Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Inasemwa ukifunga wengine wasijue wala usikae kwa kujitilisha huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote hao wahuni tu miaani watu wnatabika na njaa unasubili kulisha watu mwezi wa ramadhani huongo mtupu na uhuniImekuwa kawaida kipindi cha Mfungo wa ramadhani viongozi wa serikali, taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kufuturisha.
Sasa basi ili kuondoa dhana ya upendeleo au double standard ni vyema basi katika kipindi hiki cha Mfungo wa Kwaresma basi futari ikaandaliwa pia na taasisi hizo.
Ni vyema Ikulu ikaandaa kitu kama hiki nakumbuka Rais Magufuli pamoja ni mkristu alifuturisha Ikulu. Mawaziri, Ma RC na Ma DC na nyie pia muandae futari ya namna hii Kwa wadau wenu ili kuboresha mahusiano Kwa kutumia Mfungo wa Kwaresma.
Na nyie maaskofu ie TEC andaeni futari kipindi hiki muwaalike viongozi wenzenu wa kiserikali au Waislamu mjumuike pamoja kwenye futari. Kama Bakwata wanavyowaalika kwenye futari wanazoanda kipindi cha Mfungo wa Ramadhani.
Na taasisi nyingine kama voda, tbl muandae futari kipindi hiki cha Kwaresma kama mnavyofanya kipindi cha Ramadhani.
Mwisho nawatakia Mfungo mwema wa Kwaresma wakristu wote.
[emoji12][emoji14][emoji13][emoji12][emoji14][emoji13][emoji12][emoji14][emoji13][emoji12]Mbona humu leo mmefungua Uzi.mmeambiwa na padri nyinyi hamuna maswala ya futari hapa naona mnataka kufuturishwa tena
Kweli kazi ipo.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Kwanza nyie mnafutulu sisi tunafturu
sisi kawida yetu taalikana bila kadi wala michango nyiyi wachoyo bila mchango hali mtuWakristo tunajiweza,hatuna haja na futari za kupewa Kama ombaomba,watu wanasubiri kuunga folen kusubiri futari wakiwa wamepigilia kanzu zao na ndizi mifukoni[emoji28][emoji28]
ngumu kwako usie fahamu kiswahiliBali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lugha ya Biblia ni ngumu sana.
Wasijue vipi wakati kufunga ni lazima kwa asiyekuwa na tatizo lolote,Inasemwa ukifunga wengine wasijue wala usikae kwa kujitilisha huruma
Mkiwa na shida ya Afya ya Akili msiwe mnaparamia comments bila kuelewa..ngumu kwako usie fahamu kiswahili
Na ww hupendi basi😅😅😅Wanashinda wamelala wakisubiri wakafturu misikitini