Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Kwa maoni yangu tu kwa muda mchache ninaongalia timu yetu pendwa ya simba sport club naona kabisa huyu kocha hamna kitu aisee tuleteeeni mtu km kishingo angalau. Ila huyu aibu zinakuja mbele yetu.
Wadau wengine mlete maoni yenu kwa muda huu tu mchache mnao tazama huu mchezo wa simba na polisi. Kwa mwendo huu hakika tutazidi kupeana mateso tu.
Wadau wengine mlete maoni yenu kwa muda huu tu mchache mnao tazama huu mchezo wa simba na polisi. Kwa mwendo huu hakika tutazidi kupeana mateso tu.