Viongozi wa Yanga hampo serious kweli imeshindikana kulipa deni la aliekua kocha wetu Luc Eymael

Viongozi wa Yanga hampo serious kweli imeshindikana kulipa deni la aliekua kocha wetu Luc Eymael

Una wasiwasi wa nini wewe! Yaani uache kuwa na wasiwasi juu ya mustabari wa maisha yako ya sasa na yale ya baadaye; badala yake uwe na wasiwasi na Yanga yenye uongozi wake!!
Mustabari ndio nin wewe?Tulia andika vizuri unakua kama unakunwa na dole la kupimia dalili za tezi dume.
 
Huyu kocha si ndyo aliwaita jina gani vile[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
....
...Ah!....jpg
 
Bila shaka umedhihirisha wewe ni mtu wa aina gani.
Nafikiri hata wewe umeonyesha uwezo wako wa akili ni upi?
Unaingia kwa kujifanya mjuaji unategemea nikujibu kistaarabu,Ni kosa lipi nililofanya kwenye hii mada mpaka uje kwa kunishambulia.?
Mtu kuonyesha wasiwasi wake kwa kitu kinachomhusu wewe unaona ni upuuzi ukija vizuri tunamaliza vizuri hii ndio desturi yangu.
 
Tuliambiwa Asipolipwa Yanga haitasajili mpaka Sasa Yanga imeshasajili wawili Bado mmoja.
Mnao kerwa na hilo wakumbusheni CAF kuwa Yanga wanasajili wakati mmewafungia.
 
Back
Top Bottom