Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Mkuu tuwekee hapa hiyo communique kama hutajalicommunique, the regional leaders called for a “diplomatic and political solution
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tuwekee hapa hiyo communique kama hutajalicommunique, the regional leaders called for a “diplomatic and political solution
Anatafuta mlango wa bahari kule west, akishaupata haihitaji dsm port tena. Hapo ndipo ataanza mapambano ya kuja east. Ngara, Karagwe jiandaeniNyie endeleeni tu kuimba mapambio ya CCM mitano tena na kujenga Bar kwenye kambi za Jeshi.
Badala ya ku invest kwenye majeshi yenu na intelligence mnawekeza kwenye machawa.
Na bado. Alivyo mshenzi yule Mr. Slim atawapumulia hadi visogoni.
sahihi kabisa. Anasimika njia rasmi kuingia kwake kutokea Mombasa. Akikamilisha tu hataki tenda Bandari za DSM na TANGA then ndipo atakuja rasmi Kagera na Geita.Anatafuta mlango wa bahari kule west, akishaupata haihitaji dsm port tena. Hapo ndipo ataanza mapambano ya kuja east. Ngara, Karagwe jiandaeni
Plan B inakuja na inafurahisha.Wameamua kuachana nae kwasababu ni mpuuzi
Siyo Mombasa, ni kule west kwenye mlango wa bahari ya Atlanticsahihi kabisa. Anasimika njia rasmi kuingia kwake kutokea Mombasa. Akikamilisha tu hataki tenda Bandari za DSM na TANGA then ndipo atakuja rasmi Kagera na Geita.
Tanzania huku tuna Television ya Taifa ila huwezi sikia mijadala ya maana namna hii! Tuna waandishi @ Pascal Mayalla sijui kina Balile na Sammy Awami ila huwezi kuwasikia wakifanya mijadala ya maana kama hii.
Amewashindwa waasi wa kwao Sahwl ndio atawaweza hao M23? UpuuziTraore alimwambia rais wakongo kuwa naomb nilipe mm nikuuzie siraha nzito tuone kama hao m23 watabaki au lete askari wako niwape mafunzo akakataa kitendo cha kumpa dhamana mmarekani ndicho kimetengenezwa anaigia mkataba na wewe anapotumia siraa zake atachukua rasilimali za madini kiasi gani afrika tuamke Ubeligiji anashindwa kulipa fadhira yeye ndy alitajirika na raslimali za congo lkn atuone akitoa support umoja wa afrika hiz ndo agenda za kuimarisha tunataka amani ufashiri wenye riba ndogo na umoja
Yeye mwenyewe anategemea mamluki kutoka Ulaya Mashariki.Amewashindwa waasi wa kwao Sahwl ndio atawaweza hao M23? Upuuzi
Kagame hana claim kwenye ardhi hiyo labda kama Mwami wa Rwanda angerejea kwenye throne Rwanda ndiye angeweza kudai ardhi ya iliyokuwa Kingdom of Rwanda kabda ya kunyang'anywa na Wakoloni wa kutoka Ulaya.Kagame aimege nchi ya congo au aitwae kabisa. Tseshekedi apambane na hali yake mwenyewe
tuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yoteAnatafuta mlango wa bahari kule west, akishaupata haihitaji dsm port tena. Hapo ndipo ataanza mapambano ya kuja east. Ngara, Karagwe jiandaeni
tuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yoteAnatafuta mlango wa bahari kule west, akishaupata haihitaji dsm port tena. Hapo ndipo ataanza mapambano ya kuja east. Ngara, Karagwe jiandaeni
tuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yoteAnatafuta mlango wa bahari kule west, akishaupata haihitaji dsm port tena. Hapo ndipo ataanza mapambano ya kuja east. Ngara, Karagwe jiandaeni
Tshesekedi karithi huu ujinga uliotengenezwa na Nyerere kupitia vijana wake M7 na Kagame nia ikiwa kumtoa Mobutu,leo M7 na Kagame wamenogewa na madini wamegoma kuondoka...kwa hiyo Tanzania wanapigana na kinyago walichokichonga wenyewe
Ungejua!! Ukiweza nitafute inboxtuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yote
Mkuu Trump akitaka kwenda sehem hahitaji mualiko lobito korido imeanza kujengwa kabla hata huyo Tshekedi hajamualika. SADC wangefanya nini? Na kwa nini baadhi ya nchi za SADC hawapo huko congo?Kwanza majeshi ya SADC yameruhusu vipi Loophole ya Trump kuja?
Mkuu EU unafatilia habari? Baada ya EU kuingilia kimetokea nini? Ulitaka TZ ifanye nini? EAC na AU walipendekeza kukaa mezani kwa nini hawakusimamia hapo?Kwani EU walivyosimama na Ukraine inamaanisha Ukraine walishindwa kupigania nchi yao?
Labda uniambie, kwa namna mifumi yetu ilivyo compromised sasa hivi kipi kinamzuia Kagame au Rwanda kufanya kwetu kama walivyofanya Congo hata in the next 20 years?