King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Fukuzeni wote wachumia tumbo 19 waliosaliti harakati ,wawe wabunge wa mahakama tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fukuzeni wote wachumia tumbo 19 waliosaliti harakati ,wawe wabunge wa mahakama tu.
Nusrat Hanje amejificha kwa nyumba ili tusimuone?View attachment 1634187
Asanteeee,kama bwai na iwe bwai...
Ha ha ha ha ofisi kuu ya saccos..
Tuambie na ya kusifu na kumuabudu MagufuliMngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri. Leo wanamama wameapishwa huku kiongozi wao akimtaja Mwenyekiti Mbowe. Kesho Makene au Mnyika atakurupuka kuongea, keshokutwa atakuja Mbowe kuwapongeza wanamama walioapishwa leo. Wanachama mtabaki kila mtu ananena kwa lugha yake.. Yote kwa yote mnaowaamini wanasiasa endeleeni, Ila hatutachoka kuwaambia sio Lissu,Mbowe, Mnyika wala nani wote wachumia matumbo tu.
Naona Ndugai anaanza kufanana na Wassira.View attachment 1634187
Asanteeee,kama bwai na iwe bwai...
Pesa nyingi hutumika kupambana na hujuma kesi za kubambikiwa uonevu wa CCM mda mwingi hutumika kuokoa chama lakini endapo mbowe kachukua pesa kauza wabunge huko Bungeni ajue chadema ndiyo bye bye hakuna mwenye Akili timamu atasalia chademaHaya ndio makao makuu ya chama kinachopokea millions za Tax payer money kama ruzuku?
Wata nena kwa lugha [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri. Leo wanamama wameapishwa huku kiongozi wao akimtaja Mwenyekiti Mbowe. Kesho Makene au Mnyika atakurupuka kuongea, keshokutwa atakuja Mbowe kuwapongeza wanamama walioapishwa leo. Wanachama mtabaki kila mtu ananena kwa lugha yake.. Yote kwa yote mnaowaamini wanasiasa endeleeni, Ila hatutachoka kuwaambia sio Lissu,Mbowe, Mnyika wala nani wote wachumia matumbo tu.
Hata CCM ni wachumia Tumbo pia ndiyo maana madalali wametengeneza mchongo wa kuwanunua hao wabunge wamekula 10% endapo chadema italeta lugha za kijinga jinga kuwatetea hao wabunge utambue kuwa itapoteza wanachama wote na kuwa kama TLP NCCRMngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri..
Anzisha thread kuhusu hilo nitachangia tu.Tuambie na ya kusifu na kumuabudu magufuli
Ni jambo jema!
Dah!Mngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri. Leo wanamama wameapishwa huku kiongozi wao akimtaja Mwenyekiti Mbowe. Kesho Makene au Mnyika atakurupuka kuongea, keshokutwa atakuja Mbowe kuwapongeza wanamama walioapishwa leo. Wanachama mtabaki kila mtu ananena kwa lugha yake.. Yote kwa yote mnaowaamini wanasiasa endeleeni, Ila hatutachoka kuwaambia sio Lissu,Mbowe, Mnyika wala nani wote wachumia matumbo tu.
Usione Aibu kusema hapo ndipo CCM hukoseshwa usingizi mpaka kuunda ushetani wa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuubaka kuunajisi kuulawiti uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani na sasa hapo hapo pamewapa gharama kubwa kuwanunua wabunge wa kike kwa hofu ya wahisani wafadhili kuwawekea vikwazo, hiyo Ofisi ni ndogo lakini CCM wanaiogopa mpaka kuwafanyia kila aina za Visa,
Hiyo ndiyo ofisi huogopwa na CCM mpaka kukesha kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso yote na sasa wametumia mabilioni kuwanunua wabunge wa kike, Sasa jiulize je? Chadema wangekuwa na ghorofa 5 ingekuaje? Si mngekuwa mkiwachinja kama kuku?Haya ndio makao makuu ya chama kinachopokea millions za Tax payer money kama ruzuku?
[emoji1787][emoji1787] bongo nyosoTayari nina popcorns zangu hapa nasubiria kesho saa tano asubuhi kwa episode mpya ya ufipa [emoji23]...
CHADEMA wanaweza pia anzisha reality show watapata pesa nzuri maana wapo vizuri kwa maigizo.
[emoji1787][emoji1787]Watatoa tangazo rasmi la kumfukuza Tundu Antipas Mughwai Lisu.