Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema ulichotaka kusemaKuna nchi huwa viongozi wa kiume wanaandaliwa binti mmoja wa kumpa kampani awapo ugenini.
Sasa nauliza huu utaratibu upo pia kwa jinsia ya kike?
Kuna nchi huwa viongozi wa kiume wanaandaliwa binti mmoja wa kumpa kampani awapo ugenini.
Sasa nauliza huu utaratibu upo pia kwa jinsia ya kike?
Swali lako halina mantiki.Ni swali tu.
DuhKuna nchi huwa viongozi wa kiume wanaandaliwa binti mmoja wa kumpa kampani awapo ugenini.
Sasa nauliza huu utaratibu upo pia kwa jinsia ya kike?
"Aina ya vijana kama hawa wanamchango mdogo katika taifa" japo wanaumuhimu sana anyway wazo zuri 🙌🙌Kuna nchi huwa viongozi wa kiume wanaandaliwa binti mmoja wa kumpa kampani awapo ugenini.
Sasa nauliza huu utaratibu upo pia kwa jinsia ya kike?
Daah! Aisee nimecheka kibwege sana mdau.Dah huyo mhuni atakuwa na bahati sanaa
"Acha mawazo ya ufukara na hutaendelea milele". Hii iko sawa kweli.!? Au ulitaka kusema " usipoacha mawazo ya ufukara hutaendelea milele"Kwanza huo ni uongo wa wazi na pili, nani kakutuma uwaze vibaya kuliko lucifer, una mawazo machafu chafu, kwanini? Ukiendelea hivi, utakuwa maskini fukara wa kutupa, acha mawazo ya ufukara na hutaendelea milele
Mhuni atakuwa anajipigia tuu mashuti ya mbaliDaah! Aisee nimecheka kibwege sana mdau.