Lakini haikuwa vita. Ulikuwa mgogoroVita vya ukraine vimeanza mwaka 2014 baada ya Rais wa ukraine victor kukimbizwa na waandamanaji wa ukraine na akakimbia russia ndo mwanzo wa mgogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini haikuwa vita. Ulikuwa mgogoroVita vya ukraine vimeanza mwaka 2014 baada ya Rais wa ukraine victor kukimbizwa na waandamanaji wa ukraine na akakimbia russia ndo mwanzo wa mgogoro
Kwa hayo, leo, nakuunga mkono.Yaani ni kama hakuna ‘axis of adults’ White House.
Raisi wa marekani na makamu wake kila diplomatic meeting yao kabla ya leaders kukutana wataalamu wanakuwa washafanya mazungumzo na upande wa pili.
By the time viongozi wanakutana hata kama nchi ziko far apart kwenye agenda husika, diplomatic language inatumika.
Hiyo ni ishara kuna chaos kubwa White House, hasa upande wa wataalamu wanaotakiwa kum-control.
That’s a national security disaster, raisi na makamu wake walivyo behave mbele ya world media.
Ilikuwa ni USA ya Dems na sio RepublicWe ni mjinga marekani ndo aliyemuingiza mkenge kwa kumshawishi ajiunge NATO ilihali ni kinyume na minisk agreement
Marekani ni mhusika mkubwa sana wa kuharibu aman ya ukraine
Ili ujikumbusheVita vya ukraine vimeanza mwaka 2014 baada ya Rais wa ukraine victor kukimbizwa na waandamanaji wa ukraine na akakimbia russia ndo mwanzo wa mgogoro
Sindio 🤣🤣😂😂😂 Na kimsingi kwenye vita ya Ukraine,... USA amemsapoti Zelenksi kwa asilimia Kubwa... Na Kuna wakati aliendaga mwenyewe kwenye bunge la seneti kuomba sapoti ya USA ili aendelee kupambana na Putin.... Ndo maana Jana walikuwa wanamuinjoi kwenye interview... 😂😂
Kwa
Hahahahaha, mi nashangaa pale tunapoiona USA kama nchi zingine, HAPANA! USA ni dude jingine kabisa, NATO is nothing bila USA, na huenda viongozi wengine wa dunia hii ni CIA products.
Trump kaonyesha upuuzi kutafuta sifa. Hajui huyoo ni raisi wa nchi.
Wameonyesha ushamba wa hali ya juuChaos at best
Dah Trump ni tatizo kweli-kweli
Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.
Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.
By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.
How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.
It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Lakini hata kule kuyaeweka haya mazungumzo live ni strategy ya Trump aonekane mwamba na kumdhalilisha Zelensky. Trump anajua kulumbana katika masuala ya pesa, hana diplomacy kabisa. Analazimisha Zelensky asaini mkataba kwa vitisho. Matokeo yake Ulaya imeungaba na ipo nyuma yake.
Trump kaonyesha upuuzi kutafuta sifa. Hajui huyoo ni raisi wa nchi.
Walikanusha ya Bagamoyo, yamewashinda wamerudi kukiri kwamba ni kweli.
Ili ujikumbushe
President Volodymyr Zelensky’s visit to Ankara on 18 February provided Turkey with an opportunity to present its stance on negotiations between the United States and the Russian Federation. During a press conference, Turkish President Recep Tayyip Erdoğan stated that the initiative of the Donald Trump administration, aimed at swiftly ending the war through negotiations, aligns with the diplomatic efforts that Ankara has pursued
"since the onset of the Russian invasion".
Zelensky ni mtu mweupe na watu weupe sio wajinga kama waafrikaSindio 🤣🤣
Yeye alidhani msaada anapewa bure hakunaga hilo katika siasa , ule msaada it was a big trap , mwisho wa siku hata kina biden lazima wange muambia awape rasilimali za Ukraine sema tofauti ya biden na Trump ameweka mambo hadharani wakati mambo kama hayo huwa ni siri, so ni lazima zelensky atie ngumu maana anaogopa kuonekana kuwa anaiuza nchi yake ila kama wangefanya kimya kimya pasingekuwa na huo utata ,
Chaos at best
Dah Trump ni tatizo kweli-kweli
Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.
Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.
By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.
How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.
It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Trump Gaza sio Nchi ya Wapalestina?Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.
You don't have a Card? If you're with us you have a Card and if you're not with us you don't have a Card. You want World War 3? You don't have a Card.NATO na Ukraine na hata Marekani kuingia kwenye vita na Urusi ni jambo la kijinga na la kipuuzi na la kishenzi kwa sababu ni vita itakayoangusha kabisa uchumi wa dunia nzima .
Marekani kuwa Raisi au Makamu kwa sasa uwe WWW John Cina,au Undertaker.Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.
Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.
Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.
Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.