Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

Viongozi wa Juu wa CHADEMA kuongea na Wanahabari Novemba 25, 2020 Makao Makuu ya Chama, Kinondoni

Please msifukuzane wala kumtafuta mchawi, tulieni kwa sasa mtafakari hatima ya Chadema na upinzani kwa ujumla.
 
Mngetulia kwanza mkajipanga, huku kukurupuka ili mradi kushindana na jamii ya mitandaoni ndo kutazidi kuwatoa relini. Jana mzee wa Miga katoa tamko bila kuwasiliana na CHADEMA kujua kinachojiri. Leo wanamama wameapishwa huku kiongozi wao akimtaja Mwenyekiti Mbowe. Kesho Makene au Mnyika atakurupuka kuongea, keshokutwa atakuja Mbowe kuwapongeza wanamama walioapishwa leo. Wanachama mtabaki kila mtu ananena kwa lugha yake.. Yote kwa yote mnaowaamini wanasiasa endeleeni, Ila hatutachoka kuwaambia sio Lissu,Mbowe, Mnyika wala nani wote wachumia matumbo tu.
Kila mara nasepa chadema wanakosa strategists, hapo ndo wanapo feli
 
Nchi hakuna maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa za walipa kodi zinatumika kumpa mbowe kuwanunua wabunge wa kike badala ya maendeleo
Kipimo chako Cha kuendelea ni Nini?!!!

Nchi iliyotenga trilioni 2.1 kwa ajili ya SGR ya kisasa....
Nchi iliyotenga trilioni 1.6 kwa ajili ya bwawa la mwalimu nyerere litakalozalisha megawati 2200..
Nchi iliyotenga bilioni 823 na points kwa ajili ya mjumuisho wa REA,MAJI NA UMEME....
👆👆👆

HAYO SI MAENDELEO EEEE?!!
 
mama D

Makao Makuu ya Chama!!! Yaani Headquarters. Hata msingi wa bendera rangi yake imekwaruzika kwaruzika
1606253429971.png

.
 
Jamaa jitahidini basi kuonyesha utaasisi hata kama hamshiki madaraka, viongozi wa juu ndo nani aah igeni matangazo ya CCM basi
Kurusha tu mikutano yao ya kampeni katika SOCIAL MEDIAS ilikuwa MWENDO WA KOBE...full kuchelewa...ni tofauti na kipindi kile walipokuwa wanamchuna Mzee Lowassa mwaka 2015....

Halafu kweli Laigwanan Lowassa alishindwa kuwasaidia CHADEMA wajenge ofisi ya hadhi?!!!
 
Please msifukuzane wala kumtafuta mchawi, tulieni kwa sasa mtafakari hatima ya Chadema na upinzani kwa ujumla.
Nyumbu ni nyumbu tu....

Mdee alikataa kumpa Mkono MASHINJI akimuita msaliti....

Leo wamekutana pale DODOMA CARNIVAL wamecheka weee mpaka basi...

Nitarusha picha za ubashasha na makumbatio...🤣🤣
 
Nimegundua Watanzania wengi bado wana imani na chadema na wanamapenzi ya dhati pamoja na majanga yote chadema inapitia.
 
2020-2025 wote ni sawa.. hakuna mpinzani wala mtawala.. wabunge wote wataishi kwa mashaka
Hata CCM ni wachumia Tumbo pia ndiyo maana madalali wametengeneza mchongo wa kuwanunua hao wabunge wamekula 10% endapo chadema italeta lugha za kijinga jinga kuwatetea hao wabunge utambue kuwa itapoteza wanachama wote na kuwa kama TLP NCCR
 
Katika mambo ya aibu ambayo hayaelezeki ni hili.
🤣🤣🤣
Sasa kama KUMCHUNA lowassa walibaki hapo katika banda la kuranda mbao....

Sasa Kama walikuwa na wabunge zaidi ya 50 na kupata ruzuku iliyoshiba bado walikuwa happy katika nyumba ya kupikia HALUWA....

Sasa Kama SABODO alivyokuwa ANAWAPIGA Tafu kubwa kiuchumi bado waling'an'gana hapo kwenye kilinge Cha uganga....

Unategemeaje Leo hii wakiwa na wabunge 20 bungeni....huku kila mbunge akikatwa 3M kulipa fadhila ya go ahead iliyopelekea KIAPO CHA LEO ndio wawe na OFISI ILIYOTUAMA?!!?
 
Fukuzeni wote anzeni na yule wa kiume Halima Mdee na demu wake
 
🤣🤣🤣
Sasa kama KUMCHUNA lowassa walibaki hapo katika banda la kuranda mbao....

Sasa Kama walikuwa na wabunge zaidi ya 50 na kupata ruzuku iliyoshiba bado walikuwa happy katika nyumba ya kupikia HALUWA....

Sasa Kama SABODO alivyokuwa ANAWAPIGA Tafu kubwa kiuchumi bado waling'an'gana hapo kwenye kilinge Cha uganga....

Unategemeaje Leo hii wakiwa na wabunge 20 bungeni....huku kila mbunge akikatwa 3M kulipa fadhila ya go ahead iliyopelekea KIAPO CHA LEO ndio wawe na OFISI ILIYOTUAMA?!!?
.............ni kama kilabu cha tembo la mnazi. Pembeni pale naona mnazi kwa hiyo inawezekana wagema wako karibu
 
Back
Top Bottom