Viongozi wa Simba tulieni, mnakurupuka sana

Viongozi wa Simba tulieni, mnakurupuka sana

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Habari wakuu!

Nimesikia leo toka viongozi wa Simba kuwa wanaenda kuzindua Jessey zao Mlima kilimanjaro!

Well, mpaka sasa sijaona logic behind hii decision zaidi ya kuona ni kukurupuka baada ya kuona Yanga wamezindua Jezi zao Ikulu. Hakuna haja ya kufanya kitu kama hicho kuonyesha mnazindua Jezi mahala ambapo mtaonekana mpo juu ya Yanga. Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya hivi.

Tukio zima la Uzinduzi wa Jezi ni kitu muhimu kuonyesha kwa kiasi gani club iko makini katika kupangilia mambo yake na kuongeza value ya jezi husika. Yanga wamefanya waliyofanya baada ya kuona kuna opportunity kutumia presence ya marais wawili.

Binafsi naona kulikuwa na namna bora zaidi ya uzinduzi wa jezi lakini Mlimani ingekuwa ni sehemu ya kuipeleka tu jezi baada ya kuzinduliwa. Hebu tujifunze wenzetu wanavyopangilia mambo yao mfano walizindua jezi za Haier vizuri sana na wakaongeza thamani ya jezi zao kuuzwa 50k na zikaisha. Pia wanapangilia mambo yao very proffesional kutuzidi sisi.

kama hamjui tu, thamani za jezi za Yanga ni kubwa kuliko za zetu na wao ndio wanadetermine ni kiasi gani ziuzwe kwenye market. Now wameweka 35k-40 na zinaisha, na sisi tunapita humo humo, lakini sisi tungejaribu kuanza na hii bei tungechemka.
 
Nimependa ubunifu wa kwenda mlima kilimanjaro ingawa nahisi hiyo safari itafanyika kabla ya siku tajwa maana kurekodi, kuedit na kurusha promo ya uzinduzi haiwezi kufanyika siku hiyo hiyo live mlimani. Ni vizuri Simba waendelee kujiweka mbali na wanasiasa. Hakuna fahari yoyote kuzindua jezi mbele ya wanasiasa.

Mlima Kilimanjaro unaakisi kabisa brand ya Simba kwa kuwa na lengo la kuwa kileleni kisoka Afrika na pia mnyama Simba anapatikana huko. Yanga mpaka leo hawana nembo wanayoweza kujivunia zaidi ya jembe na nyundo na hamjashtuka tu, ndiyo maana mnapuyanga tu.

Na kwa nini kila anachofanya Simba kikiwa tofauti na alichofanya Yanga mnauliza "kulikuwa na ulazima gani wa kufanya hivi". Akienda kuweka kambi nje mnauliza, akifanya hiki mnauliza.
 
[emoji817][emoji817][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitambo sana hizo idea tushafanyaga
FB_IMG_16894233273813671.jpg
 
Nimependa ubunifu wa kwenda mlima kilimanjaro ingawa nahisi hiyo safari itafanyika kabla ya siku tajwa maana kurekodi, kuedit na kurusha promo ya uzinduzi haiwezi kufanyika siku hiyo hiyo live mlimani. Ni vizuri Simba waendelee kujiweka mbali na wanasiasa. Hakuna fahari yoyote kuzindua jezi mbele ya wanasiasa.

Mlima Kilimanjaro unaakisi kabisa brand ya Simba kwa kuwa na lengo la kuwa kileleni kisoka Afrika na pia mnyama Simba anapatikana huko. Yanga mpaka leo hawana nembo wanayoweza kujivunia zaidi ya jembe na nyundo na hamjashtuka tu, ndiyo maana mnapuyanga tu.

Na kwa nini kila anachofanya Simba kikiwa tofauti na alichofanya Yanga mnauliza "kulikuwa na ulazima gani wa kufanya hivi". Akienda kuweka kambi nje mnauliza, akifanya hiki mnauliza.
Anacho kifanya Yanga alisha kifanya.
 
[emoji817][emoji817][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitambo sana hizo idea tushafanyagaView attachment 2688928
Tunaongelea uzinduzi. Nina uhakika kuwa watu waliovaa jezi za Simba wameshawahi piga picha hapo kileleni.

Nje ya mada, hivyo viubao vimekaa kilocal sana, sielewi kwa nini mpaka leo hakuna aliyeshtuka kuweka tangazo linalovutia hapo juu.
 
Tunaongelea uzinduzi. Nina uhakika kuwa watu waliovaa jezi za Simba wameshawahi piga picha hapo kileleni.

Nje ya mada, hivyo viubao vimekaa kilocal sana, sielewi kwa nini mpaka leo hakuna aliyeshtuka kuweka ubao unaovutia hapo juu.
Nimeongelea idea sijaongelea uzinduzi
 
Hakuna jipya chini ya jua. Nini ambacho Yanga anafanya ambacho Simba hajafanya?
Mbona jibu unalo? Hiki apo chini.
[emoji817][emoji817][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kitambo sana hizo idea tushafanyagaView attachment 2688928
Cha pili kufika fainali ya kombe la shirikisho LA CAF na rudia tena SHIRIKISHO LA CAF.

Yaani kwa mujibu wa CAF hata nusu ya michuano yoyote ya CAF hujawahi kufika,wenye kombe lao hao hapo.
Screenshot_20230604_192518_Instagram.jpg
 
UNaelewa maana visit tanzania? We go practically this time nyie si mlikataa visit tz mkafata ubwabwa ikulu?
 
UNaelewa maana visit tanzania? We go practically this time nyie si mlikataa visit tz mkafata ubwabwa ikulu?
Hakuna mtu dunia hii asiyejua mlima kilimanjaro uko wap hadi simba mkautangaze
 
Wezako watapigaje posho

Lakini ,Simba nikubwa itautangaza mlima kilimanjaro
 
Mbona jibu unalo? Hiki apo chini.

Cha pili kufika fainali ya kombe la shirikisho LA CAF na rudia tena SHIRIKISHO LA CAF.

Yaani kwa mujibu wa CAF hata nusu ya michuano yoyote ya CAF hujawahi kufika,wenye kombe lao hao hapo.
View attachment 2688978
Wewe bado uko huko, wenzio walishakubali. Ingia page ya CAF, rekodi za Simba wameziweka wazi. Usiturudishe huko maana hii mada tumeiongelea sana humu hadi Rais wa nchi mnayejisifu kula naye ubwabwa aliwaambia mbele yenu Simba ameshawahi kufika hiyo hatua.
 
Habari wakuu!

Nimesikia leo toka viongozi wa Simba kuwa wanaenda kuzindua Jessey zao Mlima kilimanjaro!

Well, mpaka sasa sijaona logic behind hii decision zaidi ya kuona ni kukurupuka baada ya kuona Yanga wamezindua Jezi zao Ikulu. Hakuna haja ya kufanya kitu kama hicho kuonyesha mnazindua Jezi mahala ambapo mtaonekana mpo juu ya Yanga. Kulikuwa na ulazima gani wa kufanya hivi.
Tukio zima la Uzinduzi wa Jezi ni kitu muhimu kuonyesha kwa kiasi gani club iko makini katika kupangilia mambo yake na kuongeza value ya jezi husika. Yanga wamefanya waliyofanya baada ya kuona kuna opportunity kutumia presence ya marais wawili.

Binafsi naona kulikuwa na namna bora zaidi ya uzinduzi wa jezi lakini Mlimani ingekuwa ni sehemu ya kuipeleka tu jezi baada ya kuzinduliwa. Hebu tujifunze wenzetu wanavyopangilia mambo yao mfano walizindua jezi za Haier vizuri sana na wakaongeza thamani ya jezi zao kuuzwa 50k na zikaisha. Pia wanapangilia mambo yao very proffesional kutuzidi sisi.

kama hamjui tu, thamani za jezi za Yanga ni kubwa kuliko za zetu na wao ndio wanadetermine ni kiasi gani ziuzwe kwenye market. Now wameweka 35k-40 na zinaisha, na sisi tunapita humo humo, lakini sisi tungejaribu kuanza na hii bei tungechemka.

Ujinga sana
 
Back
Top Bottom