Viongozi wa Yanga Fanyeni hivi Haraka iwezekanavyo Lazima Yanga icheze Nusu Fainali

Sawa mtakataaa Rufaaa lakini kumbuka maamuzi ya hiyo rufaa yenu itamuhusu refa tu, na haitabadilisha kitu! Unafikiria CAF wataipitisha yanga? Maamuzi yalishafanyika hatakama yalikuwa na dosari lakini ndiyo yashapitaaaaaaaa😎😳
Hii ni kashfa ya upangaji matokeo, Yanga itacheza nusu fainali.
 
Naona taratiiiibu mnaanza kuchizika
 
Njia pekee labda ni kushawishi vilabu vilivyomo kwenye mashindano KUGOMEA mashindano ili Kushinikiza Haki kutendeka katika mechi ya Jana.
Ushawishi huo sijui kama tunao, ila nafikiri ingesaidia.
Mazembe
Waarwbu wote
Asec
Petrol

Wagomee next match zao. Ikiwezekana washinikize kujiuzulu kwa Motsepe
 
Nani afanye ujinga kama huo kisa Yanga?
Timu zina malengo yao na watatimiza hata Motsepe akiwepo na ndio maana hao Mamelod wametolewa sana tu na Motsepe akiwa rais wa Caf
 
Reactions: len
Nani afanye ujinga kama huo kisa Yanga?
Timu zina malengo yao na watatimiza hata Motsepe akiwepo na ndio maana hao Mamelod wametolewa sana tu na Motsepe akiwa rais wa Caf
Yeah, shida ni Yanga kutokuwa na ushawishi wa namna hiyo. Engineer ni Raid wa vilabu Afrika, vipi, ni cheo hewa?
 
Hizi sarakasi ndio akili halisi ya Yanga, ni justification ya kuitwa Utopolo sio bahati mbaya
 
Hizi sarakasi ndio akili halisi ya Yanga, ni justification ya kuitwa Utopolo sio bahati mbaya
Akili unayoibeza ndo inabeba NBC premier league title mara ya Tatu mfulululizo na ndo hiyo imemshinda Mamelodi hadi kuokolewa na VAR room na refa wao!

Ngoja tuwapige tena khamsa kupunguza maumivu. Mkude mliemtupa kawasimamisha Mamelodi two matches ndo ujue Yanga akili kubwa!!

Uto hatuna mpinzani Africa jana dunia nzima imeona na kocha wa Mamelodi kakiri, jifariji tu mtani
 
Wanaopita sasa ni vichekesho
 
Hauna mpinzani kivipi?
 
M
Hauna mpinzani kivipi?
Mamelodi ndo inadaiwa ni best football club in Africa kwasasa na wameshindwa kutufunga uto kwa dkk 120 home and away na tumepokwa ushindi kwa goli letu halali kukataliwa!

Shime wanayanga tusikubali tulianzishe kwa hashtags million twitter and instagram ziseme hivi "Motsepe must go for shaming African football and South Africa" hiyo hashtag ikisaidiwa na Yanga kutuma barua CAF kwa madai ya match fixing kwa VAR crew kutoonesha camera zote na kumdanganya referee na referee kutoangalia VAR kwenye tukio muhimu la goli hayo yatapindua matokeo maana wasouth hawatakubali Motsepe awachafue!!
 
🤣 sawa mkuu
 
Kwahiyo kocha wa Mamelod kakiri kuwa mmekufa kiume au anapeleka maombi Caf mchukue nafasi yao wao wanajitoa?
 
Hawa wanasiasa wanajua machungu mnayopitia sasa hivi, hivyo ni wakati wao kujaribu kuteka hisia zenu, mwisho wa siku target yake ni mjengoni. Be wise guys, sijui kwanini hatuelewi siasa za nchi yetu, au wengine nyie bado wachanga sana kwenye mambo ya mpira na siasa za Tanzania.
 
Ona kolo hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…