Viongozi wa Dini ya Kiislamu wapiga marufuku DSTV Kenya

Viongozi wa Dini ya Kiislamu wapiga marufuku DSTV Kenya

Status
Not open for further replies.
mrema..mrema ...mrema........unataka mahakama ya kadhi mrema....unataka tusiangalie UEFA mrema....chonde chonde mrema na wenzako.....HAYA NI MADHARA YA MAHAKAMA YA KADHI KENYA......(Nchi ambayo ni jirani zetu na madhra ndo haya)
 
wanao uhuru wa kuwakataza au kuwaonya waumini wao wasiangalia Dstv, lakini sidhani kama wanao uwezo kisheria 'kuban' Dstv isionyeshwe eneo hilo kwani leseni ni kwa ajili ya nchi nzima.

Waafrika bado tuna tatizo na haki za binadamu, maana hawa masheikh na hata wachungaji na mapadri wana tabia za kupenda kushawishi mambo ambayo kwa kweli yanaendana kinyume na uhuru wa binadamu. Mfano si ajabu kusikia ukiwa Dar kwenye misikiti na mahubiri hawa watu wakiwadhalilisha wanasiasa ambao imani zao ni tofauti na za kwao.

Ndio maana mi nimeamua kuachana na hizi dini zote hadi hapo nabii wa kweli wa kiafrika atakapokuja, ama sivo nitaendelea kuwa agnostic, no point...
weza
 
Ni mawazo yangu tu haya lakini.

Wenzetu waislamu nafikiri wanakuwa wanachanganya mambo fulani, mfano nafikiri kabisa wenda wanakuwa na mawazo kwamba islamu duniani kote ni rukusa na lkinyume chake si ruksa.
Mfano utakuta wanaandamana sana ku force kujenga na kuendeleza tamaduni za kiislamu sehemu ambayo si ya kiislamu, lakini ukijarabu kuishi kwa tamaduni zako ktk dunia ya islamu wana kuchinja ama kukuchapa viboko.
Mfano kuna wazungu fulani sikumbuki ktk nchi gani ya kiaarabu kama sikosei ilikuwa Saudia arabia walikuwa wamevaa bukta wakakumbatiana ktk haraiki na kupeana busu ,Hawa jamaa waliwakamata hawa wazungu kuwachapa viboko na kuwarudisha, Wakati kwa wazungu swala la kumpa busu mwezio ndo unaonekana una maadili.
Sasa angalia Ubelgiji wao wanalazimisha kuvaa mavazi ambayo siyo maadili kwa wabelgiji, wakiambiwa wanakuja juu. Wenzetu lazima nafikiri wakubali kwamba vazi unaloona kwako ni la maadili kwa mwenzio sio la maadili vilevile, kwa hiyo angalau wangekuwa na fair fulani ktk maadili mfano na wao huko ktk dunia ya islamu ivumilie tamaduni na maadili ya wengine.

Swala la mavazi huwezi sema hili ni vazi la maadili ,kwani linategemeana na mazingira, mfano huwezi sema mwanamke wa kiafrika avae gauni, sketi ama kitenge nchini urusi MOSCOW, mama huyu atakufa tu kwa baridi ni lazima agande. Ndivyo hivyo nafikiri mavazi ya islamu ni tamaduni ya waarabu kuishi jangwani ambako kuna upepo mkali na mchenge mwepesi ambalo linasababisha vumbi kali.Hivyo yale mavazi ni mavazi staili ktk mazingira ya waarabu kule jangwani na sio kwa mazingira kama DAR.
Mavazi yale bado nafikiri hayakutengenezwa kwa ajili ya kuwaficha wanawake zidi ya wanaume bali zidi ya upepo mkali na mchanga unaopiga masikio. Na ndio maana hata wanaume wanavaa vilemba wakiziba masikio. cha kujiuliza kwani wanaume wanaziba masikio kwa sababu masikio ya wanaume ni kivutio na matamanisho kwa wanawake.? jibu ni hapana.

Hakuna part, ya mwanadamu ambayo ni tamanio dhidi ya mwezake hilo ndo jibu sahihi, ila kutamani ni kwa sababu mtu husika unaamuwa kuiambia roho yako mtamani fulani. Kwani mnataka kutuambia ya kwamba babu zetu waliokuwa wanavaa makuti kuziba sehemu za mbele tu walikuwa wanatamaniana kila sekunde? ama walikuwa hawana maadili kwa kuvaa makuti?
Ndivyo vivyo hakuna Program ambayo inaweza kukusababisha ukose maadili, ila ni mhusika tu mkosa maadili anakuwa amekosa maadili toka akiwa tumboni mwa mama yake.
 
Ni mawazo yangu tu haya lakini.

Wenzetu waislamu nafikiri wanakuwa wanachanganya mambo fulani, mfano nafikiri kabisa wenda wanakuwa na mawazo kwamba islamu duniani kote ni rukusa na lkinyume chake si ruksa.
Mfano utakuta wanaandamana sana ku force kujenga na kuendeleza tamaduni za kiislamu sehemu ambayo si ya kiislamu, lakini ukijarabu kuishi kwa tamaduni zako ktk dunia ya islamu wana kuchinja ama kukuchapa viboko.
Mfano kuna wazungu fulani sikumbuki ktk nchi gani ya kiaarabu kama sikosei ilikuwa Saudia arabia walikuwa wamevaa bukta wakakumbatiana ktk haraiki na kupeana busu ,Hawa jamaa waliwakamata hawa wazungu kuwachapa viboko na kuwarudisha, Wakati kwa wazungu swala la kumpa busu mwezio ndo unaonekana una maadili.
Sasa angalia Ubelgiji wao wanalazimisha kuvaa mavazi ambayo siyo maadili kwa wabelgiji, wakiambiwa wanakuja juu. Wenzetu lazima nafikiri wakubali kwamba vazi unaloona kwako ni la maadili kwa mwenzio sio la maadili vilevile, kwa hiyo angalau wangekuwa na fair fulani ktk maadili mfano na wao huko ktk dunia ya islamu ivumilie tamaduni na maadili ya wengine.

Swala la mavazi huwezi sema hili ni vazi la maadili ,kwani linategemeana na mazingira, mfano huwezi sema mwanamke wa kiafrika avae gauni, sketi ama kitenge nchini urusi MOSCOW, mama huyu atakufa tu kwa baridi ni lazima agande. Ndivyo hivyo nafikiri mavazi ya islamu ni tamaduni ya waarabu kuishi jangwani ambako kuna upepo mkali na mchenge mwepesi ambalo linasababisha vumbi kali.Hivyo yale mavazi ni mavazi staili ktk mazingira ya waarabu kule jangwani na sio kwa mazingira kama DAR.
Mavazi yale bado nafikiri hayakutengenezwa kwa ajili ya kuwaficha wanawake zidi ya wanaume bali zidi ya upepo mkali na mchanga unaopiga masikio. Na ndio maana hata wanaume wanavaa vilemba wakiziba masikio. cha kujiuliza kwani wanaume wanaziba masikio kwa sababu masikio ya wanaume ni kivutio na matamanisho kwa wanawake.? jibu ni hapana.

Hakuna part, ya mwanadamu ambayo ni tamanio dhidi ya mwezake hilo ndo jibu sahihi, ila kutamani ni kwa sababu mtu husika unaamuwa kuiambia roho yako mtamani fulani. Kwani mnataka kutuambia ya kwamba babu zetu waliokuwa wanavaa makuti kuziba sehemu za mbele tu walikuwa wanatamaniana kila sekunde? ama walikuwa hawana maadili kwa kuvaa makuti?
Ndivyo vivyo hakuna Program ambayo inaweza kukusababisha ukose maadili, ila ni mhusika tu mkosa maadili anakuwa amekosa maadili toka akiwa tumboni mwa mama yake.

Umeongea kweli kabisa, waislamu huwa wanapenda kujiona wao na tamaduni za kiarabu ni sahihi bila kuheshimu tamaduni za watu wengine. Kama uarabuni wana-lazimisha watu wafuate tamaduni za kiarabu inakuwaje wakiwa nchi zingine mf. ufaransa, wao hawataki kufuata tamaduni za kifaransa? Wanalazimisha kuvaa kininja huku wakificha mabomu ili kuwalipua wenyeji!

Ujinga ndo unaowasumbua, ni sawa na mtu asiyekuwa na exposure na tamaduni zingine ataendelea kuamini yanayofanyika alikotoka ndiyo sahihi, mf. labda kwao hawatumii vyoo, ataendelea kuamini kuchangia choo siyo ustaarabu!
 
Maadili lazima yaendane na kabila au jamii fulani, lakini kwa karne ya sasa kila mtu ana maadili yake.
Hapa kuna umbumbumbu zaidi ya dini.
 
wanao uhuru wa kuwakataza au kuwaonya waumini wao wasiangalia Dstv, lakini sidhani kama wanao uwezo kisheria 'kuban' Dstv isionyeshwe eneo hilo kwani leseni ni kwa ajili ya nchi nzima.

Waafrika bado tuna tatizo na haki za binadamu, maana hawa masheikh na hata wachungaji na mapadri wana tabia za kupenda kushawishi mambo ambayo kwa kweli yanaendana kinyume na uhuru wa binadamu. Mfano si ajabu kusikia ukiwa Dar kwenye misikiti na mahubiri hawa watu wakiwadhalilisha wanasiasa ambao imani zao ni tofauti na za kwao.

Ndio maana mi nimeamua kuachana na hizi dini zote hadi hapo nabii wa kweli wa kiafrika atakapokuja, ama sivo nitaendelea kuwa agnostic, no point...
weza

Nabii Bujibuji aibuka kuokoa watu wenye ngozi adimu, Black Diamond
 
Last edited by a moderator:
yale yale ya wakristu wachache walio zanziba wasile wakati wa mfungo wa waislamu..ujing@ mtupu..nyie akina nani islam is racist doctrine similar to nazism
 
Siasa zenye vionjo vya Kimula na Ki El-Shaabab na Ki BokoHaraam hizo zinaanza kuchipuka ndani ya Kenya sasa. Kuna kila dalili kuwa 'Boko haaram' iko kazini. Vema kuanza kuwawasha mapema kabla hawajafanya move yeyote nyingine.
 
Nakuunga mkono mkuu,umezungumza kitu cha maana. Kinachotakiwa ni serikali ya Kenya kukutana na viongozi wa kiislam na DSTV kutatua tatizo hilo.

Kinachotakiwa kuangaliwa hapo ni Katiba na sheria za nchi zinasemaje kuhusiana na jambo hilo.
Kama ni kinyume chake basi watakuwa wamekiuka sheria.

Kama ni kukutana na hao viongozi labda iwe ni kwa ajili ya kuwaelimisha katiba na sheria za nchi na kuwaelimisha kutambua mipaka yao ya mamlaka na kuheshimu sheria na katiba ya nchi.

Changamoto kwa Viongozi walio kula kiapo kulinda katiba.
 
Maadili according to who? Wanakomalia mavazi kisha wanafuga mapepo, kuua binadamu wasio na hatia kwa ugaidi na kugombania sadaka misikitini!

ugaidi unafanywa na mabwana zenu wagalatia, Wamefanya ugaidi Libya, sasa wamehamia Syria !:shocked:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom