Viongozi wa kisiasa msitake sifa kwenye mambo ya Usalama kwa misafara ya viongozi!!

Viongozi wa kisiasa msitake sifa kwenye mambo ya Usalama kwa misafara ya viongozi!!

Hoja ya Makam Rais inamashiko hoja ni kuiborsha tu
Yeye mwenyewe si umemuona anahutubia katikati ya barabara hapo? Kwa ivo unadhani muda anaohutubia hapo kule anakoelekea magari yatakuwa yanaruhusiwa kuelekea alipo? Tatizo jingine ni uchache wa barabara kwenye miji yetu.

Msiwalaumu Polisi katika hili!!
 
Yeye mwenyewe si umemuona anahutubia katikati ya barabara hapo? Kwa ivo unadhani muda anaohutubia hapo kule anakoelekea magari yatakuwa yanaruhusiwa kuelekea alipo? Tatizo jingine ni uchache wa barabara kwenye miji yetu.

Msiwalaumu Polisi katika hili!!
Sawa nimekuelewa mkuu, hii tabia pia ya awa viongozi kuhutubia katikati ya barabara , wanatakiwa inatakiwa kukoma, naungana na hoja yako mkuu
 
Sawa nimekuelewa mkuu, hii tabia pia ya awa viongozi kuhutubia katikati ya barabara , wanatakiwa inatakiwa kukoma, naungana na hoja yako mkuu
Ninachojaribu kuonesha ingawa si moja kwa moja, ni kwamba sehemu kubwa ya misafara kuchukua muda mrefu ni viongozi wa kisiasa na aina ya miundo mbinu tuliyonayo. Barabara zetu zingekuwa zina upana zaidi ya mita 3.25 labda ingekuwa rahisi kuongoza hiyo misafara.

Ila kiongozi anatoka Dodoma kwenda Morogoro njiani anasimama zaidi ya mara tatu na kuhutubia. huku watu wanazuiliwa, matokeo yake watu wanadhani Polisi wanajipendekeza kumbe kiongozi ndiye anayesababisha na wapanga ratiba wa mikutano yake hawako makini.
 
Hiyo Idadi ya Magari ya Mwalimu ni ya Mwaka Gani? Halafu wakati Mandela anakuja Tanzania Mwalimu hakuwa Rais wa nchi hii.

Halafu kusema watu wa Usalama wana Overrate hatari zilizopo ni kutokuwatendea haki. Misafara inaongozwa na Polisi na siyo watu wa Usalama.

Wengi wenu hamjui tu, kuongoza hiyo misafara ni polisi ndiyo wanaoteseka na kama wangekuwa na uwezo bila ya shaka, wangetaka hiyo misafara isitumie hata dakika tatu iwe imepita. Ukichunguza ni polisi ndiyo wanaoshinda mabarabarani kusubiri hiyo misafara ipite. Unadhani na wao wanapenda kukaa masaa kwa masaa kusubiri msafara upite?? Yaani Polisi wanafaidika na nini kuzuia watu kwa muda wote huo?

0837536101e6bdc31e7022f5aa262f79.jpeg


Kwenye hii picha Makamu wa Rais kasimamisha msafara wake kati kati ya barabara anahutubia. Kwa mazingira kama hayo Polisi wanaweza kuruhusu magari yaelekee alipo Makamu wa Rais??
Mkuu chukulia kwamba wana usalama si tu UWT bali the combined action ya Polisi, UWT-PSU, plainclothes sucurity personnel na wengine wengi tu.
Katika hiyo picha wako wengi sana, wengine si ajabu wamevaa nguo za kijani!

Makamu wa Rais haendeshi gari yeye mwenyewe, anapangiwa nini na wapi pa kusimama.
Hawa wenzetu wa usalama in totality hawana awareness kabisa kuwa kuwa kutofikiria wananchi wanavyokerwa na haphazard arrangements za jinsi viongozi wanavyoteka maeneo ili kufanya siasa, matokeo yake ndio hayo unayoyaona.
 
Ninachojaribu kuonesha ingawa si moja kwa moja, ni kwamba sehemu kubwa ya misafara kuchukua muda mrefu ni viongozi wa kisiasa na aina ya miundo mbinu tuliyonayo. Barabara zetu zingekuwa zina upana zaidi ya mita 3.25 labda ingekuwa rahisi kuongoza hiyo misafara.

Ila kiongozi anatoka Dodoma kwenda Morogoro njiani anasimama zaidi ya mara tatu na kuhutubia. huku watu wanazuiliwa, matokeo yake watu wanadhani Polisi wanajipendekeza kumbe kiongozi ndiye anayesababisha na wapanga ratiba wa mikutano yake hawako makini.
Mkuu napinga moja kwa moja usemi wako.
Kwanza barabara kariby zote(highways) zina 2 lnes zenye upana wa 3.25 x 2=6.5m , minimum.
Na usituaminishe kuwa kiongozi anaposafirishwa vyombo vinavyomsindikiza vinakuwa bubu!
Ni lazima wale wanaomlinda wana communicate na wale walio mbele ya msafara, hivyo wanajua exactly muda gani kiongozi anaondoka na muda gani amesimama na safari itacukua muda gani kufika point yoyote ile katika route atakayochukua.
Tatizo vombo vyetu vya usalama ni wavivu kuji coordinate kwa hiyo wanamtupia lawama kiongozi au wnawabugudhi wananchi kwa kiasi cha kukera.
 
Mkuu chukulia kwamba wana usalama si tu UWT bali the combined action ya Polisi, UWT-PSU, plainclothes sucurity personnel na wengine wengi tu.
Katika hiyo picha wako wengi sana, wengine si ajabu wamevaa nguo za kijani!

Makamu wa Rais haendeshi gari yeye mwenyewe, anapangiwa nini na wapi pa kusimama.
Hawa wenzetu wa usalama in totality hawana awareness kabisa kuwa kuwa kutofikiria wananchi wanavyokerwa na haphazard arrangements za jinsi viongozi wanavyoteka maeneo ili kufanya siasa, matokeo yake ndio hayo unayoyaona.
Sasa malumbano yanakua mengi , hoja
Kama Mpango alisema dakika kumi, aya nyie wajuzi mnapendekeza dakika ngapi? Maana tumechoka sasa ,kwamba kodi zetu wanunulie ayo Magari, alafu bila kutueshim kwa fadhila zetu wanatukalisha masaa na masaa sio poa

Alafu Rais SSH na Makamu wako hii tabia ya kuhutubia watu barabarani naomba kuiacha mara moja , hii tabia alianzisha mwendazake na nafikili machawa wa karibu ndo huwa wanaingiza ratiba za hivi
 
  • Ikiwa unanufaika na hiyo misafara kwa namna yoyote ile huwezi jua Acha tunazozipata.
  • Kuna sehemu umetolea mfano wa kifo cha Magufuli. Please brother uwe unataka na mifano realistic. Yawezekana mnawatisha sana viongozi.
  • Kwa namna yoyote ile, kwa Tanzania ya sasa, haikubaliki wananchi kuadhibiwa masaa 4 ya kutokutembea kisa kiongozi fulani anapita.
 
1695385054071.png

Hapa Msafara umesimama katikati ya barabara.

Polisi kwenye hali kama hii wafanye kitu gani??
 
Back
Top Bottom