Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukipata support ya watu unaundaKuendesha chama unafikiri ni mchezo eeh
endapo mbowe kachukua pesa kauza wabunge huko Bungeni ajue chadema ndiyo bye bye hakuna mwenye Akili timamu atasalia chadema
Sio support ya watu pekee.. Rasilimali fedha ndio tatizo kubwa zaidi.ukipata support ya watu unaunda
Haki tena sikuwahinote existence yako hapa jf, ila sasa nimekjua kwamba kuna mtu anajiita Retired amesema unanichukia😂😂😂 pole mwaya maana kumchukia mtu asiyekujua nayo kazi kwelikweliHapo umedanganya, maana tupo humu wote JF. I am aware of your JF existence, but I have no "love" with you😀😀😀😀😀😀, nakutani mwaya, ndiyo mambo ya JF!
kazi kweli kweli, Mama D humjui halafu unasema unamchukia.... si unajua humu watu hatujuani ila utani mwingi... enjoy your day my dear!Haki tena sikuwahinote existence yako hapa jf, ila sasa nimekjua kwamba kuna mtu anajiita Retired amesema unanichukia😂😂😂 pole mwaya maana kumchukia mtu asiyekujua nayo kazi kwelikweli
Karibu CCM wewe ndio huwa unajifanya kidomodomo Sanaaa humu kuitetea CHADEMA yamekufika ukomePesa nyingi hutumika kupambana na hujuma kesi za kubambikiwa uonevu wa CCM mda mwingi hutumika kuokoa chama lakini endapo mbowe kachukua pesa kauza wabunge huko Bungeni ajue chadema ndiyo bye bye hakuna mwenye Akili timamu atasalia chadema
Sio kazi ndogo Yaani. Uwe na siku njema yenye baraka telekazi kweli kweli, Mama D humjui halafu unasema unamchukia.... si unajua humu watu hatujuani ila utani mwingi... enjoy your day my dear!
Wacha wee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makao ya chama chenye umri wa miaka 28 na nusu
Chama kilichokua kinataka kupewa dola[emoji23][emoji23][emoji23]
Halahala isije ikawa tamko la kutowatambua wabunge viti maalumu!!
Na kitapata usajili?Wakifanya hivyo watatusaidia sana, maana mh. Lissu ataunda chama kingine amabacho kitakua vizuri mnoo
Ubarikiwe na Amani ya Bwana Yesu.Sio kazi ndogo Yaani. Uwe na siku njema yenye baraka tele