Viongozi wa SADC wasalimu amri wa Kagame! Wakubali kuondoa vikosi vyao CONGO DRC. Huu ni ushindi kwa Kagame na hatari kwa mataifa yanayomzunguka

Viongozi wa SADC wasalimu amri wa Kagame! Wakubali kuondoa vikosi vyao CONGO DRC. Huu ni ushindi kwa Kagame na hatari kwa mataifa yanayomzunguka

Kagame hana claim kwenye ardhi hiyo labda kama Mwami wa Rwanda angerejea kwenye throne Rwanda ndiye angeweza kudai ardhi ya iliyokuwa Kingdom of Rwanda kabda ya kunyang'anywa na Wakoloni wa kutoka Ulaya.
Hivi kuna sehemu yao kule?
 
Kivu ni himaya ya Ufalme wa Rwanda.
Ok... wale wabembe , wamushi wafulelo kwao wapi . Na theory ya mulenge as a refugee camp by 1959, and also the Belgian sending some people kule kuwa viongozi wa mashamba 1935 North Kivu. Na sehemu ya kaskazini mwa Urundi kuwa kongo ni famba.
 
Haya sasa!

SADC wamesalimu amri kwa M23/ Rwanda. Wakuu wa nchi wameamua Vikosi vilivyopo Congo viondoke.

Sote tunakumbuka, hili lilikuwa takwa na agizo la M23 na Kagame kuwa vikosi vyote vya kigeni viondoke Mashariki mwa Congo DRC.

Nadhani kwa haya yaliyotokea, sote sasa tunajua mbabe wa Afrika ni Kagame/ Rwanda!

Msiniulize tena kwa nini nitailani milele CCM kwa kutufikisha hapa.

View attachment 3269444View attachment 3269445View attachment 3269445

===
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imeamua kumaliza rasmi operesheni yake ya kijeshi katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kufuatia hasara kubwa zilizopatikana, ikiwemo vifo vya zaidi ya wanajeshi kumi na wanne mnamo Januari.


Uamuzi huu ulifikiwa katika mkutano wa kilele wa mtandaoni siku ya Alhamisi, ukihitimisha operesheni ambayo ililenga kurejesha amani na usalama katika eneo hilo ambalo limekuwa likikumbwa na migogoro kwa takriban miongo mitatu.

Taarifa ya mkutano huo wa Machi 13, 2025, ilithibitisha kuwa mamlaka ya SADC Mission in the DRC (SAMIDRC) yamekamilika, na kwamba kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa awamu.

SAMIDRC, ambayo ilihusisha wanajeshi kutoka Malawi, Tanzania, na Afrika Kusini, ilitumwa DRC mnamo Desemba 2023 kusaidia serikali ya nchi hiyo kupambana na ghasia zinazoendelea.

Hata hivyo, operesheni hiyo ilikumbwa na hasara kubwa, hasa kwa Afrika Kusini, ambayo ilipoteza wanajeshi 14 mnamo Januari wakati wa mapigano. Aidha, wanajeshi watatu wa Malawi na wanajeshi wawili wa Tanzania pia waliuawa kwenye mapambano hayo.

Afrika Kusini, ambayo inadaiwa kuwa na idadi kubwa ya wanajeshi waliotumwa DRC, imekuwa ikishinikizwa kuondoa vikosi vyake, hasa baada ya ripoti kuonyesha kuwa baadhi ya wanajeshi wake wamezuiliwa kambini na wapiganaji wa M23.

Tangazo la kuondolewa kwa vikosi vya kijeshi limetolewa siku moja tu baada ya Angola kuthibitisha kuwa mazungumzo ya amani kati ya DRC na kundi la waasi la M23 yataanza wiki ijayo jijini Luanda.

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa utaratibu, kulingana na hali ya usalama inavyoendelea katika eneo hilo.

Licha ya hali tete, alieleza matumaini kuwa juhudi za amani zinazoendelea na mazungumzo yanayotarajiwa kuanza zitasaidia kuimarisha utulivu katika eneo hilo.

SADC, kwa kushirikiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imekuwa ikitoa msukumo kwa suluhisho la kidiplomasia na kisiasa kuhusu mgogoro huo, huku ikihimiza jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua dhidi ya janga kubwa la kibinadamu linaloendelea.

Hali inaendelea kuwa nyeti, huku kundi la waasi la M23, linalodaiwa kupata msaada kutoka Rwanda, likizidi kusonga mbele katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa DRC.

Rais wa Angola João Lourenço pia amekuwa mstari wa mbele katika juhudi za upatanishi, ambazo zimepata msukumo mpya baada ya kukutana na Rais wa DRC Félix Tshisekedi, ambaye hapo awali alikuwa akipinga mazungumzo ya moja kwa moja na M23.

Source: News Central


Sasa Mama yetu na upolepole hivi hiyo reli inaenda wapi? Usalama badala ya kusaidia nchi wanashinda kumfuatilia Lissu. Yaani watu wanalipwa eti kufuatilia na hata kuteka wanasiasa wakati wenzetu wanapigania rasilimali na biashara huko Congo
 
Haya sasa!

SADC wamesalimu amri kwa M23/ Rwanda. Wakuu wa nchi wameamua Vikosi vilivyopo Congo viondoke.

Sote tunakumbuka, hili lilikuwa takwa na agizo la M23 na Kagame kuwa vikosi vyote vya kigeni viondoke Mashariki mwa Congo DRC.

Nadhani kwa haya yaliyotokea, sote sasa tunajua mbabe wa Afrika ni Kagame/ Rwanda!

Msiniulize tena kwa nini nitailani milele CCM kwa kutufikisha hapa.

View attachment 3269444View attachment 3269445View attachment 3269445

===
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imeamua kumaliza rasmi operesheni yake ya kijeshi katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kufuatia hasara kubwa zilizopatikana, ikiwemo vifo vya zaidi ya wanajeshi kumi na wanne mnamo Januari.


Uamuzi huu ulifikiwa katika mkutano wa kilele wa mtandaoni siku ya Alhamisi, ukihitimisha operesheni ambayo ililenga kurejesha amani na usalama katika eneo hilo ambalo limekuwa likikumbwa na migogoro kwa takriban miongo mitatu.

Taarifa ya mkutano huo wa Machi 13, 2025, ilithibitisha kuwa mamlaka ya SADC Mission in the DRC (SAMIDRC) yamekamilika, na kwamba kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa awamu.

SAMIDRC, ambayo ilihusisha wanajeshi kutoka Malawi, Tanzania, na Afrika Kusini, ilitumwa DRC mnamo Desemba 2023 kusaidia serikali ya nchi hiyo kupambana na ghasia zinazoendelea.

Hata hivyo, operesheni hiyo ilikumbwa na hasara kubwa, hasa kwa Afrika Kusini, ambayo ilipoteza wanajeshi 14 mnamo Januari wakati wa mapigano. Aidha, wanajeshi watatu wa Malawi na wanajeshi wawili wa Tanzania pia waliuawa kwenye mapambano hayo.

Afrika Kusini, ambayo inadaiwa kuwa na idadi kubwa ya wanajeshi waliotumwa DRC, imekuwa ikishinikizwa kuondoa vikosi vyake, hasa baada ya ripoti kuonyesha kuwa baadhi ya wanajeshi wake wamezuiliwa kambini na wapiganaji wa M23.

Tangazo la kuondolewa kwa vikosi vya kijeshi limetolewa siku moja tu baada ya Angola kuthibitisha kuwa mazungumzo ya amani kati ya DRC na kundi la waasi la M23 yataanza wiki ijayo jijini Luanda.

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa utaratibu, kulingana na hali ya usalama inavyoendelea katika eneo hilo.

Licha ya hali tete, alieleza matumaini kuwa juhudi za amani zinazoendelea na mazungumzo yanayotarajiwa kuanza zitasaidia kuimarisha utulivu katika eneo hilo.

SADC, kwa kushirikiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imekuwa ikitoa msukumo kwa suluhisho la kidiplomasia na kisiasa kuhusu mgogoro huo, huku ikihimiza jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua dhidi ya janga kubwa la kibinadamu linaloendelea.

Hali inaendelea kuwa nyeti, huku kundi la waasi la M23, linalodaiwa kupata msaada kutoka Rwanda, likizidi kusonga mbele katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa DRC.

Rais wa Angola João Lourenço pia amekuwa mstari wa mbele katika juhudi za upatanishi, ambazo zimepata msukumo mpya baada ya kukutana na Rais wa DRC Félix Tshisekedi, ambaye hapo awali alikuwa akipinga mazungumzo ya moja kwa moja na M23.

Source: News Central
Kagame kawatimua SADC huko Drc kwenye shamba lake.
 
tuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yote
Endeleeni kupelekeshwa na wanasiasa wakiskia Kuna maandamano
tuko imara asijaribu kutamani kipande chochote cha Tanzania tutamnyuka mpaka Kigali. Hata asaidiwe na nchi gani tutamnyuka. Hatujaribiwi, tungeweza kumnyuka kupitia vikosi vya SADC/EAC ila kuna wanafiki kama Uganda wamo ndani. Sasa tumeondoka kwenye kikosi cha kimataifa tunarudi nyumbani kulinda mipaka yetu hatutaki uchokozi. Tumeusoma mchezo wake asijaribu kutaka kupanua nchi yake upande wa Tanzania tutaimeza rwanda yote
Jidanganye endelea kutumia jeshi letu kufanya usafi kisa maandamano ya chadema mtavuna mnachopanda JWZT kuingiza siasa ilikua kosa kubwa sana
 
14 March 2025
Kigali, Rwanda

MWANDISHI ALIYEFIKA MAENEO YANAYOKALIWA NA KUNDI LA M23 IKIWEMO GOMA, RUBAYA, MASISI N.K ASIMULIA NIDHAMU YA M23


View: https://m.youtube.com/watch?v=_1yxq9obOPs

Teddy Mazina anasema askari waasi wa M23 wana nidhamu ya hali ya juu, na ni watu wasomi waliotoka maeneo mbalimbali ya dunia walioamua kurudi makwao kama waKongomani wengine wa Mashariki mwa Kongo.

Na Kuwa M23 wamezingira kambi na airport ambazo ngome za kambi za SAMIDRC, MONUSCO ndani mwake kuna maelfu ya askari askari wa serikali wa FARDC, mgambo FADLR, polisi wa serikali waliosalimu amri kwa vikosi vya SADC na UN Umoja wa Mataifa kuomba hifadhi ya ulinzi, huku mazungumzo ya M23 na serikali ya Kinshasa yakishinikizwa kuanza.

Kuzingirwa kwa kambi hizo za SAMIDRC na MONUSCO bila kudhuriwa waliopo ndani yaani askari wa SADC na wale wa FARDC walioomba hifadhi, na wote kutodhuriwa kwa miezi miwili sasa ni uthibitisho wa nidhamu, malengo na weledi wa majeshi ya M23.

Teddy Mazina akihojiwa studio ya New Times Rwanda asimulia jinsi vyombo vikubwa vya habari duniani vilivyoamua kususia kufika Goma, Masisi, Rubaya na maeneo mengine ya Kivu ya Kaskazini na Kivu ya Kusini yanayokaliwa na M23...

Vyombo hivyo vya kimataifa vilisimulia kutoka mbali kuwa kuna watu zaidi ya 7,000 walikufa katika mji wa Goma kufuatia mapigano baina ya waasi wa 23 na vikosi vya serikali, SAMIDRC, MONUSCO wakati siyo kweli ni kiasi cha watu 300 wengi wao wakiwa ni askari wa FARDC, FDLR na kiasi kidogo sana M23

Hivyo vyombo vya habari vikubwa duniani kukosa kuona wanachosimulia kwa kuwa vyombo vikubwa vya habari vinategemea wawakilishi wao waliopo Nairobi, Kigali, Johannesburg kuripoti yanayotokea majimbo ya Kivu yanayokaliwa na M23...na mara nyingi vita vikubwa huambatana na vifo vingi tofauti na kilichotokea katika mji wa Goma wenye wakaazi milioni mbili.

Mbinu za kijeshi za M23 zinapaswa kusomwa na makamanda wa kijeshi katika meza za kupanga mapigano ya kijeshi jinsi M23 ilivyoweza kukabiliana na majeshi mengi ya kiserikali, kikanda na kimataifa huku upotevu wa maisha ukiwa mdogo tofauti na mazoea pia historia ya kivita Afrika anasema Teddy Mazina ..

Mfano mwingine eneo la Rubaya Nord Kivu (Kivu ya Kaskazini) ambapo kampuni ya madini ya Afrika ya Kusini walimegewa pande kubwa na watawala wa Kinshasa Mzee Laurent Kabila, pia siku za karibuni Felix Tshisekedi kuna migodi ya wazi ya wachimbaji wadogo kwa maelfu, ambayo yalikuwa maeneo serikali ya Kinshasa inategemea mapato mengi lakini sasa yanakaliwa na waasi wa M23 wenye nidhamu. Askari wa M23 hawaruhusiwi kuonekana wakiwa katika uniform wala kubeba bunduki.

Hivyo kutokana na nidhamu hiyo wachimbaji wadogo wanaendelea na kazi zao kwa usalama bila hofu tofauti na wakati majeshi ya serikali ya FARDC na mgambo mamluki walipokuwa wameyakalia walikuwa wamezaga huku wamevaa uniform na silaha pia kuwapora mali na madini wachimbajibhao wadogo mwandishi Teddy Mazina anasimulia.

Teddy Mazina, Burundian photo-journalist, is a political exile living between Belgium and Rwanda and a self-described “ ...
 
Haya sasa!

SADC wamesalimu amri kwa M23/ Rwanda. Wakuu wa nchi wameamua Vikosi vilivyopo Congo viondoke.

Sote tunakumbuka, hili lilikuwa takwa na agizo la M23 na Kagame kuwa vikosi vyote vya kigeni viondoke Mashariki mwa Congo DRC.

Nadhani kwa haya yaliyotokea, sote sasa tunajua mbabe wa Afrika ni Kagame/ Rwanda!

Msiniulize tena kwa nini nitailani milele CCM kwa kutufikisha hapa.

View attachment 3269444View attachment 3269445View attachment 3269445

===
Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imeamua kumaliza rasmi operesheni yake ya kijeshi katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kufuatia hasara kubwa zilizopatikana, ikiwemo vifo vya zaidi ya wanajeshi kumi na wanne mnamo Januari.


Uamuzi huu ulifikiwa katika mkutano wa kilele wa mtandaoni siku ya Alhamisi, ukihitimisha operesheni ambayo ililenga kurejesha amani na usalama katika eneo hilo ambalo limekuwa likikumbwa na migogoro kwa takriban miongo mitatu.

Taarifa ya mkutano huo wa Machi 13, 2025, ilithibitisha kuwa mamlaka ya SADC Mission in the DRC (SAMIDRC) yamekamilika, na kwamba kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa awamu.

SAMIDRC, ambayo ilihusisha wanajeshi kutoka Malawi, Tanzania, na Afrika Kusini, ilitumwa DRC mnamo Desemba 2023 kusaidia serikali ya nchi hiyo kupambana na ghasia zinazoendelea.

Hata hivyo, operesheni hiyo ilikumbwa na hasara kubwa, hasa kwa Afrika Kusini, ambayo ilipoteza wanajeshi 14 mnamo Januari wakati wa mapigano. Aidha, wanajeshi watatu wa Malawi na wanajeshi wawili wa Tanzania pia waliuawa kwenye mapambano hayo.

Afrika Kusini, ambayo inadaiwa kuwa na idadi kubwa ya wanajeshi waliotumwa DRC, imekuwa ikishinikizwa kuondoa vikosi vyake, hasa baada ya ripoti kuonyesha kuwa baadhi ya wanajeshi wake wamezuiliwa kambini na wapiganaji wa M23.

Tangazo la kuondolewa kwa vikosi vya kijeshi limetolewa siku moja tu baada ya Angola kuthibitisha kuwa mazungumzo ya amani kati ya DRC na kundi la waasi la M23 yataanza wiki ijayo jijini Luanda.

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa kuondolewa kwa vikosi kutafanyika kwa utaratibu, kulingana na hali ya usalama inavyoendelea katika eneo hilo.

Licha ya hali tete, alieleza matumaini kuwa juhudi za amani zinazoendelea na mazungumzo yanayotarajiwa kuanza zitasaidia kuimarisha utulivu katika eneo hilo.

SADC, kwa kushirikiana na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), imekuwa ikitoa msukumo kwa suluhisho la kidiplomasia na kisiasa kuhusu mgogoro huo, huku ikihimiza jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua dhidi ya janga kubwa la kibinadamu linaloendelea.

Hali inaendelea kuwa nyeti, huku kundi la waasi la M23, linalodaiwa kupata msaada kutoka Rwanda, likizidi kusonga mbele katika eneo lenye utajiri wa madini mashariki mwa DRC.

Rais wa Angola João Lourenço pia amekuwa mstari wa mbele katika juhudi za upatanishi, ambazo zimepata msukumo mpya baada ya kukutana na Rais wa DRC Félix Tshisekedi, ambaye hapo awali alikuwa akipinga mazungumzo ya moja kwa moja na M23.

Source: News Central
SADC sio wajinga lakini Tshisekedi ndiye mjinga na kwa jinsi hii Kongo wataendelea kuwa maskini mpaka watakapopata akili
 
Wameamua kuachana nae kwasababu ni mpuuzi
Binafsi naona huu ni mtego Kwa Rwanda. Sitaki kufafanua hapa. Something fishy and big is cooking. Tusubiri Muda utaongea.
 
Back
Top Bottom