Acha mbwembwe bro, hapo ni USA, hataki majeshi ya kulinda Amani, hapo Congo, USA ameingia mkataba na Congo wa kuchimba madini, hataki SADC wawepo, Rejea bifu la Trump, USA na Ramaphosa, south afrika, wa, south kupitia SADC wali kuwa wanaiba madini tu, kama anavyofsnya kagame, sasa hv madini yatachukuliwa na mzungu, America! Kagame atatoa wanajeshi kulinda wafanyakazi, wa, makampuni ya wazungu wakati wanachimba madini, anafsnya Hi you msumbiji,
Kagsme ni Attach Dog, blue eyed boy wa western, atatumiwa, wakimchoka, kaisha