Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Waambie Hawa viongozi wasiotumia akili kabisa, wanashika madaraka kwa hila, ndio mana wajawa na ubinafsi, wasiopenda maendeleo ya inchi zao, muda wao umewadia
 
"Deni la Taifa ni Himilivu"
Hili neno huwa linanikera mpaka basi
Ila " Every dog has its day"
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Hatari kweli kweli
 
Trump ni tajiri mhuni... Amekipora chama... Na sasa amepora mamlaka ya nchi! Hataki kusikia wala kufuata hoja za wataalamu!
Nchi nzima anamuogopa Elon Musk pekee yake!

Kama ulifuatilia ile live press conference ya Cabinet utabaini kuwa Trump ni bully na dictator! Vicheko na sura za wajumbe wa Cabinet zilijaa kejeli na unafiki!
Yeah!... Mzee Trump cabinet yake nzima kajaza 'chawa' wake ..

.ila huko mbeleni atagundua Putin sio rafiki yake kama anavyodhani na katu hataweza kumweka 'under control' kama anavyofikiri...ila kubwa zaidi huyu Mzee (Trump) ataiachia nchi yake 'msala'.

Yoda Drifter Mag3
 
Trump anapenda short-c

Trump anapenda sana short cut kupita maelezo kuna mda unajiuliza alichaguliwaje ni kweli ana mazuri yake lakin ukiweka kwenye mizani mabaya ni mengi sana kuliko mazuri

Hata personal life biashara zake alizoanzisha zimefeli yaani anatembelea nyota ya baba yake mpaka leo lakin yeye hakuna kitu ambacho ni meangful ameongeza kwenye kile baba yake alichomuachia na hii inatokana na ukweli kwamba anapenda sana short-cut
Yeah...na anatumia 'short cut' hizo hizo kutaka kumaliza hii vita huko Ulaya mashariki alivyoahidi angeimaliza saa 24 baada ya kuapishwa.
 
Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.

Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.

Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.

Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.
Unataka kutuaminisha kuwa wamarekani hawajui kilichobora kwao? Ninyi mliochagua viongozi wenye uwezo wamelipeleka wapi taifa zaidi ya kuliuza vipande vipande?
 
Mkuu hapana hapana ulivyoandika siyo poa kabisa tena ni uhaini.
Tumia akili endelea kusoma komenti za mbele nimefafanua ...hiki nilicho andika ni kwa kiongozi yoyote anaye amini kuwa kuna wajomba kwa waarabu au mabeberu watakao mjengea nchi yake huyo ni kama kahaba anaye jihuza na kujidhalilisha sawa sawa na upumbavu wa akili zake
 
Kwamba wewe uliye huko Bonyokwa ndiyo unajua Siasa kuliko Trump? Asiee... Mbona WaTanzania tuna ujuaji sana.
Trump ametawala Marekani miaka minne then amerudi ameshinda. Wewe unafikiri USA ni Tz unapita kwa kuiba kura kule ni free and fair election na hakuna kuteuna sijui ndugu yangu kule hamna.

Tuache ujuaji, let's focus on making an economic revolution to our country. Tuache ngojera.
Kama wewe upo huko uliko hujui kama hujui unafikiri wengine nao hawajui kama hawajui!
Sijui hata kama huyo Donald Trump Jr. unamfahamu vizuri... Nakushauri acha uvivu. Go do your proper homework!
How can you dare to do an economic revolution to your country ukiwa na kiasi hicho cha fantasy, uvivu na ujinga?
 
Mtanyooka na baado, huyo Zelensky ni mpumbavu sana, Russia alimfuata amalize vita kwa mazungumzo ila kwa sababu ya kiburi ya mashoga Biden akijitia nunda Sasa mambo yamekua magumu analia, atulie hivyo hivyo.

Trump yuko sahihi anachotetea ni haki ya walipa Kodi wa Marekani Hakuna Cha mtu kinacho enda bure katka ulimwengu huu. Zelensky alisaidiwa silaha akapambana na vita na mpaka saivi. Then anagoma kulipa fadhira? Tumuoner huruma. Big no, he deserved it aache kulia.
Aki you are out of your mind aisee!
Kasome upya historia ya vita vya Ukraine...
Ukraine wanapigania hali yao ya kuishi duniani...
Wameandamwa sana toka enzi na enzi Ili waangamizwe...
Anachofanya Putin ni muendelezo wa ukandamizaji uliowahi kufanyika dhidi ya Ukrainians. Waangamizwe! Maeneo yao yachukuliwe!

Yaani kama unaona kumaliza vita ni kumdharaulisha Rais wa Ukraine Ili atie saini ya kuuza rasilimali adimu za nje yake kwa vibaka na vibaraka wa Putin unaikosea sana Ukraine!
Rais wa nchi hadhalilishwi kwa kiasi kile ambacho Trump & Vance walitaka kumdhalilisha Zalenskyy!
Kama Marais wenu huko Africa washazoea kuitikia YES kwa kila na kulamba viatu vya wakubwa kamwe hutokuta kitu kama hicho kwa Ukrainians!
Kumbe ndo maana bandari, ardhi, wanyapori n.k kila kitu kinaenda. Marais wenu Wakiambiwa watu wenu ni maskini, wanyonge na walalahoi kabidhini mlivyonavyo tuwasaidie wanatoa yote!

Zalenskyy ni kidume asee! Kaenda UK kapokelewa kwa staha!

NB: Trump kama Putin wote wanapenda vya kunyonga! Na wenye akili timamu duniani wanajua.
Kifupi: Trump wenu ni puppet wa Putin ambaye anatumika kama silaha ya kuivuruga US kama vile US ilivyowahi kumtumia Mikhail Sergeyevich Gorbachev kuivuruga RUSSIA!
US isiposhtuka, ndani ya utawala wa Trump itakuwa nyuma ya China, Russia na Kiduku!
 
Nilichofikiria Zalensky alikwisha ikataa maana alitumwa mtu kabla akaenda Ukraini kwakua EU kuna kitu wamemuahidi ndio maana analeta jeuri kwakua Trump ameonyesha kumjali Putin.
Kuna kitu raisi wa Ukreini hajajua,wenzie wamemuingiza vitani kwakua watu wanahitaji malighafi za nchi yake hiki halijui kabisa
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Planned.
 
Hoja Yako ilikuwa nzuri, lkn ulipoingiza udini na chuki zako kwa jamii flani wewe na wenzako mlioamua kuichukia basi umeonekana mshamba na lofa tu usiyejua lolote. Hao mabwana zenu mnaowasujudia na mlio tayari kuwapa Bure sehemu zozote za miili yenu wanawakimbilia Kila leo hao mnawachukia kwa ajili ya kufanya biashara. Ni ,ngese mno mtu wa Karne hii asiyejua kuwa sayansi inaenda kule fedha iliko.....asiyejua kuwa Hela ni sayansi!

Kalagha bao, endeleeni kukaa na michuki yenu hiyo lkn kamwe hamtokuja kuona hata siku Moja mkiwapita hao mnawachukia kwa njia hiyo ya wivu, fitna na majungu.
Tuliza presha, agiza mdudu choma na ndizi hapo mwili ukae sawa
 
Nimeshangaa hapo, kwenye mambo makubwa ya interest muhimu za nchi analeta siasa za ndani, mambo ya Obama, Biden, ugomvi wa ndani, ugomvi wa kifamilia, ni utoto.
Uko huku tanzagiza,wako huko marekani they know everything better than you.
MAGA ndio kauli mbiu Yao kama KAZI IENDELEE ilivyo kauli mbiu yetu.
 
Trump ni Kiongozi wa US ambaye Hana heshima kabisa. Mjadala ule Kati ya Trump na Zelensky ulipaswa ufanyike Behind the Camera. Ameinajisi ikulu ya White House kwa kuvunja miiko na Itifaki zote kabisa za namna ya kuendesha Ikulu.
Mkutano huo ni kama ulilenga mahsusi katika kumdhalilisha Rais Zelensky.

Hii itachagiza sana kuongeza fukuto la upinzani Ndani ya Marekani katika kuupinga Utawala wa Trump
Mawazo ya kijima haya.
Trump Yuko sahihi kabisa coz anapambania Kodi za wamarekani. Kwanini afiche mazungumzo behind the camera? Kwake itampa political mileage.
Wenzetu ni wawazi sio kama huku kwetu ambapo kila kitu ni siri.
 
Trump anaishi kwenye fanatsy ya hali ya juu sana hata ukimsikiliza kipindi cha kampeni zilikuwa ni pure fantasy anazozitoa

Trump ni kama kijana ambaye hana experience ya maisha kwa hiyo anakua yuko dictated na fantasy kwenye kila jambo analoliona ni mtu mzima kiumbo ila kiakili ni kama kijana wa miaka 18
Kwamba unamchamba billionaire na US president....🤣🤣🤣🤣
Bongo ni nyoko haki.
 
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
Kwakweli hata mimi nilimkubali sana alikasirika mpaka akatamani kulia kwaajili ya Nchi yake. Trump kuna mahala anataka kujifanya yeye ni malaika katumwa kuja kuuongoza ulimwengu.
 
Tuliza presha, agiza mdudu choma na ndizi hapo mwili ukae sawa
Unestukiwa, umechemka......kamwe hautoweza sababu limeamriwa na Mungu. Fanya hilo tu unaloliweza, la kula huyo mdudu basi mengine huna uwezo nayo sababu hayahitaji kichwa chenye memory ya kb 50
 
Back
Top Bottom