Viongozi wa kike nao huandaliwa dogodogo pale wanaposafiri nchi nyingine?

Viongozi wa kike nao huandaliwa dogodogo pale wanaposafiri nchi nyingine?

Fuatilia UTABAINI, haya mambo yako hadi sasa hapa Tanzania.
 
IMG_0739.jpg

kuna vitu vingine vipo kabisa,ila haina afya kukubali kama vipo[emoji23][emoji23]
 
Acha upimbi wewe mtoa mada, mfano unataka ujibiwe vipi yaani🤣🤣🤣
 
Watu kama nyie ndo mnasababisha wanasiasa wapuuzi kama zungu waseme Internet (data) iwekewe tozo
Zungu chizi mwenye maono, anataka tuwe na setelite zetu ili data zisipitie kule ulimwengu wa kwanza. Data inakatia pale kariakoo inamtafuta mwenyewe manzese, sio mchezo, yani waziri alibaki kuduwaa ila wakikomaa mbeleni itawezekana ili mradi wapunguze kujijali wao pesa ziende katika uwekezaji
 
Kwa mwanamke haiwezekani,na kama utawepo huo utaratibu basi huyo kiongozi (ke) watu watamfafsiri kama malaya yangu ni hayo tu kwenye swali lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwanza huo ni uongo wa wazi na pili, nani kakutuma uwaze vibaya kuliko lucifer, una mawazo machafu chafu, kwanini? Ukiendelea hivi, utakuwa maskini fukara wa kutupa, acha mawazo ya ufukara na hutaendelea milele
Kheee!!!,Umejibu kwa ukali kinoma.
 
Back
Top Bottom