Viongozi wa dini ndiyo chanzo cha uvunjifu wa maadili kwenye nyumba za ibada

Viongozi wa dini ndiyo chanzo cha uvunjifu wa maadili kwenye nyumba za ibada

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hivi hawa viongozi wetu wamepatwa na nini ndugu zanguni? Inasikitisha sana.

Jioni ya leo nimekutana na moja ya dhehebu katika pita pita zangu, ikabidi niingie japo niiburudishe nafsi. Mara pap ni muda wa sifa. Wimbo uliokuwa unaimbwa umeniacha mdomo wazi. Cha kushangaza waumini wanaimba vizuru tu, kwa kujiamini na furaha tele.

Baada ya kufuatilia, naambiwa wimbo kaimba mchungaji kwa ajili ya kanisa lake.

Nilijikuta najionea aibu mwenyewe baada ya kumuona mwanaume anayeonekana kuwa baba wa familia akiufuatisha wimbo huo kwa furaha zote.

Nasubiri kuulizwa video iko wapi niiweke hapa hapa kwa comment, maake ni aibu sana kukaa hapa juu
 
Fanya yako,ukifikiria baba mchungaji ni malaika ukaamua kumuachia binti ama mke wako achungwe naye,mpumbavu utakuwa ni wewe.

Kufungua nyumba ya ibada ni sehemu rahisi ya kuwapata wale kwenye Biblia wanaitwa
"WANAANGAMIZWA KWA KUKOSA MAARIFA"
 
Wimbo wenyewe ni huu hapa
 
Nadhani ni wanchi jirani. Ila ki TZ pia kuna mambo ya hovyo sana kwenye dini hasa yetu wakristo. Ushauri wangu kuweke mipaka tu ya kidini. Mtu aliyeua watu kisa walikua wanagombania kukanyaga mafuta ni muuaji kama wauwaji wengine tu.
 
Nilijikuta najionea aibu mwenyewe baada ya kumuona mwanaume anayeonekana kuwa baba wa familia akiufuatisha wimbo huo kwa furaha zote.

Nasubiri kuulizwa video iko wapi niiweke hapa hapa kwa comment, maake ni aibu sana kukaa hapa juu
Utakuwa ni ule wa Yesu ninyandue
 
Aisee aiseee
Ndo hivyo kiongozi, yaani huo wimbo kwenye verse za mbele kuna mambo ya upinde. Halafu waumini wanarejelea kama hawana akili nzuri huku wakimpigia vigelegele mchungaji wao[emoji26]

Nilikoma kabisa kuvamia ibada za makanisa ya njiani
 
Ndo hivyo kiongozi, yaani huo wimbo kwenye verse za mbele kuna mambo ya upinde. Halafu waumini wanarejelea kama hawana akili nzuri huku wakimpigia vigelegele mchungaji wao[emoji26]

Nilikoma kabisa kuvamia ibada za makanisa ya njiani
Aaaah acha kabisa hayA makanisaaa
 
Back
Top Bottom