Viongozi wa Simba mmetufanya wengi tuwe Waasi dhidi ya timu yetu

Viongozi wa Simba mmetufanya wengi tuwe Waasi dhidi ya timu yetu

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Sisi Simba ni timu ya mioyo yetu, hatufaidiki wala kunufaika na chochote zaidi ya furaha, watu wanasafiri kutoka Bukoba, Mbeya, Kigoma wengine wanatumia baiskeli kuja kuwasapoti nyie viongozi na timu kwa ujumla.

Miaka ya hivi karibuni ilikuwa nadra sana kusikia Simba ikizozana na mashabiki wake, ikikosolewa laivu ba wanachama na mashabiki wake.

Changamoto zilikuwepo lakini za kawaida sana, watu walibaki kukaa kimya wakijua yanatatulika.

Simba ilifika levo nyingine kabisa kimataifa, hata kocha wa Singida Patrick Aussems amesema juzi kwenue press conference yake kuwa huko ulaya Simba inaongelewa sana kuliko Yanga.

Lakini leo hii wengi tumegeuka waasi ndani ya Simba, haturidhishwi na hali ya mambo ndani ya klabu yetu.

Kwanza waliokuwa wanatuhamasisha habari za kampuni wametukimbia hadi leo hawataki kutuambia habari za transformation.

Leo wameshindwa kumsajili Chama wanasingizia umri wake, mara hana nidhamu, mara mwacheni aende kumbe wapi hamna lolote.

Ukisema ukweli unafungiwa uanachama wakati kutoa maoni is a constitutional rights.Katiba ya Simba haiwezi kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Sasa hiv wengi tumepunguza hata kwenda uwanjani kushangilia na kusapoti, hebu angalia leo saa 7 Wallsema watamshusha mzawa wa kibabe, wajinga wengi wakawa wanashangiliq, wakabadilika wakasema saa 12 watamshusha mgeni mbabe, kwahiyo mzawa hana thamani c ndio?

Acheni habari zenu nyie. Yaan mmeghairi kumtambulisha mzawa mkaona hana thaman mkamweka mgeni ili awasumbue tena kama chama muanze kuhaha.
 
Leo wameshindwa kumsajili Chama wanasingizia umri wake, mara hana nidhamu, mara mwacheni aende kumbe wapi hamna lolote. Ukisema ukweli unafungiwa uanachama wakati kutoa maoni is a constitutional rights.Katiba ya Simba haiwezi kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.
Mkuu, kama unataka kuusema uongozi vibaya kwa kutomsajili Chama, wewe sema tu, itisha press utapike uwezavyo ulalamikie Chama kuondoka, hakuna atakayekufungia. Wale walifungiwa kwa kuwa waliitisha Mkutano wa Wanachama wakati hawana mamlaka hayo. Ila pia ujue sio wote wamekasirika Chama kutosajiliwa, na wewe inabidi utambue kuwa wapo wana Simba waliolichukulia hili kama jambo la kawaida, na wapo walioenda mbali zaidi kwa kufurahia Chama kutosajiliwa na Simba
 
Huyo mzawa ana jipya gani kama tunamfahamu? Tunataka kuwajua wageni kwanza..tujue ni mashine au sio..tujue mapema tutafute bio yake..
 
Sisi Simba ni timu ya mioyo yetu, hatufaidiki wala kunufaika na chochote zaidi ya furaha, watu wanasafiri kutoka Bukoba, Mbeya, Kigoma wengine wanatumia baiskeli kuja kuwasapoti nyie viongozi na timu kwa ujumla.

Miaka ya hivi karibuni ilikuwa nadra sana kusikia Simba ikizozana na mashabiki wake, ikikosolewa laivu ba wanachama na mashabiki wake.

Changamoto zilikuwepo lakini za kawaida sana, watu walibaki kukaa kimya wakijua yanatatulika.

Simba ilifika levo nyingine kabisa kimataifa, hata kocha wa Singida Patrick Aussems amesema juzi kwenue press conference yake kuwa huko ulaya Simba inaongelewa sana kuliko Yanga.

Lakini leo hii wengi tumegeuka waasi ndani ya Simba, haturidhishwi na hali ya mambo ndani ya klabu yetu.

Kwanza waliokuwa wanatuhamasisha habari za kampuni wametukimbia hadi leo hawataki kutuambia habari za transformation.

Leo wameshindwa kumsajili Chama wanasingizia umri wake, mara hana nidhamu, mara mwacheni aende kumbe wapi hamna lolote.

Ukisema ukweli unafungiwa uanachama wakati kutoa maoni is a constitutional rights.Katiba ya Simba haiwezi kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Sasa hiv wengi tumepunguza hata kwenda uwanjani kushangilia na kusapoti, hebu angalia leo saa 7 Wallsema watamshusha mzawa wa kibabe, wajinga wengi wakawa wanashangiliq, wakabadilika wakasema saa 12 watamshusha mgeni mbabe, kwahiyo mzawa hana thamani c ndio?

Acheni habari zenu nyie. Yaan mmeghairi kumtambulisha mzawa mkaona hana thaman mkamweka mgeni ili awasumbue tena kama chama muanze kuhaha.
Kumlilia Chama unaonekana hata mpira wenyewe huujui au huufuatilii. Ni Chama ndiyo ameanza kuifanyia vibweka Simba mara kadhaa na amekuwa akionyesha utovu wa nidhamu tena hadharani, katika mazingira kama hayo ulitaka viongozi wampigie magoti? Mimi nawalaumu viongozi wetu wa Simba kwa sajili mbovu kwa misimu mitatu lakini kwa suala la Chama nawapongeza, alishaichoka Simba hivyo hakukuwa na sababu abaki Simba tena.
 
Na ww tutolee upuuzi wako...Chama amekua nani mpk acheze Simba maisha yake yote? Inamaana ulitaka acheze kila msimu? Hama na huyo Chama wako...
Huyu wala siyo mshabiki wa Simba huyu ni nyuma mwiko anafanya kejeli tu kwa Simba.
 
Sisi Simba ni timu ya mioyo yetu, hatufaidiki wala kunufaika na chochote zaidi ya furaha, watu wanasafiri kutoka Bukoba, Mbeya, Kigoma wengine wanatumia baiskeli kuja kuwasapoti nyie viongozi na timu kwa ujumla.

Miaka ya hivi karibuni ilikuwa nadra sana kusikia Simba ikizozana na mashabiki wake, ikikosolewa laivu ba wanachama na mashabiki wake.

Changamoto zilikuwepo lakini za kawaida sana, watu walibaki kukaa kimya wakijua yanatatulika.

Simba ilifika levo nyingine kabisa kimataifa, hata kocha wa Singida Patrick Aussems amesema juzi kwenue press conference yake kuwa huko ulaya Simba inaongelewa sana kuliko Yanga.

Lakini leo hii wengi tumegeuka waasi ndani ya Simba, haturidhishwi na hali ya mambo ndani ya klabu yetu.

Kwanza waliokuwa wanatuhamasisha habari za kampuni wametukimbia hadi leo hawataki kutuambia habari za transformation.

Leo wameshindwa kumsajili Chama wanasingizia umri wake, mara hana nidhamu, mara mwacheni aende kumbe wapi hamna lolote.

Ukisema ukweli unafungiwa uanachama wakati kutoa maoni is a constitutional rights.Katiba ya Simba haiwezi kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Sasa hiv wengi tumepunguza hata kwenda uwanjani kushangilia na kusapoti, hebu angalia leo saa 7 Wallsema watamshusha mzawa wa kibabe, wajinga wengi wakawa wanashangiliq, wakabadilika wakasema saa 12 watamshusha mgeni mbabe, kwahiyo mzawa hana thamani c ndio?

Acheni habari zenu nyie. Yaan mmeghairi kumtambulisha mzawa mkaona hana thaman mkamweka mgeni ili awasumbue tena kama chama muanze kuhaha.
Acha kutumia neno Sisi..sema Mimi...
Kama unampenda mfuaye huko Utopolo alikoenda..Simba ni Taasisi...
Nikuulize baada ya huyo mtu wako kuondoka Simba imeporomoka nafasi ngapi kwenye klabu bora za CAF
 
Mkuu, kama unataka kuusema uongozi vibaya kwa kutomsajili Chama, wewe sema tu, itisha press utapike uwezavyo ulalamikia Chama kuondoka, hakuna atakayekufungia. Wale walifungiwa kwa kuwa waliitisha Mkutano wa Wanachama wakati hawana mamlaka hayo. Ila pia ujue sio wote wamekasirika Chama kutosajiliwa, na wewe inabidi utambue kuwa wapo wana Simba waliolichukulia hili kama jambo la kawaida, na wapo walioenda mbali zaidi kwa kufurahia Chama kutosajiliwa na Simba
Mimi mmoja wao tuliofurahia Chama kuondoka, sina deni naye ametufanyia kazi kwa wakati wake lakini wakati uliopo hakuwa na kitu cha ku offer Simba tena, tunamtakia maisha mema huko nyuma mwiko.
 
Acha kutumia neno Sisi..sema Mimi...
Kama unampenda mfuaye huko Utopolo alikoenda..Simba ni Taasisi...
Nikuulize baada ya huyo mtu wako kuondoka Simba imeporomoka nafasi ngapi kwenye klabu bora za CAF
Uhakika
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Huyu wala siyo mshabiki wa Simba huyu ni nyuma mwiko anafanya kejeli tu kwa Simba.
Ni Simba sema ni wale wanaojifanya ni wa muhimu sana kuliko club..yani wanataka wasikilizwe wao..wanaona wao ndo wana maono kuliko jopo zima la Simba huko kwny uongozi...
 
Ni Simba sema ni wale wanaojifanya ni wa muhimu sana kuliko club..yani wanataka wasikilizwe wao..wanaona wao ndo wana maono kuliko jopo zima la Simba huko kwny uongozi...
Bwege tu amfuate huyo Chama alikokwenda hata akitaka aolewe kabisa na Chama kwani jamaa ni mgane hadi sasa.
 
Bwege tu amfuate huyo Chama alikokwenda hata akitaka aolewe kabisa na Chama kwani jamaa ni mgane hadi sasa.
Kuna watu wanaboa kumlilia mwanaume alieamua kwa utashi wake au alieachwa baada ya kuona hana umuhimu tena mahali...sasa dume zima chama chama..walikuwepo bora zaidi yake japo na yy alikua bora kwa kipindi chake...Simba imeshamtumia mnoo..bora hata angemlilia JBocco mzawa...sema Tanzania kuna ka ugonjwa ka kutukuza wageni..wageni wenyewe sasa wenye nyodo...
 
Kuna watu wanaboa kumlilia mwanaume alieamua kwa utashi wake au alieachwa baada ya kuona hana umuhimu tena mahali...sasa dume zima chama chama..walikuwepo bora zaidi yake japo na yy alikua bora kwa kipindi chake...Simba imeshamtumia mnoo..bora hata angemlilia JBocco mzawa...sema Tanzania kuna ka ugonjwa ka kutukuza wageni..wageni wenyewe sasa wenye nyodo...
Hili mbwiga hata sijui kama mpira anaufahamu vizuri au ndiyo kajua kushabikia tu enzi za Chama.
 
Sisi Simba ni timu ya mioyo yetu, hatufaidiki wala kunufaika na chochote zaidi ya furaha, watu wanasafiri kutoka Bukoba, Mbeya, Kigoma wengine wanatumia baiskeli kuja kuwasapoti nyie viongozi na timu kwa ujumla.

Miaka ya hivi karibuni ilikuwa nadra sana kusikia Simba ikizozana na mashabiki wake, ikikosolewa laivu ba wanachama na mashabiki wake.

Changamoto zilikuwepo lakini za kawaida sana, watu walibaki kukaa kimya wakijua yanatatulika.

Simba ilifika levo nyingine kabisa kimataifa, hata kocha wa Singida Patrick Aussems amesema juzi kwenue press conference yake kuwa huko ulaya Simba inaongelewa sana kuliko Yanga.

Lakini leo hii wengi tumegeuka waasi ndani ya Simba, haturidhishwi na hali ya mambo ndani ya klabu yetu.

Kwanza waliokuwa wanatuhamasisha habari za kampuni wametukimbia hadi leo hawataki kutuambia habari za transformation.

Leo wameshindwa kumsajili Chama wanasingizia umri wake, mara hana nidhamu, mara mwacheni aende kumbe wapi hamna lolote.

Ukisema ukweli unafungiwa uanachama wakati kutoa maoni is a constitutional rights.Katiba ya Simba haiwezi kuwa juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977.

Sasa hiv wengi tumepunguza hata kwenda uwanjani kushangilia na kusapoti, hebu angalia leo saa 7 Wallsema watamshusha mzawa wa kibabe, wajinga wengi wakawa wanashangiliq, wakabadilika wakasema saa 12 watamshusha mgeni mbabe, kwahiyo mzawa hana thamani c ndio?

Acheni habari zenu nyie. Yaan mmeghairi kumtambulisha mzawa mkaona hana thaman mkamweka mgeni ili awasumbue tena kama chama muanze kuhaha.

Tuachie Simba Yetu..... We asi tu...!


Acha ituuue, tumeipenda Wenyewe....!

SIMBA NGUVU MOJA...!
 
Back
Top Bottom