Viongozi wa Simba kwa jinsi wanavyowadhara Mashabiki zao tegemeeni kutengenezwa kwa jambo la kuwapumbaza kama issue ya Msimu ulopita Saidoo

Dah! niliamini niliposoma mafanikio Yao ya msimu uliopita mpaka Channel ya wasap na kibegi ni mafanikio.
Hahahahahaha..kama Rage aliwaita mbumbumbu na bado wakampa kura unategemea nn kwa hao watu ?

Fanya hivi humu JF sports..chagua ID mbili za shabiki wa Simba kisha zifuatilie Nyuzi zao wanaanzisha na michango yao ndio utajua hao jamaa ni mijinga jinga kiasi gani..anza humu jF
 
Wanajiandaa kumchukua Metacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…