LIMBOMAMBOMA JF-Expert Member Joined Oct 3, 2017 Posts 10,482 Reaction score 14,007 Aug 28, 2020 #41 Wao walishasema wanamuunga mkono magu.msipoteze muda kuhangaika nao
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Joined Aug 7, 2014 Posts 95,871 Reaction score 116,627 Aug 28, 2020 #42 share said: Naiona Libya ileee, inakuja polepole Tanzania. Click to expand... Balaa tupu
I issa yurry JF-Expert Member Joined Apr 20, 2014 Posts 626 Reaction score 818 Aug 28, 2020 #43 Viongozi walio bakia nchii hii ni wale uamsho na shekhe ponda wale waliobakia wote niwaungajuhudi kwenda kupokea pesa za msikiti zilizo changishwa makanisani na kupokea bahasha njaa inawasumbua halafu wanajita viongozi was dini
Viongozi walio bakia nchii hii ni wale uamsho na shekhe ponda wale waliobakia wote niwaungajuhudi kwenda kupokea pesa za msikiti zilizo changishwa makanisani na kupokea bahasha njaa inawasumbua halafu wanajita viongozi was dini
W wa hapahapa JF-Expert Member Joined Aug 22, 2012 Posts 7,455 Reaction score 4,395 Aug 31, 2020 #44 Econometrician said: Wamisha pewa wali wa Ikulu wamekula wameshiba. Click to expand... Hii dhambi ya kutumia dini kwaajiri ya siasa itawatafuna... Shida Ni njaa na UOGA...
Econometrician said: Wamisha pewa wali wa Ikulu wamekula wameshiba. Click to expand... Hii dhambi ya kutumia dini kwaajiri ya siasa itawatafuna... Shida Ni njaa na UOGA...