Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni maigizo tupuNi mpumbavu pekeee, anayeamini kuna pepo na jehenam
Tunaacha kuwawajibisha watu, tunashinda tunawapigia makofi, tunasimama pembezoni mwa barabara masaa kuwapisha wapite kwa nguvu ya fedha zetu, halafu tunabaki kujifariji kwa maneno ya kiholela na ya kupandikizwa ya ahera na jahanum.Ni mpumbavu pekeee, anayeamini kuna pepo na jehenam
Utatafuta cha kufutia hii komenti yako hutakiona!Ni mpumbavu pekeee, anayeamini kuna pepo na jehenam
Precisely CCMWanabariki utekaji.
Wanabariki uuwaji.
Wanabariki wizi wa kura.
Wanabariki majina feki.
Wanaiba hela za umma.
Wanafitinisha jamii.
Wanadhulumu maskini.
Haya na mengine mengi wanasiasa hawataiona pepo.
endelea kulishwa UPUMBAVU,.....Utatafuta cha kufutia hii komenti yako hutakiona!
🙏endelea kulishwa UPUMBAVU,.....
shukuru sana,....na ukipigwa shavu la kushoto, kinga na lile la kulia,...subiri muujiza ili uende mbinguni,.... stupids!
Kama lema anajiita NabiiHata wa kiroho hawezi kwenda mbinguni ni matapeli tupu
Wanajizima data a.k.a kuahirisha kufikiri kizalendoWanabariki utekaji.
Wanabariki uuwaji.
Wanabariki wizi wa kura.
Wanabariki majina feki.
Wanaiba hela za umma.
Wanafitinisha jamii.
Wanadhulumu maskini.
Haya na mengine mengi wanasiasa hawataiona pepo.
Ungebainisha kabisa ni wanasiasa wa chama na nchi zipi hizo hapa duniani mkuu.Wanabariki utekaji.
Wanabariki uuwaji.
Wanabariki wizi wa kura.
Wanabariki majina feki.
Wanaiba hela za umma.
Wanafitinisha jamii.
Wanadhulumu maskini.
Haya na mengine mengi wanasiasa hawataiona pepo.
Hadi hapa ushaukimiwaNi mpumbavu pekeee, anayeamini kuna pepo na jehenam