Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Hakuna mtu au nchi inataka kuchukua Ardhi ya nchi nyingine humu duniani zaidi ya Russia, NATO na USA wao wanataka kila mtu abaki kwake, hata hiyo vita ni Putin analazimisha bila sababu yoyote ya msingi. Karne hii utahodhi ardhi ya mtu kwa muda tu.

Hata huko Russia Putin akiondoka usishangae watakao mfuata wakarudisha kila kitu kilivyokuwa awali.

Nani hataki kuishi kwa amani dunia hii zaidi ya Putin?
Kumbe nina ongea na mtu ambaye haifahamu vyema historia ya dunia na siasa zake ?? Kama hakuna nchi inayo taka kuchukua ardhi ya nchi nyingine kwanini Nato walivunja mkataba wa minsk ulioweka makubaliano baina ya nato na russia kwamba Nato haito jitanua zaidi kwa kuisogelea russia ili kuondoa tishio la amani kwa taifa la russia na kwanini trump anataka kuichukua palestine na canada ??
 
Wale walipanga kumdhalilisha tu na kumuonyesha kwamba you'r nothing to us , Mbona hawafanyi hivyo kwa wengine ila niwe mkweli binafsi nimependa ile ni big threat kwa maraisi wengine wasenge wasenge wakae wafahamu kama zele na Ukraine yake ambao walikuwa ni sawa na mtoto ambaye ni last born for usa na kila alichokuwa anakitaka anapewa mwisho wa siku amekua treated like that basi na wao sio lolote sio chochote lita wakuta jambo

View: https://m.youtube.com/watch?v=yWbK5gfNYd4

Ni mpango wa kumi attack ata huyu former national security advisor anakubali; ‘Susan Rice’ anakubali. Lakini kwa faida ya nani.

Apparently kwenye press kama hizo za viongozi wa nchi nyingine White House protocol hakuna anaeruhusiwa kuongea zaidi ya US president.

Kwa hivyo hadi vice president kuongea kulikuwa na makubaliano ya awali na Trump wafanye waliyofanya, inadaiwa mwisho Trump alisikika akisema this will make good television.

Kuona extent ya diplomatic debacle ya kilichotokea inahitaji uelewa pia wa namna ofisi za maraisi wa nchi zilizoendelea na roles za civil servants. Kuna mwingine nimemsikia kwenye interview nyingine Trump kawadhalilisha sana proffesional wa white house mbele ya dunia waonekane kama vile hawajui majukumu yao.

Shambles
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Wenzetu wajasiri sana.wanaambiana live bila chenga.Ingekuwa wa kwetu Hawa wangekuwa wanapongezana na kuzungukazinguka kukwepa kuambiana ukweli.Mfano tumejionea ule mkutano wa wakuu pale Dar es salaam (heads of states summit)ambapo rais wa Rwanda humtuhumu kusababisha vita congo lakini kwenye kikao Chao walikuwa wanampongeza tu kagame.
 
Mkuu utasemaje kuhusu Rwanda, huko Congo!
Rwanda anatamani angekuwa na ardhi kubwa lakini kutwaa ardhi ya Kongo karne hii hatoweza, iko siku atakutana na wakongo walio changanyikiwa watapigana hata kwa fimbo kurudisha ardhi yao.

Sasa hivi unaona kama wajinga, iko siku utaelewa, ngoja pachangamke.

Unaona Sudan kunavyo changamka, walidhani kuigawa nchi walimaliza tatizo kumbe walipoza tu, Iko siku hapatakalika pale.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=yWbK5gfNYd4

Ni mpango wa kumi attack ata huyu former national security advisor anakubali; ‘Susan Rice’ anakubali. Lakini kwa faida ya nani.

Apparently kwenye press kama hizo za viongozi wa nchi nyingine White House protocol hakuna anaeruhusiwa kuongea zaidi ya US president.

Kwa hivyo hadi vice president kuongea kulikuwa na makubaliano ya awali na Trump wafanye waliyofanya, inadaiwa mwisho Trump alisikika akisema this will make good television.

Kuona extent ya diplomatic debacle ya kilichotokea inahitaji uelewa pia wa namna ofisi za maraisi wa nchi zilizoendelea na roles za civil servants. Kuna mwingine nimemsikia kwenye interview nyingine Trump kawadhalilisha sana proffesional wa white house mbele ya dunia waonekane kama vile hawajui majukumu yao.

Shambles

Do you think Trump na vence hawajui wanacho kifanya ?? Yaani hapo zele atake asitake ni lazima tu atatema bungo maana usa ni lazima pesa zao zirudi hakunaga msaada wa bure ktk siasa hayo mengine mnalishwaga propaganda tu
 
Hiyo ndio style yake mkuu! Anza kwa kuangalia kampeni zake! Alifanya peke yake! Kila kitu kafanya kwa style yake! Ni nani Rais wa Marekani baada ya kuingia madarakani akaanza kuifanyia serikali auditing! Unajua numbey ya wafanyakazi serikali anawaondoa! Hatuwezi kusema sasa hivi itakuwa na madhara kwa Marekani au dunia! Tusubiri tu!
Ndio shida inapokuja hapo Elon Musk anaelewa vipi extent ya security plans za US.

Unajuaje labda US intelligence wanatumia USAID kama njia ya cover up kwa spies wao.
 
Kumbe nina ongea na mtu ambaye haifahamu vyema historia ya dunia na siasa zake ?? Kama hakuna nchi inayo taka kuchukua ardhi ya nchi nyingine kwanini Nato walivunja mkataba wa minsk ulioweka makubaliano baina ya nato na russia kwamba Nato haito jitanua zaidi kwa kuisogelea russia ili kuondoa tishio la amani kwa taifa la russia na kwanini trump anataka kuichukua palestine na canada ??
NATO haikutaka kujiongeza, Ukraine alitaka kujiunga ili kupata Ulinzi.

Trump anapiga Kelele tu, Palestina ataichuka vipi, aipeleke wapi?
 
Do you think Trump na vence hawajui wanacho kifanya ?? Yaani hapo zele atake asitake ni lazima tu atatema bungo maana usa ni lazima pesa zao zirudi hakunaga msaada wa bure ktk siasa hayo mengine mnalishwaga propaganda tu
As NATO ni gani EU na US wana share security information? Na je hizo info hazina faida kwenye national security za US?

Mambo sio rahisi hivyo kama unavyoongea
 
NATO haikutaka kujiongeza, Ukraine alitaka kujiunga ili kupata Ulinzi.

Trump anapiga Kelele tu, Palestina ataichuka vipi, aipeleke wapi?
Hivi umeelewa nilicho kuuliza ?? Kwanini walimvunja mkataba ? Kitendo cha kuvunja mkataba walio kubaliana ilhali wanajua kitakuwa ni threat kwa russia hawakujua kuwa lazima kitaleta vita ?? Tena sio vita ya dunia maana russia ni nyuklia power country., kwanini hawa kuheshimu huo mkataba ,


Kitu ambacho haikujui ni kwamba west wanatamani rasilimali za russia miaka nenda rudi kabla hata ya karne 21 so wana fanya kila namna ili russia iwe dhaifu wapate kuivamia na kuchukua walichonacho west baada ya kushindwa kupenya russia na kuchukua rasimali zao ndio wakaigeukia africa

Muwage mnasoma historia

Halafu umesema trump anaongea tu like seriously??! Hivi unajua kwa nafasi aliyonayo kauli yake ktk medani za kisiasa za kimataifa ina nguvu kiasi gani ? Je hauoni kuwa kauli yake inazidi kuchochea uvunjifu wa amani na kuwafanya wapelestina wazidi kuonekana kuwa ni wavamizi ktk ardhi waliyoishi miaka na miaka??
 
Mkuu wachezee mara ngapi tena?
Kila kitu kilishauzwa!
 
As NATO ni gani EU na US wana share security information? Na je hizo info hazina faida kwenye national security za US?

Mambo sio rahisi hivyo kama unavyoongea
Why wasi shee security info pindi linapokuja suala la umoja wao as Nato ???
 
Hivi umeelewa nilicho kuuliza ?? Kwanini walimvunja mkataba ? Kitendo cha kuvunja mkataba walio kubaliana ilhali wanajua kitakuwa ni threat kwa russia hawakujua kuwa lazima kitaleta vita ?? Tena sio vita ya dunia maana russia ni nyuklia power country., kwanini hawa kuheshimu huo mkataba ,


Kitu ambacho haikujui ni kwamba west wanatamani rasilimali za russia miaka nenda rudi kabla hata ya karne 21 so wana fanya kila namna ili russia iwe dhaifu wapate kuivamia na kuchukua walichonacho west baada ya kushindwa kupenya russia na kuchukua rasimali zao ndio wakaigeukia africa

Muwage mnasoma historia

Halafu umesema trump anaongea tu like seriously??! Hivi unajua kwa nafasi aliyonayo kauli yake ktk medani za kisiasa za kimataifa ina nguvu kiasi gani ? Je hauoni kuwa kauli yake inazidi kuchochea uvunjifu wa amani na kuwafanya wapelestina wazidi kuonekana kuwa ni wavamizi ktk ardhi waliyoishi miaka na miaka??
Kwa hiyo ilikuwa sahihi Russia kuivamia Ukraine? Mbona Finland walijiunga NATO hakuwapiga au Finaland ni mbali sana na Russia?

Huyo Trump ana bwabwaja ahana lolote anaweza kufanya. Palestina itakaa kama ilivyo.
 
Msimamo wako nawangu ni sawa kabisa, kwasababu naamini hata USA naye huwa hawezi kupigana vita vyake mwenyewe naye lazima huwa anaomba msaada, licha ya Technologia aliyonayo lakini anaomba manpower na kutumia ardhi za wenzake kwa tactical issues.

Ana military base kila kona, wavunje ndoa naye tuone naye atasimama vipi peke yake.

Wangeachana na US hata kwa Term mmoja waone nini kitawatokea, unajua kunavitu vingine huwa tunaogopa kwa kutishwa tu.

Unaweza kuta wana mmudu Putin peke yao bila USA, na sijui kwanini wanaogopa kiasi hicho.

Kwasababu kama ni nuclear hata Putin mwenyewe anaiogopa, licha ya kutishia wenzake lakini naye inaweza kumlipukia mwenyewe humo humo ndani.

Mi nahisi hajapata mwehu mwenzake, ambaye atasema sasa inatosha nenda zako nasi tubaki kivyetu.
💯%.
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
We hukuona katoto ka Elon musk kalivyokuwa kanajimwayamwaya mle ndani...yaan mambo ni ya ajabuajabu tu
 
Trump ni Kiongozi wa US ambaye Hana heshima kabisa. Mjadala ule Kati ya Trump na Zelensky ulipaswa ufanyike Behind the Camera. Ameinajisi ikulu ya White House kwa kuvunja miiko na Itifaki zote kabisa za namna ya kuendesha Ikulu.
Mkutano huo ni kama ulilenga mahsusi katika kumdhalilisha Rais Zelensky.

Hii itachagiza sana kuongeza fukuto la upunzani Ndani ya Marekani katika kuupinga Utawala wa Trump
Acha ujinga


Acheni kujikita kwenye hizo dakika 5 za mwisho


Mimi mwenyewe nilianza kumuona Trump sio ila baada ya kuifuatilia video ya dakika 40 ya Hicho kikao nimebadirisha mtazamo wangu.


Tangu mwanzo lengo la trump ilikuwa kumaliza vita na amani upatikane naomba utazame video chini nakuwekea. Sasa wewe kama Trump ungefanyaje. Mtu anashindwa kukuheshim Tena ikulu kwako.




View: https://x.com/CollinRugg/status/1895590525454983416?t=TFOBXunNR5vVa-eV-T4RTA&s=19
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Hakuna cha ubaya wa aina yoyote huo ni ujumbe kwa viongozi wengi wapimbavu,,elewa uzi wa mwandishi
 
Why wasi shee security info pindi linapokuja suala la umoja wao as Nato ???

View: https://m.youtube.com/watch?v=pBhR99pdHps&pp=ygUZTWFyYyBSdWJpbyBzaG91bGQgcmVzaWduIA%3D%3D

Foreign Secretary na wasaidizi wake wengine wanasema A raisi anasema B. Mpaka wengine wanataka Marc Rubio astaafu inaonekana yeye na raisi hawapo page moja na wanapokea ushauri tofauti.

Hao National Securities advisors mmoja Republican, mwingine Liberal wanakwambia siasa za Trump ni harmful kwa allies wao na threat to national security kwenye ushirikiano.

We unataka kutoa vitu kichwani kwako, sampuli hii ya ubishi wa kitoto ndio binafsi inaniboa.

Soma kitabu vitabu kama ‘Putin’s People, How the KGB took back Russia and then took on the west’ by Catherine Belton

The Room where it happened by John Bolton

To name a few (chochote cha former senior civil servant) vinginevyo hapa tutakuwa tunaulizana maswali ambayo majibu yake yanataka maelezo marefu.

Kwetu muda wa kula daku na kulała 👋
 
Yaani pale Marekani wamechaguliwa wahuni... Nadhani leo walikosa busara za "Rais wao" Elon Musk! Labda angekuwepo hali ingekuwa tofauti.

Kingine na hiki ni muhimu sana: Nimemkubali zaidi Zelensky! Amejua jinsi ya kukabiliana na Trump na kuonesha dhahiri malengo ya utawala wa Trump!
Hakujali yupo Oval Office live kwenye media!
Hakuwa muoga!
Hakuiuza nchi yake kwa vipande vya fedha!

Kafuata njia ile ile ya Emmanuel Macron!
Trump akizingua. Mzingue
Trump and his team had set up to humiliate Zelensky in order to force him to sign the mineral deal! Fortunately, Zelensky didn’t swallow the bait and came out strongly to defend the interests of his country. Many Americans believe Trump is Putin’s asset !!
 
Back
Top Bottom