Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
We unawaza hayo wakati TISS wenzako wanawaza kuiba uchsguzi wa vijiji na mitaa ili CCM washinde.Kama kuna watu wanajiona sio watanzania huu ndio muda wa kwenda wa kuchagua nchi wanayotaka.
Kama kwenda kuipigania East Congo, Rwanda, Burundi na kadhalika,
Mimi siafikl serikali ya Tanzania kujiingiza katika hiyo, migogoro; Iła kama upande wako sio Tanzania akutakuwa na mwamwana kwenye usaliti wa Tanzania.
JW ndo kabisa saivi kazi yao kuambiwa na ma DC na RC wakafanye mazoezi na usafi ili kuwatisha wananchi wasio na hatia kudai haki zao.