Viongozi wa serikali, taasisi futurisheni kipindi cha mfungo wa Kwaresma

Inasemwa ukifunga wengine wasijue wala usikae kwa kujitilisha huruma
 
wote hao wahuni tu miaani watu wnatabika na njaa unasubili kulisha watu mwezi wa ramadhani huongo mtupu na uhuni
 
Wakristo tunajiweza,hatuna haja na futari za kupewa Kama ombaomba,watu wanasubiri kuunga folen kusubiri futari wakiwa wamepigilia kanzu zao na ndizi mifukoni[emoji28][emoji28]
sisi kawida yetu taalikana bila kadi wala michango nyiyi wachoyo bila mchango hali mtu
 
Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso;..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lugha ya Biblia ni ngumu sana.
ngumu kwako usie fahamu kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…