Viongozi wa Yanga hampo serious kweli imeshindikana kulipa deni la aliekua kocha wetu Luc Eymael

Viongozi wa Yanga hampo serious kweli imeshindikana kulipa deni la aliekua kocha wetu Luc Eymael

Right eye

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
1,149
Reaction score
1,994
Nimesikitishwa na hili jambo kwa kweli viongozi wa Yanga mnaonyesha madhaifu makubwa hili deni linaelekea kutupa adhabu kutoka FIFA.

Adhabu ambayo itatuondoa kwenye dira yetu na kutufanya kupoteza muelekeo.

Fanyeni hima mumlipe pesa zake aliekua kucha wetu Luc Eymael.

Au ndio mmeshapoteza dira tayari na mnataka mpate pa kujificha?

Out.
 
Ujuaji wa kijinga kabisa unajua madhara ya huu mgogoro unaendelea kati ya Yanga na kocha Luc Eymael?
 
Wewe na hao viongozi wenu nani ana uchungu na timu? Kama wao wameona kufungiwa ni bora kuliko kulipa deni si utulie
Acha uzwazwa wewe kuku tulia unafahamu nin sasa wewe epuka kuchangia vitu visivyo kuhusu..
Kwa akili yako ndogo Kuna mtu mwenye uchungu na timu zaidi ya shabiki wa timu?
Ni mara ngapi shabiki anatoa machozi kwa matokeo mabaya au mienendo mibaya ya timu yake acha ujuaji wa kishamba wewe.
 
Acha uzwazwa wewe kuku tulia unafahamu nin sasa wewe epuka kuchangia vitu visivyo kuhusu..
Kwa akili yako ndogo Kuna mtu mwenye uchungu na timu zaidi ya shabiki wa timu?
Ni mara ngapi shabiki anatoa machozi kwa matokeo mabaya au mienendo mibaya ya timu yake acha ujuaji wa kishamba wewe.
Kama unauchungu zaa
 
Soma uelewe acha kukurupuka tu wewe..

Jikoni ndio nini?Hili ni bandiko la wasiwasi wangu kwa timu yangu kuingia kwenye migogoro na FIFA wewe unaanza kuleta hoja mfu acha ujuha wewe.
Una wasiwasi wa nini wewe! Yaani uache kuwa na wasiwasi juu ya mustakabari wa maisha yako ya sasa na yale ya baadaye; badala yake uwe na wasiwasi na Yanga yenye uongozi wake!!
 
Back
Top Bottom