Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,534
Reaction score
7,866
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
 

Attachments

  • 7AE605A8-9F92-4514-94DF-E2D966E6E285.mp4
    7 MB
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Yaani pale Marekani wamechaguliwa wahuni... Nadhani leo walikosa busara za "Rais wao" Elon Musk! Labda angekuwepo hali ingekuwa tofauti.

Kingine na hiki ni muhimu sana: Nimemkubali zaidi Zelensky! Amejua jinsi ya kukabiliana na Trump na kuonesha dhahiri malengo ya utawala wa Trump!
Hakujali yupo Oval Office live kwenye media!
Hakuwa muoga!
Hakuiuza nchi yake kwa vipande vya fedha!

Kafuata njia ile ile ya Emmanuel Macron!
Trump akizingua. Mzingue
 
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
Naunga hoja
 
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
Zelensky amenikosha sana... Hivi huyu wa kwetu anaweza kututetea?
Mwl. Nyerere, Mkapa wangeweza!
 
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
Yaani ni kama hakuna ‘axis of adults’ White House.

Raisi wa marekani na makamu wake kila diplomatic meeting yao kabla ya leaders kukutana wataalamu wanakuwa washafanya mazungumzo na upande wa pili.

By the time viongozi wanakutana hata kama nchi ziko far apart kwenye agenda husika, diplomatic language inatumika.

Hiyo ni ishara kuna chaos kubwa White House, hasa upande wa wataalamu wanaotakiwa kum-control.

That’s a national security disaster, raisi na makamu wake walivyo behave mbele ya world media.
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Daktari wahimize viongozi wako wajikite kutetea nchi zao! Wahimize kuwatetea wananchi wao.
Zelensky amenikosha sana. Hakuwa muoga wala mnyonge! Trump ni mouthpiece ya Putin. Putin ndo yule yule mtesi wa Ukrainians!

Pili, tungekuwa na akili na umoja Africa tungeshikamana kukabiliana na nchi zilizoendelea hasa za Ulaya, Amerika na Asia! Hizo nchi zilitunyonya sana na hivyo zinapaswa kulipwa fidia na si misaada!

Mwisho, Zelensky ameonesha njia ya kusimamia negotiations za kimataifa kwa kutanguliza maslahi ya taifa!
 
Yaani ni kama hakuna ‘axis of adults’ White House.

Raisi wa marekani na makamu wake kila diplomatic meeting yao kabla ya leaders kukutana wataalamu wanakuwa washafanya mazungumzo na upande wa pili.

By the time viongozi wanakutana hata kama nchi ziko far apart kwenye agenda husika, diplomatic language inatumika.

Hiyo ni ishara kuna chaos kubwa White House, hasa upande wa wataalamu wanaotakiwa kum-control.

That’s a national security disaster, raisi na makamu wake walivyo behave mbele ya world media.
Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.

Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.

Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.

Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.
 
Yaani ni kama hakuna ‘axis of adults’ White House.

Raisi wa marekani na makamu wake kila diplomatic meeting yao kabla ya leaders kukutana wataalamu wanakuwa washafanya mazungumzo na upande wa pili.

By the time viongozi wanakutana hata kama nchi ziko far apart kwenye agenda husika, diplomatic language inatumika.

Hiyo ni ishara kuna chaos kubwa White House, hasa upande wa wataalamu wanaotakiwa kum-control.

That’s a national security disaster, raisi na makamu wake walivyo behave mbele ya world media.
Trump ni tajiri mhuni... Amekipora chama... Na sasa amepora mamlaka ya nchi! Hataki kusikia wala kufuata hoja za wataalamu!
Nchi nzima anamuogopa Elon Musk pekee yake!

Kama ulifuatilia ile live press conference ya Cabinet utabaini kuwa Trump ni bully na dictator! Vicheko na sura za wajumbe wa Cabinet zilijaa kejeli na unafiki!
 
Kila mtu na hulka yake, lakini zelenski kanifurahisha, Yeye Rais wa taifa, halafu unataka kumfanuya kama mkuu wa wilaya unaye mteu wewe.
Mimi tokea mwanzo wa vita nilisema zelendky ni jasiri sana ila kama kawaida watu wengi pro putin wakanibeza

Ukweli ni kwamba Afrika tunahitaji viongozu kama zelensky ambaye ana guts za kumwambia mmarekani hili haliwezekani
 
Naunga hoja
Hahaha nadhani wana panick kuona jamaa kakataa offer zao za kijinga, walitaka akae kimya kama mjinga wakati anadhalilishwa akagoma kuuza utu wake na nafasi yake kama rais.

Huwezi kumfanya kama mkuu wa wilaya, wakati naye alipigiwa kura, naye ni rais wa taifa jingine.

Kama Trump anaona Marekani ni taifa zaidi ya Ukraine abaki na mtizamo wake lakini zelenski akomae hivyo hivyo.
 
Trump ni tajiri mhuni... Amekipora chama... Na sasa amepora mamlaka ya nchi! Hataki kusikia wala kufuata hoja za wataalamu!
Nchi nzima anamuogopa Elon Musk pekee yake!

Kama ulifuatilia ile live press conference ya Cabinet utabaini kuwa Trump ni bully na dictator! Vicheko na sura za wajumbe wa Cabinet zilijaa kejeli na unafiki!
Trump anapenda short-c
Trump ni tajiri mhuni... Amekipora chama... Na sasa amepora mamlaka ya nchi! Hataki kusikia wala kufuata hoja za wataalamu!
Nchi nzima anamuogopa Elon Musk pekee yake!

Kama ulifuatilia ile live press conference ya Cabinet utabaini kuwa Trump ni bully na dictator! Vicheko na sura za wajumbe wa Cabinet zilijaa kejeli na unafiki!
Trump anapenda sana short cut kupita maelezo kuna mda unajiuliza alichaguliwaje ni kweli ana mazuri yake lakin ukiweka kwenye mizani mabaya ni mengi sana kuliko mazuri

Hata personal life biashara zake alizoanzisha zimefeli yaani anatembelea nyota ya baba yake mpaka leo lakin yeye hakuna kitu ambacho ni meangful ameongeza kwenye kile baba yake alichomuachia na hii inatokana na ukweli kwamba anapenda sana short-cut
 
Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.

Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.

Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.

Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.
Nasubiri kusikia ‘John Bolton’ outtake on what just happened.
 
Mimi tokea mwanzo wa vita nilisema zelendky ni jasiri sana ila kama kawaida watu wengi pro putin wakanibeza

Ukweli ni kwamba Afrika tunahitaji viongozu kama zelensky ambaye ana guts za kumwambia mmarekani hili haliwezekani
Yaani nimefuatilia ile minyukano... Moyo una amani kabisa!
Wiki hii mwanzoni Emmanuel Macron naye alimnyoosha Trump! Kuna mwanamama governor naye alimnyookea Trump!

Trump is a bully! Sasa naelewa waliposema viongozi wengi huwa wanamdharau!
 
Back
Top Bottom