Porini! Kuna vishawishi vya shalati.Viongozi wa makanisa ya kipentecoste hamishieni vyuo vya Biblia porini vijijini hivi vya mijini wakimaliza hawarudi vijijini kwao kufanya kazi ya Mungu wanabaki mijini
Pia wapeni masharti wanafunzi wapya kuwa hawatapewa uchungaji hadi wafungue matawi vijijini wachunge si chini ya miaka mitatu ndipo wapewe uchungaji
Sasa hivi kuna upungufu vijijini wakati mijini kuna excess
NA yeye huwa anazunguka miji maarufu tu mafundisho yake ni from i town to town miji yenye majina tuNimejaribu kumfuatilia mwakasege walao miaka 12 na kuzidi sijawahi ona akielekeza mikutano yake Maeneo tofauti na mjini.
Nimemuongelea huyo mwalimu samahani Kama itakwaza lakini walao tunaweza kuona uafadhali wake kuliko watumishi wengine.
Lakini Kama ilivyo mitazamo ya wengi hakuna Shaka wanatizamia Sana sadaka kuliko huduma watoayo!
Mwakasege anazungukia Moshi, Dar, Arusha, Mbeya na Dodoma, sijawahi msikia yuko Musoma au Kigoma au Ruvuma.Nimejaribu kumfuatilia mwakasege walao miaka 12 na kuzidi sijawahi ona akielekeza mikutano yake Maeneo tofauti na mjini.
Nimemuongelea huyo mwalimu samahani Kama itakwaza lakini walao tunaweza kuona uafadhali wake kuliko watumishi wengine.
Lakini Kama ilivyo mitazamo ya wengi hakuna Shaka wanatizamia Sana sadaka kuliko huduma watoayo!