Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Duh! nyie mzaz yule mjueDah huyo mhuni atakuwa na bahati sanaa, atakuwa anajipakulia minyama tuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! nyie mzaz yule mjueDah huyo mhuni atakuwa na bahati sanaa, atakuwa anajipakulia minyama tuu.
Sheikh ikatokea ukaitwa mbele ya Pilato! je, utaweza kusimama na kutetea huu ushahidi wako?Samia? Hell no..
Magufuli na Kikwete walikuwa ni watu wa dogodogo hata kwa jinsi walivyokuwa wakiongea tu
Ila Samia hapana , kwa umri na character yake
Namba moja ni hiyo nchi ya kusadikika yenye matozo ambayo ingawa yapo yanasemekana yalifutwa. Pia kule kwa yule mfalme anajiozesha new model kila mwaka.Kwanza tujuwe hizo nchi ambazo kiongozi wa kiume akiwa safari anaandaliwa ka spare tire afu ndo uwaze upande wa pili.
Wanaume ndo wameumbwa kuwa na wake wengi, siyo mwanamke kuwa na waume wengi. Swali lako la hovyo.Kuna nchi huwa viongozi wa kiume wanaandaliwa binti mmoja wa kumpa kampani awapo ugenini.
Sasa nauliza huu utaratibu upo pia kwa jinsia ya kike?
Zungu chizi mwenye maono, anataka tuwe na setelite zetu ili data zisipitie kule ulimwengu wa kwanza. Data inakatia pale kariakoo inamtafuta mwenyewe manzese, sio mchezo, yani waziri alibaki kuduwaa ila wakikomaa mbeleni itawezekana ili mradi wapunguze kujijali wao pesa ziende katika uwekezajiWatu kama nyie ndo mnasababisha wanasiasa wapuuzi kama zungu waseme Internet (data) iwekewe tozo
Zee lilikua kayaWatu kama nyie ndo mnasababisha wanasiasa wapuuzi kama zungu waseme Internet (data) iwekewe tozo
Kheee!!!,Umejibu kwa ukali kinoma.Kwanza huo ni uongo wa wazi na pili, nani kakutuma uwaze vibaya kuliko lucifer, una mawazo machafu chafu, kwanini? Ukiendelea hivi, utakuwa maskini fukara wa kutupa, acha mawazo ya ufukara na hutaendelea milele