Viongozi wa dini wanashindwa kuwashauri viongozi wazuie nyimbo zenye matusi

Viongozi wa dini wanashindwa kuwashauri viongozi wazuie nyimbo zenye matusi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo zao ili kunusuru taifa watoto wasiharibikiwe kimaadili.

Mtu anaimba mkanda, mkende, mkindi, mkondo..... Lazima watoto watamalizia hiyo unawajengea picha mbaya kichwani wanaona kama wasanii wanaimba sijui mambo ya nyege na wanafanya kazi na viongozi wanakubalika mwisho wanaona kumbe ngono inakubalika. Taifa la hovyo sana lisilowajibika kuwafanya walau hata watoto wawe na hofu na Mungu.
 

Viongozi wa dini wanapokea michango ya mamilioni kutoka kwa viongozi wa kisiasa. Waimbaji matusi ni chawa wa viongozi wa kisiasa. Umeelewa nini hapo?

Nchi ya machawa!
 
Dogo Janja mbele ya Makamu Wa Rais, Waziri Mkuu, Askofu Mkuu Isack Amani, Shehe wa Mkoa na Viongozi wengine wa Dini ameimba.. "... Ananipaga hadi mambo ya uwani...." Taabu sana walahi..
 
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo zao ili kunusuru taifa watoto wasiharibikiwe kimaadili.

Mtu anaimba mkanda, mkende, mkindi, mkondo..... Lazima watoto watamalizia hiyo unawajengea picha mbaya kichwani wanaona kama wasanii wanaimba sijui mambo ya nyege na wanafanya kazi na viongozi wanakubalika mwisho wanaona kumbe ngono inakubalika. Taifa la hovyo sana lisilowajibika kuwafanya walau hata watoto wawe na hofu na Mungu.
Kama wameshindwa kuwazuia kina mwijaku kutuaibisha wanaume wataweza kwenye nyimbo? Yani wanaume Tanzania tunapitia wakati mgumu sana. Aibu tunaona sisi.
 
Kuna mwingine Kaimba " nakupenda wewe na huyo bwana wako" na yule mwingine wa " story ya Hassan kafanywa nini"

Ni upumbavu mtupu
 
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo zao ili kunusuru taifa watoto wasiharibikiwe kimaadili.

Mtu anaimba mkanda, mkende, mkindi, mkondo..... Lazima watoto watamalizia hiyo unawajengea picha mbaya kichwani wanaona kama wasanii wanaimba sijui mambo ya nyege na wanafanya kazi na viongozi wanakubalika mwisho wanaona kumbe ngono inakubalika. Taifa la hovyo sana lisilowajibika kuwafanya walau hata watoto wawe na hofu na Mungu.
Wewe unashangaa hilo huko arusha Leo watu wanaitwa wadudu mbele ya makamo wa rais na wanashangilia. Tunapoenda siko kabisa
 
Taifa linazidi kuzalisha mitoto hasara tu,mitoto kutwa kukatika
Miuno

Ova
 
Waimba matusi wanajulikana, WCB yote

Wawazuie hao
Kisha wapige marufuku Singeli
Inastaajabisha msanii anaimba mambo za ufirauni na baadae anaalikwa na mtume sijui nabii kanisani..
 
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo zao ili kunusuru taifa watoto wasiharibikiwe kimaadili.

Mtu anaimba mkanda, mkende, mkindi, mkondo..... Lazima watoto watamalizia hiyo unawajengea picha mbaya kichwani wanaona kama wasanii wanaimba sijui mambo ya nyege na wanafanya kazi na viongozi wanakubalika mwisho wanaona kumbe ngono inakubalika. Taifa la hovyo sana lisilowajibika kuwafanya walau hata watoto wawe na hofu na Mungu.
Vyombo vyenyewe vya muziki vilikuwa vinatoa sauti yenye kusikika vema na kueleweka?Na Je,huwa kuna ulazima wa kuwaalika wanaopiga muziki(wasanii)wa kisela?Kuita bendi za muziki wenye jumbe murua na tumbuizo mwanana wamekwama siku hizi?Vipi kuhusu ..."nenda mbele sendemaaa...rudi nyuma sendemaaa!Kushoto kulia sendemaaaa"...!
 
taifa limelaaniwa kuanzia juu kushuka chini, ndio maana ukiwatizama utaona sura za wezi tupu, waongo waongo, wanafki, wakujipendekeza tu na kujichekesha chekesha huko juu
 
Back
Top Bottom