Viongozi wa Simba SC mbona akili zenu zimelala sana?

Viongozi wa Simba SC mbona akili zenu zimelala sana?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hii timu ina viongozi wasiokuwa na maono kabisa na upigaji uliokithiri, pale mo arena tayari pana pitch nzuri tu. Kilichobakia hapo ni maboresho madogo tu.

Vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji pamoja na vyoo, majukwaa mtaweka baadhi tu kwa kuwa mnaanza kidogo kidogo.

Mkipata 1b hata kwa kukopa mbona mtapiga hatua kubwa tu. Kuliko huku kutanga tanga mara mwanza nasikia mechi ijayo dhidi ya mtibwa mmechagua moro.

Nyie viongozi changamsheni akili zenu hapo.
 
Usiwapangie cha kufanya mkuu. Jenga uwanja wenu! Kwanza hujui wana mpango gani so far. Kama ndicho wanachotaka kufanya au wameona namna nyingine ya kufanya iliyo bora zaidi unajuaje? Na hata wakipata hiyo jelly unayoisema wakaanza kujenga leo unaposema wataacha leo kutangatanga kama unavyosema? Ilaumu serikali ambayo haikuwaandaa mapema walipotaka kurekebisha uwanja wao

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Hii timu ina viongozi wasiokuwa na maono kabisa na upigaji uliokithiri, pale mo arena tayari pana pitch nzuri tu. Kilichobakia hapo ni maboresho madogo tu.

Vyumba vya kubadilishia nguo wachezaji pamoja na vyoo, majukwaa mtaweka baadhi tu kwa kuwa mnaanza kidogo kidogo .

Mkipata 1b hata kwa kukopa mbona mtapiga hatua kubwa tu. Kuliko huku kutanga tanga mara mwanza nasikia mechi ijayo dhidi ya mtibwa mmechagua moro.

Nyie viongozi changamsheni akili zenu hapo.
then utaskia kiazi mmoja ndani ya hiyo timu akisema nitalivalia njuga swala la mayele wakati klabu yake ina matatizo pomoni,huku mpinzani akiongoza ligi
 
Back
Top Bottom