Viongozi wa Simba sc , Njooni mtuombe radhi mashabiki wenu kwa kutudanganya uwa Lameck Lawi ni mchezaji halali wa Simba sc

Viongozi wa Simba sc , Njooni mtuombe radhi mashabiki wenu kwa kutudanganya uwa Lameck Lawi ni mchezaji halali wa Simba sc

Ila nikikumbuka mashabiki wa Simba walishangilia manzoki kuongea mkutanoni na kuita yanga sijui rangi ya nyoka na Mangungu akashinda kwa kishindo hapo ndio naona soka letu bado sana na uelewa wa watu wetu ni mdogo sana maana hii tu ilitosha kuwa sababu ya kuvunja ule mkutano
HATARI SANA MKUU
 
Back
Top Bottom