Viongozi wa Yanga Fanyeni hivi Haraka iwezekanavyo Lazima Yanga icheze Nusu Fainali

Viongozi wa Yanga Fanyeni hivi Haraka iwezekanavyo Lazima Yanga icheze Nusu Fainali

Mcheza Piano

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2024
Posts
562
Reaction score
1,339
Aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele amesema Yanga inaweza kukata rufaa CAF kupitia kifungu cha sheria za mpira za CAF namba XVI kifungu namba 3 kupinga kitendo cha kukataliwa goli alilofunga Aziz Ki.

Masele ameshauri Viongozi wa Yanga watumie kanuni hiyo kwani kifungu hicho ni mahususi kuhusu utawala na upanganji wa matokeo ambapo iwapo ikithibitika ni kweli basi Mamelodi itanyang’anywa matokeo na kupewa Yanga.

FB_IMG_1712389509677.jpg
 
Afrika ukiritimba ni mwingi, ukisema uende ngazi za juu zaidi watakuzingua daima ktk michuano hiyo huko mbeleni.
 
Hivi mliona goli alilofungwa Ujerumani na Japan kwenye kombe la Dunia na kupelekea Ujerumani kutolewa kwenye makundi?
Sasa kama timu kubwa kama Ujerumani ilitolewa kimagumashi vile tena kombe la Dunia, sembuse Yanga?
 
Mashabiki wa uto wakamatwee, wanaleta vurugu uraiani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaone haka katoto😕😕😕 hivi vi pisi kali muda mwingine vinatia hasira ndomaana tunavipelekea moto hadi cheche
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele amesema Yanga inaweza kukata rufaa CAF kupitia kifungu cha sheria za mpira za CAF namba XVI kifungu namba 3 kupinga kitendo cha kukataliwa goli alilofunga Aziz Ki.

Masele ameshauri Viongozi wa Yanga watumie kanuni hiyo kwani kifungu hicho ni mahususi kuhusu utawala na upanganji wa matokeo ambapo iwapo ikithibitika ni kweli basi Mamelodi itanyang’anywa matokeo na kupewa Yanga.

View attachment 2955377
Kubalini tu yaishe.
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele amesema Yanga inaweza kukata rufaa CAF kupitia kifungu cha sheria za mpira za CAF namba XVI kifungu namba 3 kupinga kitendo cha kukataliwa goli alilofunga Aziz Ki.

Masele ameshauri Viongozi wa Yanga watumie kanuni hiyo kwani kifungu hicho ni mahususi kuhusu utawala na upanganji wa matokeo ambapo iwapo ikithibitika ni kweli basi Mamelodi itanyang’anywa matokeo na kupewa Yanga.

View attachment 2955377


Wewe na huyo waziri hewa mna matatizo.
 
Mngeshinda matuta mngewaza kukata rufaa kudai goli lililokataliwa?
 
Tungekua karibu hicho kichwa ningekipiga na spana namba 17
 
Hivi mliona goli alilofungwa Ujerumani na Japan kwenye kombe la Dunia na kupelekea Ujerumani kutolewa kwenye makundi?
Sasa kama timu kubwa kama Ujerumani ilitolewa kimagumashi vile tena kombe la Dunia, sembuse Yanga?
hata England ilishawakuta iyo goli la Lampard la wazi lilikataliwa World cup South Africa.
hii situation ikitokea ndio imeisha hiyoo.
 
  • Thanks
Reactions: len
Kaone haka katoto😕😕😕 hivi vi pisi kali muda mwingine vinatia hasira ndomaana tunavipelekea moto hadi cheche
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeee
 
Aliyewahi kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele amesema Yanga inaweza kukata rufaa CAF kupitia kifungu cha sheria za mpira za CAF namba XVI kifungu namba 3 kupinga kitendo cha kukataliwa goli alilofunga Aziz Ki.

Masele ameshauri Viongozi wa Yanga watumie kanuni hiyo kwani kifungu hicho ni mahususi kuhusu utawala na upanganji wa matokeo ambapo iwapo ikithibitika ni kweli basi Mamelodi itanyang’anywa matokeo na kupewa Yanga.

View attachment 2955377
Sawa mtakataaa Rufaaa lakini kumbuka maamuzi ya hiyo rufaa yenu itamuhusu refa tu, na haitabadilisha kitu! Unafikiria CAF wataipitisha yanga? Maamuzi yalishafanyika hatakama yalikuwa na dosari lakini ndiyo yashapitaaaaaaaa😎😳
 
Back
Top Bottom