Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Mkuu Megalodon, umetoa ushauri mzuri sana ambao Viongozi wetu wakiusikia na kuufanyia kazi, bila shaka tutatoka hapa tulipo na kupiga hatua mbele kuyafikia maendeleo makubwa tunayoyatarajia!
 
You don't have a Card? If you're with us you have a Card and if you're not with us you don't have a Card. You want World War 3? You don't have a Card.

-Trump
USA can have all the cards in a battlefield and still lose the war.

War does not determine who is right-only who is left.
 
Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.
Ahaaaaaaaaaa! Trump? Unafikiri angependa nchi zisimamie resource zake? Si angempatia Zelensky ulinzi bila kuwalazimisha Ukraine wabadilishane ulinzi kwa madini? Embu fikiri vizuri hapa.
 
Mkuu Megalodon, umetoa ushauri mzuri sana ambao Viongozi wetu wakiusikia na kuufanyia kazi, bila shaka tutatoka hapa tulipo na kupiga hatua mbele kuyafikia maendeleo makubwa tunayoyatarajia!
Watanzania wanakatwa makodi. Rais na Familia yake wanapigwa na kiyoyozi ikulu then baadae wanasema tunashukuru Rais kwa kutujengea choo,utadhan hizo hela alipewa na wazaz wake awape watanzania wajenge choo.

Ni akili ndogo za viongozi wa tanzania. Pesa zote zinatoka kwa watanzania na kodi zinatoka kwa watanzania, Rais nae ni mtumishi kama wengine.

Shukran zote ziende kwa wqlipa kodi na sio Rais.
 
Mimi nawashangaa tu hao wa Ulaya. Kwa nini wasiachane tu na Trump na Marekani yake?

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.

Ingekuwa ni juu yangu ningeachana kabisa na Trump pamoja na US. Potelea mbali….hata kama nikiangamizwa kabisa na Putin.

Mimi Siwezi kudhalilika/ kudhalilishwa namna hiyo aisee.

Uomba omba ni mbaya sana.
Lakini unapaswa ukumbuke kwamba Wanajeshi Wapiganaji wengi sana kutoka nchi za Ulaya wamekufa Vitani katika kutetea Maslahi ya Marekani kwenye Vita ambazo nchi hiyo ya Marekani imepigana katika nchi za nje kama vile Afghanistan, Iraq, Libya, n.k, n.k.

Washirika wake hao walikuwa wanatoa msaada wao wa Wanajeshi Wapiganaji ili kwenda vitani kupigana bega kwa bega wakishirikiana na Wanajeshi wa Marekani.
 
Nafikiri wao wanachotaka ni utukufu, wanamuona Zelensky kama Mkuu wa Wilaya fulani hivi, wanasahau naye ni Rais wa taifa jingine ambalo wao haliwahusu, eti kwa kigezo cha msaada sasa walitaka awe mjinga a bend kwao.

Labda hawakujua kama Ukraine ni taifa, au ahawakujua kwamba yule naye ni Rais.

Halafu Makamu wa rais naye anatapika nyongo anamfokea rais wa taifa jingine, ule ni ujinga uliopitiliza.

Sijui hao watu wameokotwa wapi, na sijui waliowachagua wanajisikiaje wakiona waliyemchagua ana behave kitoto na kijinga hivyo.
acha mfokewe!mnaombaomba sanaa!lzm mfokewe!ndo maana #CHUMAJPM# huu ujinga alikua hautaki
 
Hey bro,
Kuwa na heshima kidogo kwa Mh. Rais huyu ni kiongozi wetu mkuu wa nchi ikiwa unamkubali ama la.
Suala la kukosoa ni haki yako lakini sio matusi.
Kwa hiyo hata mwenyezi mungu subahana watara akimwita mama yako kuwa ni kahaba utasema mwenyezi mungu kumtukana? Mwizi kuitwa mwizi ndiyo sifa yake ya kweli siyo tusi vivyo hivyo kwa kahaba mzinzi mchawi fisadi tapeli nk ...tumia akili achakutumia kijambio cha sa100 bushiri kufikili use your brain
 
Hey bro,
Kuwa na heshima kidogo kwa Mh. Rais huyu ni kiongozi wetu mkuu wa nchi ikiwa unamkubali ama la.
Suala la kukosoa ni haki yako lakini sio matusi.
Naomba kumtetea: hakuna alipotaja Rais; wewe ndio umemtqja Rais na umefanya Makosa kuhusisha ilo neno na Rais .

Umefanya negative suggestion , bad !
 
Naomba kumtetea: hakuna alipotaja Rais; wewe ndio umemtqja Rais na umefanya Makosa kuhusisha ilo neno na Rais .

Umefanya negative suggestion , bad !
Haya soma hiyo Comment yake hapo juu then rudi hapa na utetezi wako.
Yani mtu anafikia hatua ya kumtukana kiongozi mkuu wa nchi unaleta utetezi usio na mantiki.
Vijana punguzeni mihemko hivi watu kama nyie mkibinywa vijambio nani wakulaumiwa?
 
Hii ni USA.

Haya mambo ndio yanamtibua Trump .

USA wana issues zao pia to solve …… na hii pure Americans inawaudhi. Kwanini nchi inaweka bajeti za kusaidia Africa including Tanzania wakqti they have resources ….. kwanini wasi badili hizo resources into CASH na wajenge nchi zao. Wanapewa hela za misaada wanaiba na kuja kuzificha Ulqya na America huku nchi zao zikiwa kama dampo.

Wana negotiate resources zao kama bandari at the cheapest offer for as long as kuna 10% ya mtu mmoja au kikundi.

Nawahakikishia kuna mengi yanaendelea….. trump atakata
Misaada yote Africa . Ulaya na Global fund will pull the button ….. ndio next step .

Halaf kila mtu ajenge nchi yake . Machawa mkae mguu pande

Haiwezekani hulipi kodi ulaya , ila ukitenga bajeti yako unaweka portion ya kusaidiwa…. Na mkipewa hela mnaiba.

Samia alishawahi kukiri pesa za misaada zinaishia mikonon mwa wachache. Kama Rais analalamika….. pesa kuliwa na wahuni ambao tunaamini ni subordinate wake , then the country has no control na ni disrespectfull kuwaambia watanzania hela zinaishia kwa wahuni. Je ni nani wa kutatua hilo tatizo ? Kama hata Rais analalamika?

Trump amestuka, the next step ni Ulaya to pull off the button
 

Attachments

  • v15044gf0000cuvh1dvog65s5dlgmfog.mp4
    8.1 MB
Haya soma hiyo Comment yake hapo juu then rudi hapa na utetezi wako.
Yani mtu anafikia hatua ya kumtukana kiongozi mkuu wa nchi unaleta utetezi usio na mantiki.
Vijana punguzeni mihemko hivi watu kama nyie mkibinywa vijambio nani wakulaumiwa?
Kwanini unawaza kubinya….. do you think inasaidia. Simamieni nchi vyema. Hilter also had a vision of a new Germany

JPM also had a vision of a new Tanzania, aliumiza sana watu , aliua sana watu kama anavofanya Samia sasa…. Je …. Ili saidia, ilinyamazisha watu ? So watu lazima waongeee what they believe …. Stop being delusional na uache ujinga….

CCM has ruined the country for many years …. Na wamefikiq LIMIT na the next step ni wanauza mali za nchi huo ndio uwezo wao umeishia hapo.

Humtishia mtu yoyote na mambo ya kubinywa na angalia usije kubinywa wewe. Acha upumbavu, caint
 
Mimi samia nilishaacha kumsikiliza mda sana ukiniambia ni mara ya mwisho ni lini nimeshikiliza hotuba yake sikumbuki ni mtu amenifanya nione maisha ni jambo la ajabu sana na amenifanya hata nafasi ya urais nimeichukulia ya kawaida sana mimi mtu kuwa rais anawezi niogopesha kama ilivyokuwa kipindi cha nyuma
Tunafanana mtazamo kiufu urais nakiona kitu cha kawaida sana hata kingwendu na juma Lokole wanaweza kuongoza nchi ni kitu cha kawaida mno
 
Kwanini unawaza kubinya….. do you think inasaidia. Simamieni nchi vyema. Hilter also had a vision of a new Germany

JPM also had a vision of a new Tanzania, aliumiza sana watu , aliua sana watu kama anavofanya Samia sasa…. Je …. Ili saidia, ilinyamazisha watu ? So watu lazima waongeee what they believe …. Stop being delusional na uache ujinga….

CCM has ruined the country for many years …. Na wamefikiq LIMIT na the next step ni wanauza mali za nchi huo ndio uwezo wao umeishia hapo.

Humtishia mtu yoyote na mambo ya kubinywa na angalia usije kubinywa wewe. Acha upumbavu, caint
Hakuna kiongozi Duniani anavumilia Matusi na kejeli,
Kosoeni kwa staha huwa tunarudia kuwaelimisha kila leo.
Mungu alietuumba ameahidi ukienda kinyume na utaratibu utakutana na adhabu.
 
Lakini unapaswa ukumbuke kwamba Wanajeshi Wapiganaji wengi sana kutoka nchi za Ulaya wamekufa Vitani katika kutetea Maslahi ya Marekani kwenye Vita ambazo nchi hiyo ya Marekani imepigana katika nchi za nje kama vile Afghanistan, Iraq, Libya, n.k, n.k.

Washirika wake hao walikuwa wanatoa msaada wao wa Wanajeshi Wapiganaji ili kwenda vitani kupigana bega kwa bega wakishirikiana na Wanajeshi wa Marekani.
Kwa hiyo Marekani haijawahi kupoteza wanajeshi wake katika vita za Ulaya ambapo Marekani ilishiriki katika kukomboa Ulaya?

Marshall Plan ni nini?

Nani anaibeba NATO?

Marekani haiwajibiki kwa ulinzi wa kila nchi hapa duniani, achilia mbali bara la Ulaya.

Wamerekani waliopoteza maisha yao kuipigania Ulaya ni wengi sana kushinda Waulaya waliopoteza maisha yao kuisaidia Marekani kwenye vita.

After all, kwenye vita Marekani haihitaji msaada wa yeyote yule.
 
Back
Top Bottom