Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Viongozi wa Tanzania, endeleeni kucheza kamari na mali zenu, ya Zelensky hayapo mbali

Trump ni tatizo kweli-kweli

Zelensky ameonesha kufahamu utawala wa Trump unamaanisha nini, na alijitayarisha kwa ripoti alizopewa na vyombo vyake vya kidiplomasia na kijasusi nini konaweza kutokea ndiyo maana hakuonesha kushangaa kilichotokea na Zelensky na timu ya wasaidizi wao walisha otea na kujipanga


Swali kuu kwa nchi masikini za kiafrika ikiwemo Tanzania, je wamejitayarisha kwa sera ya MAGA America First kuwa hakuna misaada bila masharti mazito?

ZELENSKY. Kumbe kajeuri😄

Bado watawala wa CCM wakienda White House sijui kama watakuwa wameotea nini watakikuta, au itakuwa surprise kwa viongozi wa CCM na vyombi vyao vya Dola kama mabalozi na usalama wa Taifa kitego cha nje kuwa na taarifa kabla ili waweze kuwa na ubavu kama wa Zelensky kutoka na weledi wa mabalozi wake ktk ujasusi wa kidiplomasia na usalama wa taifa kitengo cha intelejensia ya nje ili wasikurupushwe White House..

JUKUMU LA USALAMA WA TAIFA KITENGO CHA UJASUSI WA NJE
Ujasusi Blog
www.ujasusi.com
Intelligence insights on series of leadership changes at Tanzania's ...
1740795654166.jpeg

13 Jul 2024 — The appointment of Selemani Mombo as the new TISS Director General could have significant impacts on Tanzania's security and intelligence

JUKUMU LA WIZARA YA MAMBO YA NJE :
Waziri wa Mambo ya Nje Mahmoud Kombo, wakurugenzi wizarani, mabalozi uwezo wa kukusanya taarifa za maoteo ili Tanzania isijikute inapata surprise kubwa kutoka kwa washirika wake


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZJJtJslaC_4
 
Mimi tokea mwanzo wa vita nilisema zelendky ni jasiri sana ila kama kawaida watu wengi pro putin wakanibeza

Ukweli ni kwamba Afrika tunahitaji viongozu kama zelensky ambaye ana guts za kumwambia mmarekani hili haliwezekani
Kosa la Kwanza ni kuingia hiyo vita Kwa sababu Biden na PM WA UK walitaka kulitumia Ukraine kuidhofisha urusi.sasa mambo yamebadilika katika uwanja wa vita na wawekezaji
 
Ni matatizo ya policy zao wote, NATO hawataki kwenda vitani na Russia. Hivyo wanamtegemea US ama amsaidie Ukraine kuzima moto, au asiuzime uenee kote East Europe kisha waingie vitani kama NATO kumdhibiti Putin.

Na Trump aliahidi atamaliza vita kibabe, naona ndivyo anafanya, anamfokea mnyonge alfu yule mwingine haweki wazi aliongea naye nini.

elenski anataka Maongezi ya pande zote awepo, Trump hataki Zelenski ashiriki mazungumzo, anataka akubali kila anachoambiwa na Trump, huo ni ujinga.

Mi naona ni sawa kusimama kuliko kupiga magoti.
Mimi nawashangaa tu hao wa Ulaya. Kwa nini wasiachane tu na Trump na Marekani yake?

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.

Ingekuwa ni juu yangu ningeachana kabisa na Trump pamoja na US. Potelea mbali….hata kama nikiangamizwa kabisa na Putin.

Mimi Siwezi kudhalilika/ kudhalilishwa namna hiyo aisee.

Uomba omba ni mbaya sana.
 
Zelensky ameonesha kufahamu utawala wa Trump unamaanisha nini, na alijitayarisha kwa ripoti alizopewa na vyombo vyake vya kidiplomasia na kijasusi nini konaweza kutokea ndiyo maana hakuonesha kushangaa kilichotokea na Zelensky na timu ya wasaidizi wao walisha otea na kujipanga


Swali kuu kwa nchi masikini za kiafrika ikiwemo Tanzania, je wamejitayarisha kwa sera ya MAGA America First kuwa hakuna misaada bila masharti mazito?



Bado watawala wa CCM wakienda White House sijui kama watakuwa wameotea nini watakikuta, au itakuwa surprise kwa viongozi wa CCM na vyombi vyao vya Dola kama mabalozi na usalama wa Taifa kitego cha nje kuwa na taarifa kabla ili waweze kuwa na ubavu kama wa Zelensky kutoka na weledi wa mabalozi wake ktk ujasusi wa kidiplomasia na usalama wa taifa kitengo cha intelejensia ya nje ili wasikurupushwe White House..

JUKUMU LA USALAMA WA TAIFA KITENGO CHA UJASUSI WA NJE
Ujasusi Blog
www.ujasusi.com
Intelligence insights on series of leadership changes at Tanzania's ...
View attachment 3254191
13 Jul 2024 — The appointment of Selemani Mombo as the new TISS Director General could have significant impacts on Tanzania's security and intelligence

JUKUMU LA WIZARA YA MAMBO YA NJE :
Waziri wa Mambo ya Nje Mahmoud Kombo, wakurugenzi wizarani, mabalozi uwezo wa kukusanya taarifa za maoteo ili Tanzania isijikute inapata surprise kubwa kutoka kwa washirika wake


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZJJtJslaC_4

Inaweza kuwa Zelensky akushanga, ila dunia imeshangzwa. Not so much kuhusu kukubaliana au la.

Mshangao ni vile namna viongozi wa nchi kuongea kama ilivyotokea mbeke ya camera za dunia.


View: https://m.youtube.com/watch?v=au-IVW4M0Oo


View: https://m.youtube.com/watch?v=90mPmZ_VuGk

Tafuta media yeyote duniani ambayo mchambuzi mgeni ni senior civil servants, active or retired ambae ajashangazwa na kilichotokea. That’s not diplomacy
 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad
Wale walipanga kumdhalilisha tu na kumuonyesha kwamba you'r nothing to us , Mbona hawafanyi hivyo kwa wengine ila niwe mkweli binafsi nimependa ile ni big threat kwa maraisi wengine wasenge wasenge wakae wafahamu kama zele na Ukraine yake ambao walikuwa ni sawa na mtoto ambaye ni last born for usa na kila alichokuwa anakitaka anapewa mwisho wa siku amekua treated like that basi na wao sio lolote sio chochote lita wakuta jambo
 
Jamaa anataka kuwafanya wenzake woote vilaza, mi nafurahi Rais wa ukraine kakataa kuwa mnyonge. Mazungumzo ni pande mbili sasa unataka kumbagaza Rais wa taifa jingine tena kwenye live television, huo ujinga kabisa.

Bora jamaa naye kagoma kufanywa mnyonge, kama Trump hataki kutoa misaada na aache, hali imeshakuwa mbaya sasa ndiyo utmtishie?
🤣🤣🤣🤣

Tulikuwa tuna waambia humu before russia ni lidude likubwa sana ona sasa yanayo wakuta dahh aibu sana so sad
 
Mimi nawashangaa tu hao wa Ulaya. Kwa nini wasiachane tu na Trump na Marekani yake?

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.

Ingekuwa ni juu yangu ningeachana kabisa na Trump pamoja na US. Potelea mbali….hata kama nikiangamizwa kabisa na Putin.

Mimi Siwezi kudhalilika/ kudhalilishwa namna hiyo aisee.

Uomba omba ni mbaya sana.
Msimamo wako nawangu ni sawa kabisa, kwasababu naamini hata USA naye huwa hawezi kupigana vita vyake mwenyewe naye lazima huwa anaomba msaada, licha ya Technologia aliyonayo lakini anaomba manpower na kutumia ardhi za wenzake kwa tactical issues.

Ana military base kila kona, wavunje ndoa naye tuone naye atasimama vipi peke yake.

Wangeachana na US hata kwa Term mmoja waone nini kitawatokea, unajua kunavitu vingine huwa tunaogopa kwa kutishwa tu.

Unaweza kuta wana mmudu Putin peke yao bila USA, na sijui kwanini wanaogopa kiasi hicho.

Kwasababu kama ni nuclear hata Putin mwenyewe anaiogopa, licha ya kutishia wenzake lakini naye inaweza kumlipukia mwenyewe humo humo ndani.

Mi nahisi hajapata mwehu mwenzake, ambaye atasema sasa inatosha nenda zako nasi tubaki kivyetu.
 
Yaani pale Marekani wamechaguliwa wahuni... Nadhani leo walikosa busara za "Rais wao" Elon Musk! Labda angekuwepo hali ingekuwa tofauti.

Kingine na hiki ni muhimu sana: Nimemkubali zaidi Zelensky! Amejua jinsi ya kukabiliana na Trump na kuonesha dhahiri malengo ya utawala wa Trump!
Hakujali yupo Oval Office live kwenye media!
Hakuwa muoga!
Hakuiuza nchi yake kwa vipande vya fedha!

Kafuata njia ile ile ya Emmanuel Macron!
Trump akizingua. Mzingue
Ndio anapotea hivyo lakini soon watasitisha misaada na unaweza kushangaa waka mtoa madarakani macron kamponza mwenzie
 
🤣🤣🤣🤣

Tulikuwa tuna waambia humu before russia ni lidude likubwa sana ona sasa yanayo wakuta dahh aibu sana so sad
Sidhani kama ni kubwa kiasi hicho, ni uoga tu unawasumbua.
 
Zaidi ya viongozi wa Ujerumani, UK na France, hakuna mwenye kutaka kuongea na Trump

Watakwenda wengi tu Mkuu, Kwani unadhani wanakwenda kwa kutaka? Nguvu ya pesa, angalia South Africa, Ramaphosa, kwangu sikutegemea! Anataka kwenda Marekani kuweka mambo sawa na Trump.. Rejea tu, Trump kaiua USAID Imeyumbisha nchi nyingi sana....! Unadhani Zelensky alitaka? shida mkuu, hata NATO ni pesa ya Marekani, itabidi wajipange sasa hivi kumsaidia Zelensky.

 
Trump ni Kiongozi wa US ambaye Hana heshima kabisa. Mjadala ule Kati ya Trump na Zelensky ulipaswa ufanyike Behind the Camera. Ameinajisi ikulu ya White House kwa kuvunja miiko na Itifaki zote kabisa za namna ya kuendesha Ikulu.
Mkutano huo ni kama ulilenga mahsusi katika kumdhalilisha Rais Zelensky.

Hii itachagiza sana kuongeza fukuto la upunzani Ndani ya Marekani katika kuupinga Utawala wa Trump
Hakuna cha fukuto la upinzani tulia wewe dawa iwaingie 🤣🤣🤣

Trump oyeeee
 
Sidhani kama ni kubwa kiasi hicho, ni uoga tu unawasumbua.
Kama sio kubwa kwanini usa na nato wasiendelee kukaa upande wa ukrain waipige russia kisha wachukue ardhi yake ili wapate kunufaika ,?

🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nawashangaa tu hao wa Ulaya. Kwa nini wasiachane tu na Trump na Marekani yake?

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.

Ingekuwa ni juu yangu ningeachana kabisa na Trump pamoja na US. Potelea mbali….hata kama nikiangamizwa kabisa na Putin.

Mimi Siwezi kudhalilika/ kudhalilishwa namna hiyo aisee.

Uomba omba ni mbaya sana.

Mkuu, Umaskini ni kitu kibaya sana! umaskini wewe mtu binafsi, familia, taifa nk! Angalia tu Trump anaivyoivunja USAID Kelele kote ulimwenguni, na Budget ya USAID 1% kwenye Budget nzima ya US! Rejea budget ya NATO....nani anaibeba! Ukiwa Maskini ni shida mkuu!
 
Mimi nawashangaa tu hao wa Ulaya. Kwa nini wasiachane tu na Trump na Marekani yake?

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.

Ingekuwa ni juu yangu ningeachana kabisa na Trump pamoja na US. Potelea mbali….hata kama nikiangamizwa kabisa na Putin.

Mimi Siwezi kudhalilika/ kudhalilishwa namna hiyo aisee.

Uomba omba ni mbaya sana.

Mkuu unajua leo kuwa Ulaya iko weak!

Wanavyong’ang’ania kupigwa tafu na US wanaonyesha ni jinsi gani walivyo weak.
 
Kama sio kubwa kwanini usa na nato wasiendelee kukaa upande wa ukrain waipige russia kisha wachukue ardhi yake ili wapate kunufaika ,?

🤣🤣🤣🤣
Hakuna mtu au nchi inataka kuchukua Ardhi ya nchi nyingine humu duniani zaidi ya Russia, NATO na USA wao wanataka kila mtu abaki kwake, hata hiyo vita ni Putin analazimisha bila sababu yoyote ya msingi. Karne hii utahodhi ardhi ya mtu kwa muda tu.

Hata huko Russia Putin akiondoka usishangae watakao mfuata wakarudisha kila kitu kilivyokuwa awali.

Nani hataki kuishi kwa amani dunia hii zaidi ya Putin?
 
Hakuna mtu au nchi inataka kuchukua Ardhi ya nchi nyingine humu duniani zaidi ya Russia, NATO na USA wao wanataka kila mtu abaki kwake, hata hiyo vita ni Putin analazimisha bila sababu yoyote ya msingi. Karne hii utahodhi ardhi ya mtu kwa muda tu.

Hata huko Russia Putin akiondoka usishangae watakao mfuata wakarudisha kila kitu kilivyokuwa awali.

Nani hataki kuishi kwa amani dunia hii zaidi ya Putin?

Mkuu utasemaje kuhusu Rwanda, huko Congo!
 
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Usa wamekuwa kama mafia state wale Taiwani na Waarabu wasipojifunza hapa imekula kwao
 
Umeandika vzr saana but ujinga ukaanza kwa kurenga chuki zidi ya waarabu haya ile buzwagi mlikua mnapata zero aliinvest mwarabu vp gas ya mtwara kainvest mwarabu acheni kukalili maisha kama mmezoea wazungu things have changed shida kuwekwe sheria nzuri kwa manufaa ya nchi
Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52

Trump anawakilisha hisia za wamarekani wengi. Hakuna atakaemuua Trump as many believe.

Trump strategy ni kila nchi isimamie resources zake na kuzibadilisha kuwa fedha. Kuacha ujinga na focus na nchi yako.

Kwa nyie ambao mnauza bandari huku hakuna kilichobadilika kwenye operation za bandari zaidi ya blah blah na politics, mnapewa misaada mnaweka kapuni, mnauza ardhi huku mkitegemea bajeti kuja kukamilishwa na wadau, mjiandae… mtakula unga soon .

Moja ya kikao nilichohudhuria Germany hivi Karibuni…. Kilihoji kwanini waafrica hawalipi kodi kwenye nchi zetu lakini tunatenga bajeti za kuwasaidia? Hamuoni tunawafanya hawa watu kuendelea kuwa wapuuzi and lazy ?

Mwingine akahoji… viongozi wengi wa Africa wana akaunti huku Ulaya na America zenye billions of USD…. Kwanini hizo fedha hawahifadhi kwao na ku invest huko huko badala yake wanakuja kuficha huku.?

Mdau mwingine kutoka Canada akasisitiza ni wakati sasa wa ku implement Trump strategy…hasa kwenye eneo la Afya…...kila nchi ijenge nchi yake na sio kuwa ombaomba huku viongozi wa Africa na Tanzania ni Bilionea.

The world is getting serious …. Kama Zelensky amekuwa humiliated ndani ya Oval Office kwa kushindwa kuwa responsible na nchi yake; , nyie viongozi wa Africa wenye little impact hapa duniani zaid ya kuuza mali zenu kwa kupewa pipi, itakuaje?

Toka lini muarabu akawa muwekezaji wa maana? Hana science wala technology yoyote ya maana…,,

Tunaendelea kutoa tahadhari, hadi sasa kwa TZ hakuna kiongozi wa maana mwenye uwezo wa kusimamia mali, at least the Late JPM alikuwa na kitu, haya mavitu mengine ni sukuma twende usiku uingie asubuhi kupambazuke…..,kama hamlioni hili….. soon mtaliona .

Trump Strategy itakuwa adopted na wazungu……. Soon tutaimba wimbo mmoja.

Dr Megalodon,
Rue 52
Umeandika vzr saana but ujinga ukaanza kwa kurenga chuki zidi ya waarabu haya ile buzwagi mlikua mnapata zero aliinvest mwarabu vp gas ya mtwara kainvest mwarabu acheni kukalili maisha kama mmezoea wazungu things have changed shida kuwekwe sheria nzuri kwa manufaa ya nchi basi achia akili ifanye kazi
 
Ukisikia Jeuri ya Maskini ndiyo hiyo!
Ndicho Zelensky alichoonyesha kwa Trump.
Kuna mazingira ambayo mtu unakataa kufokewa hadharani eti kwa sababu wewe ni mnyonge.


 
Chaos at best

Dah Trump ni tatizo kweli-kweli

Watu waliowahi kushika nafasi za ‘axis of adults’ huko nyuma watakuwa wanakuna vichwa how was that possible.

Surely kabla ya maraisi kukutana wasaidizi wao wanakutana kwanza na kuweka position ya kila nchi katika jambo husika na kufikia muafakq kwanza.

By the time wakuu wa nchi wanakutana kunakuwa na ‘watered down’ version ya misimamo ya nchi ata kama hakuna makubaliano.

How on earth maraisi wanajibizana vile hadharani, only justification it’s chaotic in the White House ni kama hakuna foreign secretary, national security advisor and senior trained aides.

It is bad ndani ya ‘White House’ very bad

Hiyo ndio style yake mkuu! Anza kwa kuangalia kampeni zake! Alifanya peke yake! Kila kitu kafanya kwa style yake! Ni nani Rais wa Marekani baada ya kuingia madarakani akaanza kuifanyia serikali auditing! Unajua numbey ya wafanyakazi serikali anawaondoa! Hatuwezi kusema sasa hivi itakuwa na madhara kwa Marekani au dunia! Tusubiri tu!
 
Back
Top Bottom