Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Kama wewe upo huko uliko hujui kama hujui unafikiri wengine nao hawajui kama hawajui!
Sijui hata kama huyo Donald Trump Jr. unamfahamu vizuri... Nakushauri acha uvivu. Go do your proper homework!
How can you dare to do an economic revolution to your country ukiwa na kiasi hicho cha fantasy, uvivu na ujinga?
Hujui kitu. Ni ujuaji tu unakusumbua 🚮 kwamba wewe unamfaham sana😄I don't know why Kiongozi mwenye misimamo na maamzi huwa anaonekana ni mbaya , maybe ulikua mnufaika wa utawala wa Shoga Biden ndiyo maana unalia hapa Kwa sabab ya mirija imekatwa, anyway mm kumfaham siyo shida, but naona sera zake na mabadiliko hilo linatosha kujua ni mtu wa aina gani!! Trump ni aina ya Rais ambaye nilitamani nchi zote ziwe naye.

Ni lazima tujue namna ya kutumia Rasilimali zetu na siyo kwenda kulia kwao huko watupe msaada mwishoe kupitia hiyo misaada inatugharimu kusain mikataba migum ya kuuza Rasilimali zetu, na hicho ndicho kilicho mkuta huyo mchekeshaji wenu.

NB: Kama wewe ni mtu wa upinde huwezi kumkubali Trump.
 
Uko huku tanzagiza,wako huko marekani they know everything better than you.
MAGA ndio kauli mbiu Yao kama KAZI IENDELEE ilivyo kauli mbiu yetu.
Sahihi kabsa, WaTanzania tuna ujuaji sana, mwingine nimemkuta hapa anasema "Trump hajui politics" aisee... Nimeshangaa sana. Hawa wapumbavu wanafikiri Marekani ni Africa ambayo hata wajinga wajinga wanaweza kuongoza nchi. Mtu yupo Buza anasemaje Trump hajui politics 😄
It's disgusting 🚮
 
Aki you are out of your mind aisee!
Kasome upya historia ya vita vya Ukraine...
Ukraine wanapigania hali yao ya kuishi duniani...
Wameandamwa sana toka enzi na enzi Ili waangamizwe...
Anachofanya Putin ni muendelezo wa ukandamizaji uliowahi kufanyika dhidi ya Ukrainians. Waangamizwe! Maeneo yao yachukuliwe!

Yaani kama unaona kumaliza vita ni kumdharaulisha Rais wa Ukraine Ili atie saini ya kuuza rasilimali adimu za nje yake kwa vibaka na vibaraka wa Putin unaikosea sana Ukraine!
Rais wa nchi hadhalilishwi kwa kiasi kile ambacho Trump & Vance walitaka kumdhalilisha Zalenskyy!
Kama Marais wenu huko Africa washazoea kuitikia YES kwa kila na kulamba viatu vya wakubwa kamwe hutokuta kitu kama hicho kwa Ukrainians!
Kumbe ndo maana bandari, ardhi, wanyapori n.k kila kitu kinaenda. Marais wenu Wakiambiwa watu wenu ni maskini, wanyonge na walalahoi kabidhini mlivyonavyo tuwasaidie wanatoa yote!

Zalenskyy ni kidume asee! Kaenda UK kapokelewa kwa staha!

NB: Trump kama Putin wote wanapenda vya kunyonga! Na wenye akili timamu duniani wanajua.
Kifupi: Trump wenu ni puppet wa Putin ambaye anatumika kama silaha ya kuivuruga US kama vile US ilivyowahi kumtumia Mikhail Sergeyevich Gorbachev kuivuruga RUSSIA!
US isiposhtuka, ndani ya utawala wa Trump itakuwa nyuma ya China, Russia na Kiduku!
Historia ipi Kiongozi? If it's history Ukraine ni sehem ya Russia no doubt about that, tangu enzi na enzi na Kuna mikataba mingi waliingia. Ukraine imejitenga baada anguko la umoja wa kisovieti (USSR) between the year of 1991-1992. But before that Ukraine was part of Russia.

Huyu mchekeshaji ni kibaraka ya wazungu na aliwekwa hapo na hao vibaraka baada ya kufanikisha kumuondoa madarakani Rais wao Viktor Yanukovch ndiyo wakafuliliza kuwaweka vibaraka Petro Poreshenko then ndiyo huyu mchekeshaji Sasa anaye omba omba.
 
Sahihi kabsa, WaTanzania tuna ujuaji sana, mwingine nimemkuta hapa anasema "Trump hajui politics" aisee... Nimeshangaa sana. Hawa wapumbavu wanafikiri Marekani ni Africa ambayo hata wajinga wajinga wanaweza kuongoza nchi. Mtu yupo Buza anasemaje Trump hajui politics 😄
It's disgusting 🚮

Mkuu : Baadhi ya Watanzania hata kufanya simple research ya mambo hawawezi, na wengi wanaandika kwa hisia tu! Kama Trump hajui politcs, kashindaje Urais? Tena kwa wingi wa Kura! Nadhani kuna mambo inabidi ukae kimya na kuyaangalia tu! Muda ndio utasema, na kwa Marekani juwa kuna mid term election kama miaka miwili ijayo, Trump ataendelea, lakini wananchi watawachagua tena kwa wingi wabunge wa chama cha Republican! Tuna muda wa kusubiri na kuangalia!
 
Historia ipi Kiongozi? If it's history Ukraine ni sehem ya Russia no doubt about that, tangu enzi na enzi na Kuna mikataba mingi waliingia. Ukraine imejitenga baada anguko la umoja wa kisovieti (USSR) between the year of 1991-1992. But before that Ukraine was part of Russia.

Huyu mchekeshaji ni kibaraka ya wazungu na aliwekwa hapo na hao vibaraka baada ya kufanikisha kumuondoa madarakani Rais wao Viktor Yanukovch ndiyo wakafuliliza kuwaweka vibaraka Petro Poreshenko then ndiyo huyu mchekeshaji Sasa anaye omba omba.
Ukraine siyo nchi pekee iliyojitenga kutoka iliyokuwa USSR.
Pili fanya homework yako usome historia ya hizo nchi!
 
Hujui kitu. Ni ujuaji tu unakusumbua 🚮 kwamba wewe unamfaham sana😄I don't know why Kiongozi mwenye misimamo na maamzi huwa anaonekana ni mbaya , maybe ulikua mnufaika wa utawala wa Shoga Biden ndiyo maana unalia hapa Kwa sabab ya mirija imekatwa, anyway mm kumfaham siyo shida, but naona sera zake na mabadiliko hilo linatosha kujua ni mtu wa aina gani!! Trump ni aina ya Rais ambaye nilitamani nchi zote ziwe naye.

Ni lazima tujue namna ya kutumia Rasilimali zetu na siyo kwenda kulia kwao huko watupe msaada mwishoe kupitia hiyo misaada inatugharimu kusain mikataba migum ya kuuza Rasilimali zetu, na hicho ndicho kilicho mkuta huyo mchekeshaji wenu.

NB: Kama wewe ni mtu wa upinde huwezi kumkubali Trump.
Upinde upindishwe mwenyewe.
Mimi ninachokwambia ni mtazamo wa udhalilishaji. Na huo ndo ninao upinga!

Sasa kama wewe unataka utumie rasilimali zako ni kwanini unataka uone Ukraine ikiingizwa kwenye mikataba ya rare metals kwa mbinu za kejeli na udhalilishaji?
Sijui unakwama wapi... Unata unachokikataa! Na huna unachosimamia!
 
Upinde upindishwe mwenyewe.
Mimi ninachokwambia ni mtazamo wa udhalilishaji. Na huo ndo ninao upinga!

Sasa kama wewe unataka utumie rasilimali zako ni kwanini unataka uone Ukraine ikiingizwa kwenye mikataba ya rare metals kwa mbinu za kejeli na udhalilishaji?
Sijui unakwama wapi... Unata unachokikataa! Na huna unachosimamia!
Binafsi sioni udhalilishaji wowote alio fanyiwa huyo mchekeshaji!! Kuhusu ninacho kusimamia, labda huajelewa comment yangu nimesema tuchukue kama funzo, siyo kuomba misaada pasipo fikiria future yetu mwishoe ndiyo hicho kitakacho tukuta kama ilivyo mkuta huyo mchekeshaji.
 
acha mfokewe!mnaombaomba sanaa!lzm mfokewe!ndo maana #CHUMAJPM# huu ujinga alikua hautaki
Hahaha naye alikuwa anawatu wake, Alikopa sana na kila mkopo tuliambiwa ni pesa za ndani, ni yeye JPM aliyejenga viwanda vingi nchi hii, lakini tulikuwa hatuvioni kwa macho yetu, ila nyie MACHAWA mlikuwa mnaviona kama yeye.
 
Marekani kuwa Raisi au Makamu kwa sasa uwe WWW John Cina,au Undertaker.
Ukiwazengua na haki za binadamu wanakufungulia mbwa mkali Putin na Kiduku wakutafune.
Taiwan anajinyea kwa sasa maanake China ataichukuwq bila kupiga hata risasi mmoja.
Lithiwenia,Estonia,Lativia Finland,Poland,Romania,Chec wasubiri kunyolewa kipara,next door ni Germany.Watarudishwa kwa kishoka mother SOVIET.
Mi nitafurahi wakipigana kufa na kupona, wa mwage mboga na ugali, tutatafuta kesho.
 
Hahaha naye alikuwa anawatu wake, Alikopa sana na kila mkopo tuliambiwa ni pesa za ndani, ni yeye JPM aliyejenga viwanda vingi nchi hii, lakini tulikuwa hatuvioni kwa macho yetu, ila nyie MACHAWA mlikuwa mnaviona kama yeye.
mm naona madaraja na mabarabara aliyojenga kwa mikopo!kuliko mikopo ya sasa hvi tunaijua lkn ilichofanya hatukijui
 
mm naona madaraja na mabarabara aliyojenga kwa mikopo!kuliko mikopo ya sasa hvi tunaijua lkn ilichofanya hatukijui
Mwaka wa uchaguzi huu, zisubirini huko huko zinakuja kama Vitenge, pilau, skafu na ma bus ya CCM.
 
Back
Top Bottom