani, hata kipindi cha marehemu Magufuli alikuwa akitofautiana naye sana.

2. Msamaha huu utaleta tafsiri yakwamba mahakama zetu zinaweza kuingiliwa na muhimili mwingine na kufanya chochote.

3. Itahalalisha yale madai kutoka upande ule yakwamba rais amemtengenezea mbowe kesi na baada hapo tarumbeta na makelele ya kutangazia ulimwengu yakwamba ni kweli ni kesi ya kubumba zitakuwa zikiongezeka sana.

4. Rais utaonyesha yakwamba hakuna equality and fair katika mahakama zetu kwasababu kuna watu wengine wanaweza kufanya kosa akachomolewa kisiasa.

5. Utakuwa umewaabisha na kuwavunja moyo jamhuri, hivyo jamhuri itaonekana mbele ya macho ya jamii yakwamba kesi zao zote ni za kubumba.

Hakuna nafasi ya busara mbele ya kesi iliyofikishwa mbele ya mahakama, mahakama ipewe uhuru wake.

Tukirudi kwenye sheria za imani,siamini kama mtu mashuhuri akivunja amri za mwenyezi Mungu, basi walimwengu wakimtetee basi sheria ya mwenyezi Mungu itakanyagwa ili kumnusuru. Hapana tena nasema hapana, hakuna aliye juu ya sheria. Mahakama ipewe uhuru wa kufanya maamuzi.

NB. Mhalifu ni mhalifu tu hata atetewe na ulimwengu wote, mhalifu adhibiwe ili iwefundisho kwa vizazi na vizazi.
Vipi Dogo DPP kakosa ushahidi au ??
Tuliwaambia hamkusikia akili ndogo haiwezi shinda akili kubwa
 
Back
Top Bottom