Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbinu aliyotumia Trump siyo nzuri kabisa ingawa yeye analaumu kwamba Zelensky kuidharau Whitehouse.Anatafuta thamani/heshima ambayo hana, iko siku atakufa kwa Pressure akiendelea hivi. Huwezi kutokuwaheshimu watu, ukawa unatumia pesa kama fimbo ya kuwalainisha.
Kuna watu hawajali kuhusu pesa yako.
Angeonyesha hata heshima kwamba huyo naye ni rais, lakini anataka kumdogosha kijinga kabisa.
Kwanza kulikuwa na haja gani kuweka maongezi yao live, au ndio walikuwa wamejiandaa kumkaanga, akaruka kutoka kwenye kikaangio.
Inaweza kuwa Zelensky akushanga, ila dunia imeshangzwa. Not so much kuhusu kukubaliana au la.
Mshangao ni vile namna viongozi wa nchi kuongea kama ilivyotokea mbeke ya camera za dunia.
View: https://m.youtube.com/watch?v=au-IVW4M0Oo
View: https://m.youtube.com/watch?v=90mPmZ_VuGk
Tafuta media yeyote duniani ambayo mchambuzi mgeni ni senior civil servants, active or retired ambae ajashangazwa na kilichotokea. Thatās not diplomacy

Huoni ni bora kusitisha vita, maana kuendelea navyo ni hasara kwa Ukrain, maana ni vigumu kumshinda Putin hata Super power kaliona hilo.Yaani pale Marekani wamechaguliwa wahuni... Nadhani leo walikosa busara za "Rais wao" Elon Musk! Labda angekuwepo hali ingekuwa tofauti.
Kingine na hiki ni muhimu sana: Nimemkubali zaidi Zelensky! Amejua jinsi ya kukabiliana na Trump na kuonesha dhahiri malengo ya utawala wa Trump!
Hakujali yupo Oval Office live kwenye media!
Hakuwa muoga!
Hakuiuza nchi yake kwa vipande vya fedha!
Kafuata njia ile ile ya Emmanuel Macron!
Trump akizingua. Mzingue
Maraisi nao ni binadamu wana hisia za hasira vilevile.Inashangaza Sana, mjadala wa Marais utafikiri ni ugomvi wa walevi katika Klabu ya pombe za kienyeji!!!?
Maraisi nao ni binadamu wana hisia za hasira vilevile.
Hakuna cha ajabu hapo.
Tatizo cheo cha "Uraisi" mmekipa utukufu sana.
Dk. Halafu anachanganya madesa kati ya uwekezaji na majadiliano ya kisheria na uhuni wa mabeberu dhidi ya Stupid President (Kwa sauti ya Trump akimwita Zelenskyy). Zelenskyy kapewa msaada wa kijeshi na fedha na babu Biden bila majadiliano wala mikataba. Trump kaingia kampa invoice ya dola bilioni 500!Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.
Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.
Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae⦠mtakula unga soon .
Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuniā¦. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?
Mwingine akahoji⦠viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USDā¦. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?
Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategyā¦hasa kwenye eneo la Afyaā¦...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.
The world is getting serious ā¦. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?
Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maanaā¦,,
Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazukeā¦..,kama hamlioni hiliā¦.. soon mtaliona .
Trump Strategy itakuwa adopted na wazunguā¦ā¦. Soon tutaimba wimbo mmoja.
Dr Megalodon,
Rue 52
Mikataba ya listeria aiseeee ā¦..Dk. Halafu anachanganya madesa kati ya uwekezaji na majadiliano ya kisheria na uhuni wa mabeberu dhidi ya Stupid President (Kwa sauti ya Trump akimwita Zelenskyy). Zelenskyy kapewa msaada wa kijeshi na fedha na babu Biden bila majadiliano wala mikataba. Trump kaingia kampa invoice ya dola bilioni 500!
Sasa hapo mikataba yetu ya kisheria na majadiliano inaingiaje? Tuheshimu nchi yetu na zetu za Afrika. Case ya Zelenskyy anaijua mwenyewe. Hata hao EU kila mtu anatafuta kitalu chake akachimbe madini. Mfaransa kafukuzwa Afrika anakimbilia Ukraine. Uingereza na Ujerumani uchumi wao hoi. Yote kwa yote Trump yuko sahihi, Zelenskyy alitaka kuitumbukiza dunia ktk vita ya tatu.
Hapa ni kwel kwa kiac chakeTrump na samia amenifundisha unaweza ukawa mtu mwenye upeo mdogo sana alafu ukafanikiwa sana au ukashika nafasi kubwa
Nimeamini kwenye maisha sio lazima uwe smart ili ufanikiwe unaweza ukawa deluded kama trump na bado ukafika level za juu sana
ID fake isikupe kiburi , usibeti life yako kipuuzi mkuu #JichungeKuna kahaba ana amini ana wajomba Omani watakao mjengea nchi na kumpatia maji ya zamzam šššš
Nilitafuta comment hii nilijua haitakosekanaTrump ni kama anavuta bangi
Marekani imekuwa kama Choo.Chaos at best
Dah Trump ni tatizo kweli-kweli
Watu waliowahi kushika nafasi za āaxis of adultsā huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.
Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.
By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na āwatered downā version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.
How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification itās chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.
It is bad ndani ya āWhite Houseā very bad
Hakuna anaeuza Mali zake Wala Bandari zake na pia hakuna Mwafrika anaetegemea mzungu acha kuwa mjinga.Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.
Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.
Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae⦠mtakula unga soon .
Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuniā¦. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?
Mwingine akahoji⦠viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USDā¦. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?
Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategyā¦hasa kwenye eneo la Afyaā¦...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.
The world is getting serious ā¦. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?
Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maanaā¦,,
Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazukeā¦..,kama hamlioni hiliā¦.. soon mtaliona .
Trump Strategy itakuwa adopted na wazunguā¦ā¦. Soon tutaimba wimbo mmoja.
Dr Megalodon,
Rue 52