Tetesi: Viongozi wa juu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhudhuria maombi ya kuliombea Taifa yatakayofanyika Leaders Club

Tetesi: Viongozi wa juu wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Tundu Lissu kuhudhuria maombi ya kuliombea Taifa yatakayofanyika Leaders Club

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
NI IJUMAA YA TAREHE 28.02.2025

Pamoja na mambo mengine maombi hayo yatahusu Uchaguzi Mkuu Ujao ambapo kwa maelezo ya mmoja wa Mitume watakao kuwepo Apostle Boniface Mwamposa amesema Taifa la Tanzania linaenda kurudishwa kwenye ramani yake ambapo Sasa kutakuwa na Uchaguzi Huru na Haki.

Inasemekana mada ya Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi itazungumzwa na kuombewa na Watumishi hao wa Mungu kutoka katika kila dhehebu na dini.

Taifa linahitaji Uchaguzi Huru na Haki kwa Faida yake yenyewe hivyo kama patakuwa na haki basi Mungu atasimama Kwakuwa Mungu wetu ni Mungu wa kweli na haki.
 
NI IJUMAA YA TAREHE 28.02.2025

Pamoja na mambo mengine maombi hayo yatahusu Uchaguzi Mkuu Ujao ambapo kwa maelezo ya mmoja wa Mitume watakao kuwepo Apostle Boniface Mwamposa amesema Taifa la Tanzania linaenda kurudishwa kwenye ramani yake ambapo Sasa kutakuwa na Uchaguzi Huru na Haki.

Inasemekana mada ya Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi itazungumzwa na kuombewa na Watumishi hao wa Mungu kutoka katika kila dhehebu na dini.

Taifa linahitaji Uchaguzi Huru na Haki kwa Faida yake yenyewe hivyo kama patakuwa na haki basi Mungu atasimama Kwakuwa Mungu wetu ni Mungu wa kweli na haki.
Uswahilini kuna vituko, yaani misa inakuwa na mada maalum, ha ha huyo ndio mwenyekiti mliomchagua!! Kutwa anashinda mitandaoni kubishana na watu kwa petty issues!!
 
NI IJUMAA YA TAREHE 28.02.2025

Pamoja na mambo mengine maombi hayo yatahusu Uchaguzi Mkuu Ujao ambapo kwa maelezo ya mmoja wa Mitume watakao kuwepo Apostle Boniface Mwamposa amesema Taifa la Tanzania linaenda kurudishwa kwenye ramani yake ambapo Sasa kutakuwa na Uchaguzi Huru na Haki.

Inasemekana mada ya Katiba Mpya pamoja na Tume Huru ya Uchaguzi itazungumzwa na kuombewa na Watumishi hao wa Mungu kutoka katika kila dhehebu na dini.

Taifa linahitaji Uchaguzi Huru na Haki kwa Faida yake yenyewe hivyo kama patakuwa na haki basi Mungu atasimama Kwakuwa Mungu wetu ni Mungu wa kweli na haki.
Hakuna uchaguzi mwaka huu kama no reforms asema Bwana
 
Back
Top Bottom