Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Watu mnamtetea Zelensky mnahoji mazungumzo tuliyoyaona pale mbelw au mnazungumzia issues nyingine??
Trump alibadirika baada ya Zelensky kutaka kuleta mada za Putin, jinsi alivyodictator, alitaka kumlisha maneno Trump.Trump kajibu mapigo kuwa hawako hapo kumjadili Putin whether na mbaya au mzuri - yeye anataka amani vita viishe - na hayuko aligned na mtu yoyote - yuko America first.
Zelensky hajaongea chochote kuhusu hayo madini mnayosema, kuhusu huo mkataba, hayasema anapendekeza nini na wao US wanataka nini, sasa huo ushujaa mnaompa ni upi??
Tofautisheni ubishi na ushujaa..The world is not fair, inahitajika hekima zaidi - hisia haziwezi saidia.
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Na hawa waulaya wanaotusaidia soon watapa wivu kuona wao wanafirisika kwa sababu ya vita ya Ukraine ila USA anapata dili na kuneemeka, Russia anaondokewa vikwazo na USA na kuneemeka zaidi hivyo wataacha kutoa msaada na huenda EU kusambaratika hapo ndipo sisi rangi nyeusi titajua hatujuwahi kamikaka kuwa mtu halisi!
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
It is disrespectful kwa wamarekani as well . Kama watu watajitegemea wenyewe…. Huu upuuzi usingetokea. I don’t think Kama Trump anaweza kuongeq na Putin vile . Symposiums wana predict assassination ya Trump lol !

Vita ya Ukraine hata USA Ana benefit na ni provoker…… inanikumbusha snaa ya JFK na ishu ya Vietnam
 
Na hawa waulaya wanaotusaidia soon watapa wivu kuona wao wanafirisika kwa sababu ya vita ya Ukraine ila USA anapata dili na kuneemeka, Russia anaondokewa vikwazo na USA na kuneemeka zaidi hivyo wataacha kutoa msaada na huenda EU kusambaratika hapo ndipo sisi rangi nyeusi titajua hatujuwahi kamikaka kuwa mtu halisi!
Moja ya hoja ni hata Ulqyq kuna watu masikini badala yake …. Bajeti kubwa inakuwa alocated Africa na Tanzania, mbaya zaidi ngozi nyeusi inakula na kuiba hizo hela . Wananchi wa Ulaya hawapendi haya mambo kuona taifa lao linasaidia watu wasio kuwa na akili na wezi
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
5R
 
Nadhani huko Ukraine licha ya hali ngumu lakini wamekubaliana na Dunia kwamba Rais wao hakuwadhalilisha.
Hii imebaki kuwa heshima kubwa sana. Na Yule Supa pawa imeonekana kume anawezekana vizuri tu.
 
Kwa
Trump ni Kiongozi wa US ambaye Hana heshima kabisa. Mjadala ule Kati ya Trump na Zelensky ulipaswa ufanyike Behind the Camera. Ameinajisi ikulu ya White House kwa kuvunja miiko na Itifaki zote kabisa za namna ya kuendesha Ikulu.
Mkutano huo ni kama ulilenga mahsusi katika kumdhalilisha Rais Zelensky.

Hii itachagiza sana kuongeza fukuto la upunzani Ndani ya Marekani katika kuupinga Utawala wa Trum

Watakwenda wengi tu Mkuu, Kwani unadhani wanakwenda kwa kutaka? Nguvu ya pesa, angalia South Africa, Ramaphosa, kwangu sikutegemea! Anataka kwenda Marekani kuweka mambo sawa na Trump.. Rejea tu, Trump kaiua USAID Imeyumbisha nchi nyingi sana....! Unadhani Zelensky alitaka? shida mkuu, hata NATO ni pesa ya Marekani, itabidi wajipange sasa hivi kumsaidia Zelensky.

Hahahahaha, mi nashangaa pale tunapoiona USA kama nchi zingine, HAPANA! USA ni dude jingine kabisa, NATO is nothing bila USA, na huenda viongozi wengine wa dunia hii ni CIA products.
 
Kwa



Hahahahaha, mi nashangaa pale tunapoiona USA kama nchi zingine, HAPANA! USA ni dude jingine kabisa, NATO is nothing bila USA, na huenda viongozi wengine wa dunia hii ni CIA products.
Hata hao Akina Macron sijui Zolensky na kina Putin wote ni USA strategy kubalance dunia.
Tunapigwa
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Ni wakati wa kuambiana ukweli sasa na si wakutumia cheap politics ili kuwafurahisha watazamaji! Yani ni muda wa kupimwa unawezaje kujenga hoja na kuzitetea.... Tujiandae Watanzania.
 
Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.

Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.

Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.

Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.
Labda walijaribu kuonyesha Namna USA ya Biden ilivyotumia resources huko Ukraine isivyokuwa ikiwapendeza... Wakaamua kutapika nyongo mbele ya media...
 
Trump derangement syndrome!

Kubishana wabishane wote, akiwemo Zelenskyy, lakini lawama anapewa Trump peke yake kana kwamba alikuwa anabishana peke yake.

Funzo: ukiwa ombaomba hayo ndo madhara yake.

Unafunga safari toka Ukraine kwenda Washington DC kuomba wakupige tafu halafu unaleta ujeuri.

What do you expect?

Jengeni nchi zenu na muache kuwa ombaomba.

Mimi nitakufa na shida zangu kabla sijauweka rehani utu wangu kwa kuwa ombaomba.

Potelea mbali. Kufa na heshima yangu ni bora maradufu kuliko uhai wa kudhalilishwa.
We ni mjinga marekani ndo aliyemuingiza mkenge kwa kumshawishi ajiunge NATO ilihali ni kinyume na minisk agreement

Marekani ni mhusika mkubwa sana wa kuharibu aman ya ukraine
 
Yaani pale Marekani wamechaguliwa wahuni... Nadhani leo walikosa busara za "Rais wao" Elon Musk! Labda angekuwepo hali ingekuwa tofauti.

Kingine na hiki ni muhimu sana: Nimemkubali zaidi Zelensky! Amejua jinsi ya kukabiliana na Trump na kuonesha dhahiri malengo ya utawala wa Trump!
Hakujali yupo Oval Office live kwenye media!
Hakuwa muoga!
Hakuiuza nchi yake kwa vipande vya fedha!

Kafuata njia ile ile ya Emmanuel Macron!
Trump akizingua. Mzingue
Lakini hata kule kuyaeweka haya mazungumzo live ni strategy ya Trump aonekane mwamba na kumdhalilisha Zelensky. Trump anajua kulumbana katika masuala ya pesa, hana diplomacy kabisa. Analazimisha Zelensky asaini mkataba kwa vitisho. Matokeo yake Ulaya imeungaba na ipo nyuma yake.
 
Anatafuta thamani/heshima ambayo hana, iko siku atakufa kwa Pressure akiendelea hivi. Huwezi kutokuwaheshimu watu, ukawa unatumia pesa kama fimbo ya kuwalainisha.

Kuna watu hawajali kuhusu pesa yako.

Angeonyesha hata heshima kwamba huyo naye ni rais, lakini anataka kumdogosha kijinga kabisa.

Kwanza kulikuwa na haja gani kuweka maongezi yao live, au ndio walikuwa wamejiandaa kumkaanga, akaruka kutoka kwenye kikaang

Hakuna cha fukuto la upinzani tulia wewe dawa iwaingie 🤣🤣🤣

Trump oyeeee
😂😂😂 Na kimsingi kwenye vita ya Ukraine,... USA amemsapoti Zelenksi kwa asilimia Kubwa... Na Kuna wakati aliendaga mwenyewe kwenye bunge la seneti kuomba sapoti ya USA ili aendelee kupambana na Putin.... Ndo maana Jana walikuwa wanamuinjoi kwenye interview... 😂😂
 
Kosa la Kwanza ni kuingia hiyo vita Kwa sababu Biden na PM WA UK walitaka kulitumia Ukraine kuidhofisha urusi.sasa mambo yamebadilika katika uwanja wa vita na wawekezaji
Vita vya ukraine vimeanza mwaka 2014 baada ya Rais wa ukraine victor kukimbizwa na waandamanaji wa ukraine na akakimbia russia ndo mwanzo wa mgogoro
 
Walikanusha ya Bagamoyo, yamewashinda wamerudi kukiri kwamba ni kweli.
Hawana akili, wazungu wasimamishe misaada hawa watu wajitegemee…. They are too lazy and thieves
 
Hoja Yako ilikuwa nzuri, lkn ulipoingiza udini na chuki zako kwa jamii flani wewe na wenzako mlioamua kuichukia basi umeonekana mshamba na lofa tu usiyejua lolote. Hao mabwana zenu mnaowasujudia na mlio tayari kuwapa Bure sehemu zozote za miili yenu wanawakimbilia Kila leo hao mnawachukia kwa ajili ya kufanya biashara. Ni ,ngese mno mtu wa Karne hii asiyejua kuwa sayansi inaenda kule fedha iliko.....asiyejua kuwa Hela ni sayansi!

Kalagha bao, endeleeni kukaa na michuki yenu hiyo lkn kamwe hamtokuja kuona hata siku Moja mkiwapita hao mnawachukia kwa njia hiyo ya wivu, fitna na majungu.
, una akili ? Ainisha sehemu yenye udini
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Hizi hoja na hitimisho ya jumla jumla hayatoweza kuondoa tatizo la wananchi wa tz.

Kwanza tuelewe tatizo la nchi si chama. Bali tatizo ni watendaji waandamizi na watumishi ktk kada zetu.

Na chanzo cha tatizo hilo wa watendaji wa serikali ni ubaguzi. Kumekuwa na tabala moja ya watendaji tokea uhuru.

Kuondoa tatizo hilo kuna haja kwa watz kuunganisha fikra na kupiga vila mfumo wa serikali kuu. Na tuiunge mkono chama kitachopigania kurejesha madaraka Katani kwa kuunda utawa wa serikali za kata zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Na mamlaka ya juu kabisa iwe kanda. Kwa maana kama kanda ina mradi wa kimkakati kama makala ya mawe. Pesa ya pato hilo niishie kwenye kanda. Bali nafasi za uwakilishi wa kitaisha unawapwa kuishi kazi kuwa watayobaki nayo ni kusimami mfumo huu umpa unaratibiwa ktl kila kanda kwa ufanisi.

Maana ya serikali ya KATA zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo Yao wenye ina maana pato na ushuru kodi zote linalokusanywa na tza makao makuu sasa zikusanywe na vingi wa kata ktk mfumo huu. Na matumizi yake wafanywe na viongozi na kata.


Nimechunguza na kubaini idadi ya mzunguko wa biashara unaofanya watosha kuwapikia watoto chakula mashuleni.wagonjwa mahospitalini. Kuwalipa mishahara madakta na wabaguzi


Fikiria kata yako yenye wakazi 5000. Iwapo kila bidhaa vinavyouzwa inakatwa 18%

Na nusu ya wakazi wawe ananunua bidhaa walau kwa 2,000 kwa siku. Hii ina maana kwa mwezi huku kukusanya sh 30mil.

Tutashindwaji kuleta ustawi kama nchi na kwa wananchi

Uzuri ni kwamba aina hii ya mfumo wa utawala unaotoa uhuru zaidi kwa kanda tuna mfano wa serikali ya znz.

1. Ukubwa wa unaoitwa mkoa kule znz ni sawa na eneo la mtaa huku Danganyika. Lkn kubwa zaidi rais wa nchi anakuwa hana mamlaka ya kuuza rasilimali za eneo lolote la nchi. Kama ilivyo kwasasa kwa rais wa JMT kutoweza kuuza rasilimilali yyt ya znz.

Na kwamba hizi kelele za wanaCHADEMA ambao hata hawajui wanachopigania kinapingana na katiba yao zitakwisha. Kwa hawa watu kutoka miji ya wakulima na wafugaji hawatokuwa na haki ya kupigania bandari ambao wengine hata hawajawahi kuiona badala yake wanapaswa kupigania pamba zao, mipunga yao, madini yao, maparachichi yao na kwamba rasimiliami za kila kanda zinapaswa kupiganiwa na tabaka la walio wengi ktk kanda husika
 
Hizi hoja na hitimisho ya jumla jumla hayatoweza kuondoa tatizo la wananchi wa tz.

Kwanza tuelewe tatizo la nchi si chama. Bali tatizo ni watendaji waandamizi na watumishi ktk kada zetu.

Na chanzo cha tatizo hilo wa watendaji wa serikali ni ubaguzi. Kumekuwa na tabala moja ya watendaji tokea uhuru.

Kuondoa tatizo hilo kuna haja kwa watz kuunganisha fikra na kupiga vila mfumo wa serikali kuu. Na tuiunge mkono chama kitachopigania kurejesha madaraka Katani kwa kuunda utawa wa serikali za kata zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo yake wenyewe. Na mamlaka ya juu kabisa iwe kanda. Kwa maana kama kanda ina mradi wa kimkakati kama makala ya mawe. Pesa ya pato hilo niishie kwenye kanda. Bali nafasi za uwakilishi wa kitaisha unawapwa kuishi kazi kuwa watayobaki nayo ni kusimami mfumo huu umpa unaratibiwa ktl kila kanda kwa ufanisi.

Maana ya serikali ya KATA zenye uhuru zaidi wa kujiamulia mambo Yao wenye ina maana pato na ushuru kodi zote linalokusanywa na tza makao makuu sasa zikusanywe na vingi wa kata ktk mfumo huu. Na matumizi yake wafanywe na viongozi na kata.


Nimechunguza na kubaini idadi ya mzunguko wa biashara unaofanya watosha kuwapikia watoto chakula mashuleni.wagonjwa mahospitalini. Kuwalipa mishahara madakta na wabaguzi


Fikiria kata yako yenye wakazi 5000. Iwapo kila bidhaa vinavyouzwa inakatwa 18%

Na nusu ya wakazi wawe ananunua bidhaa walau kwa 2,000 kwa siku. Hii ina maana kwa mwezi huku kukusanya sh 30mil.

Tutashindwaji kuleta ustawi kama nchi na kwa wananchi

Uzuri ni kwamba aina hii ya mfumo wa utawala unaotoa uhuru zaidi kwa kanda tuna mfano wa serikali ya znz.

1. Ukubwa wa unaoitwa mkoa kule znz ni sawa na eneo la mtaa huku Danganyika. Lkn kubwa zaidi rais wa nchi anakuwa hana mamlaka ya kuuza rasilimali za eneo lolote la nchi. Kama ilivyo kwasasa kwa rais wa JMT kutoweza kuuza rasilimilali yyt ya znz.

Na kwamba hizi kelele za wanaCHADEMA ambao hata hawajui wanachopigania kinapingana na katiba yao zitakwisha. Kwa hawa watu kutoka miji ya wakulima na wafugaji hawatokuwa na haki ya kupigania bandari ambao wengine hata hawajawahi kuiona badala yake wanapaswa kupigania pamba zao, mipunga yao, madini yao, maparachichi yao na kwamba rasimiliami za kila kanda zinapaswa kupiganiwa na tabaka la walio wengi ktk kanda husika
Unawalaumu chadema alafu maksudi hutaki kuwalaumu ccm ambao tokea uhuru wao ndo wanaoongoza hii nchi inawajinga wengi sana

Tatizo la nchi hii ni ccm upende au usipende chadema hawajawahi kuongoza serikali unawalaumuje serikali ilihali hujawapa nafasi

Hata hiyo sera ya majimbo ni ya chadema lakini kamwe ccm hawawezi ikubali kwa sababu ukikubali majimbo maana yake nafasi za ukuu wa mkoa na wilaya zinaota mbawa ccm hawawezi kubali hizo nafasi ziote mbawa sababu ndo ulaji wao
 
Back
Top Bottom